Nenda shuleni chukua namba ya mtoto aliyopewa wanaita prim number bila shaka utapeleka huko unakotaka kumwamishia wanafanya uhamisho kwa nija ya onlinenaomben kujua procedures za kuhamisha mtoto kutoka shule ya kata Morogoro kwenda kata DSM
Niunganishe nae plsAnayetaka kwenda Same harafu yeye aje mkoa wa Geita wilaya yeyote.
Inawezekana mkuuNdoto za alinacha. Urban to rural nani anaitaka?
Njoo mafia nije ifakara hapo. 0679153417Njoo ifakara morogoro nije pwani au dar
Njoo mafia basi nije hapo Iringa 0679153417Mimi ni mwalimu shule ya msingi nipo Iringa Kilolo nahitaji mtu wa kubadilishana nae Mkoa wa Pwani