Naomba mawasilianoHaya mwalimu Yuko njombe wanginngombe mwalimu wa hesabu na physic anahitaji kuama kituo chochote kiwe manyara au Arusha au kondoa siyo mbaya kwake msadieni jmn Kama unatka detail Zaid bas nipm nikupe mawasiliano yake
Naomba mawasiliano yake Mimi Niko ArushaHaya mwalimu Yuko njombe wanginngombe mwalimu wa hesabu na physic anahitaji kuama kituo chochote kiwe manyara au Arusha au kondoa siyo mbaya kwake msadieni jmn Kama unatka detail Zaid bas nipm nikupe mawasiliano yake
Bana shida Gani hapo?Njoo kiwira secondary Mbeya nije popote Mbeya Dc au Mbeya city
Bana shida Gani hapo?
Wewe n mtu wa pili kuona taarifa ya kutaka kuhama
Ni Mimi mwenyewe mkuu uliniona,huwa narudiarudia tangazo,nilikuambia rungwe pako vzuri Sana,mi nahama kwa sababu nmechoka kufanyia kazi nyumbani,nahisi wanafamilia wamenichoka Ni heri nkafanye maisha wilaya nyingine.
Naomba tuwasiliane nduguHaya mwalimu Yuko njombe wanginngombe mwalimu wa hesabu na physic anahitaji kuama kituo chochote kiwe manyara au Arusha au kondoa siyo mbaya kwake msadieni jmn Kama unatka detail Zaid bas nipm nikupe mawasiliano yake
Unataka kuwakimbia Wajita?Njoo bunda mara nije arusha,manyara,kilimanjaro na morogor
Bunda Kijiji gani au niseme sehemu gani?Njoo bunda mara nije arusha,manyara,kilimanjaro na morogor
Apana kubadilisha mazingiraUnataka kuwakimbia Wajita?
Bunda dcBunda Kijiji gani au niseme sehemu gani?