WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Niko Bunda mwalimu wa math na IT

Njoo Bunda
Nije

Iringa Mc
Mafinga
Makambako
Mbeya city
Kyela
Morogoro mc
Dar
Contact
0764125128 available 24 hrs
 
Kuna mahala nimeliona

Tangazo: natafuta wa kubadilisha kituo idara ya elimu sekondari aje mbeya mji mdogo wa mbalizi nauli 450/= mpaka mbeya jiji nije morogoro manispaa
Mawasiliano 0717 370274
0625 761228
 
Njoo Geita_Bukombe nije Dar, Pwani (Kibaha,Kisarawe,Kibiti,Mkuranga),Moro Mjini
From Bukombe to Geita nauli Tsh.5000=,Bukombe to Mwanza nauli 10,000/=,Bukombe to Kigoma Tsh 17,000/=,Bukombe to Kagera nauli 10,000/=
Bukombe to Tabora mjini Tsh 15,000/=
Bukombe to Shinyanga Tsh 15,000/=
Idara:Elimu Sekondari
Njoo uwe karibu na kwenu
 
Njoo Geita_Bukombe nije
Mbozi,
Tunduma na
Momba
From Bukombe to Geita nauli Tsh.5000=,Bukombe to Mwanza nauli 10,000/=,Bukombe to Kigoma Tsh 17,000/=,Bukombe to Kagera nauli 10,000/=
Bukombe to Tabora mjini Tsh 15,000/=
Bukombe to Shinyanga Tsh 15,000/=
Idara:Elimu Msingi
Njoo uwe karibu na kwenu 0757090432
 
Kwa yeyote anayehitaji kuhamia halmashauri ya mji Mbinga mkoa wa Ruvuma nije mkoa wowote Tanzania lakini kipaumbele kwa wanaotokea halmashauri za manispaa au miji kwasababu shule ninayofundisha ipo hapa Mbinga mjini.Nichek 0620234297 au 0766848929.
 
Back
Top Bottom