Muulizie maendeleo TAMISEMI. Mkaulizie.Samahani naomba kujuzwa, kuna binti yangu amekamilisha taratibu za uhamisho toka 25/februar 2020 yaan barua zimeenda Tamisemi, ila mpaka leo kimya hakuna jibu lolote kutoka Tamisemi, je ni hatua zipi zinapaswa kuchukuliwa?
Wazsliwa wakusini hawataki kurudi kwaoWa tandahimba nije njombe au mbeya songwe rukwa
Kama kuna technologist ,mikoa ya Dodoma, Morogoro na manyara aje kanda ya ziwa tuwasiane pm
ShuleTechnologist yupi? Dawa, meno, maabara, vifaa tiba!
Shule
njoo kakonko kigoma nije hapo mtwaraWa tandahimba nije njombe au mbeya songwe rukwa
Nipo simiyu nicheck 718369467 nataka kwenda dar but Moro nitakua nmesogea kidogoHbr,nahitaji kubadilishana na mwalimu aje wilaya ya morogoro mimi niende shinyanga manispaa idara secondary
Njoo mwanza nije BusokeloNjoo Busokelo Dc(Mbeya), Nije Mwanza, Nzega, Kahama.
Math&Chem interested PM me.
Sent using Jamii Forums mobile app