Njoo LushotoNjoo Simiyu, Bariadi, kwenda Mwanza nauli elf5.
Bariadi Ni makao making ya mkoa wa Simiyu, nije Morogoro, Dar au Pwani.
Masomo B/Maths na Chemistry.
Idara: SAYANSI
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Kiongozii ushapataaa mtuuuuuMwl yupo Kinondoni manispaa,..Idara elimu sekondari,masomo ya sayansi, anahitaji mtu kutoka Mwanza wilaya za Nyamagana na Ilemela.PM namba tuwasiliane.
Ushapataaa mtuuuuMimi nipo Ilala DSM shule ya sekondari Mvuti.
Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae kituo aliyeko Wilaya ya Ilemela Mwanza. Nyaraka zote husika ninazo kwa Mwenye kuhitaji kutoka Ilemela Mwanza kuja Ilala DSM ani PM mapema.
Mkuu njoo Bukombe,nauli Tsh. 10,000/= mpaka MwanzaMimi nipo Ilala DSM shule ya sekondari Mvuti.
Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae kituo aliyeko Wilaya ya Ilemela Mwanza. Nyaraka zote husika ninazo kwa Mwenye kuhitaji kutoka Ilemela Mwanza kuja Ilala DSM ani PM mapema.
NIJENJOO BUNDA DC MARA