Njoo KAHAMA MANISPAA nije ,DODOMA,IRINGA,NJOMBE,MBEYA,SONGWE au RUKWA... IDARA ELIMU-SEKONDARI,Mawasiliano 0710382012
 
Njoo masasi mjini nije songea mjini, Songea DC au namtumbo.
 
Mwl wa Basic Mathematics nataka kuhamia mtwara aliye tayari aje Tarime Nyamongo Mgodini kbs. Me nafuata familia tu ila hapa napotoka pazuri mno nyumba za watumishi za kutosha. Aliye tayari 0626115067
 
Nataka kuhamia halmashauri ya magu mi nko ilemela kama unahtaji njoo inbox
 
Bwana Nyundo mambo vp? Naomba nikuulize hv hakuna Mwl huko kutoka mkoa wa KAGERA anayehitaji kuhamia kwao?
Hadi sasa sifahamu mtu yyt wa Kagera ama anyetaka kuhamia. Tuendelee kupambana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…