Mimi ni mwalimu nipo almashauri ya wilaya ya ubungo Dar es salam idara ya msingi nataka kubadilishana ma mtu aliyeko mikoa ifuatayo Mwanza , Tanga namba za simu ni 0713533999
 
Mimi ni mwalimu nipo almashauri ya wilaya ya ubungo Dar es salam idara ya msingi nataka kubadilishana ma mtu aliyeko mikoa ifuatayo Mwanza , Tanga namba za simu ni 0713533999
Mbeya kuzur pia
 
Pole mkuu endelea kuwasumbua tu huku ukipiga moyo konde

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Yupo mwalimu ila yeye yupo mkuranga mjini kama utakuwa hujapata wa kubadilishana nae wasiliana nami, anafundisha Kiparang'anda sec,mawasiliano 0683736752
 
Naitwa Mwita Samson Wambura nipo Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga,nafundisha s/m Kiguza ipo mjini,natafuta mtu wa kubadilishana nae aje mkuranga Mimi niende Halmashauri ya ya wilaya Morogoro mjini Kama yupo anitafute kwa namba 0748618064
 
Kwa mwenye uhitaji wa kuja Ngara kagera mimi nije mafinga anipm. Mwalimu wa secondary
 
Mimi ni mwalimu nipo almashauri ya wilaya ya ubungo Dar es salam idara ya msingi nataka kubadilishana ma mtu aliyeko mikoa ifuatayo Mwanza , Tanga namba za simu ni 0713533999
Njoo lushoto Tanga
 
Aliyepo Korogwe,Muheza, Bagamoyo na Pwani abadilishane na mwl yupo Muleba idara Sekondari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…