Elimu yetu imechangiwa na walimu wabovu kupelekwa makazini bila mc
DoooKuna jitu Eti leo Linanipigia Nilisaidie namna ya Ku Confirm mkoa,
Namuuliza umesahau? Anasema mtu wa Stationery ndio alinifungulia kila kitu, nilimsaidia ila nimemshangaa sana, mwambie tiktok na Snapchat sasa
Mwingine ka upload Vyeti, Profile picha na CV akajua ndio ashaomba kazi anasubiri interview.
Kuna mijitu ni mizembe sana, Binti wa Miaka 28 Una smartphone, Email yako hujui, Password ndio usiulize, Namba aliyotumia kufungulia anakuambia hajui aliyemfungulia alitumia ipi.
Hii nchi wasomi wapumbavu ni wengi mno,
Hao wote ni Degree
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Duh ticha umekasirika sanaMbuzi wewe.. Lipa mishahara na mazngira mazuri thn urud hapa, unamlipa mtu laki 3 ushuzi hata kama mimi nikihudhuria class kwa wiki mara 3.
Ni wakati serikali iondoe ajira za kudumuHata wakichujwa bado ufanyaji kazi serikalini ni wa mazoea tutarudi palepale
NILITEGEMEA MPWAYUNGU NDO ALETE TAKWIMU HIZI.Kwani wewe mwalimu hizi takwimu unazitoa wapi? Yaani kila siku unakuja na mapya kuhusu haya mambo ya saili za kada ya ualimu na afya!
Unafaidika nini kila wakati kutaja mikoa ambayo ina watu wengi walioomba wakati huna takwimu sahihi? Au unataka watu wabadilishe mikoa ili hiyo mikoa unayotaja ubaki mwenyewe? Hilo halipo subiri ugombanie goli na wenzio!Unashangaza sana!
Acha kuwapa taharuki watu,huna hata chembe ya taarifa.
waweke mishahara ya kueleweka hata wakichuja ni yale yale TRA hakuna mafisadi, wazembe, Je wizarani... ukitaka kumkamua ngombe maziwa mlishe, na nikifanikiwa class naingia kwa wiki mara 3 siku zingine nipombe na mitkasi nyingine.Hata wakichujwa bado ufanyaji kazi serikalini ni wa mazoea tutarudi palepale
wakati mwingine uwajibikaji huendana na kula ya mtu sasa unataka niwahangaikie wasukuma halafu mwisho wa mwezi nalipwa laki3, nikipata zaidi niwe chawa wa HM nisimamie mtihani, au nisubilia uchaguzi niwasaidie watto wa mamdogo kuiba kura.Duh ticha umekasirika sana
Mkuu andika yote ila interview sio ombi, ipo pale pale.Mbuzi wewe.. Lipa mishahara na mazngira mazuri thn urud hapa, unamlipa mtu laki 3 ushuzi hata kama mimi nikihudhuria class kwa wiki mara 3.
Halafu utakuta kwenye hizo nafasi elfu 11 zinazogombaniwa, nusu yake tayari zina vijana watakaopata hiyo kazi kupitia connection mbalimbali. Nchi ngumu sana hii.Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.
Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:
1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma
Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.
Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.
Mwalimu hebu kuwa mzalendo.waweke mishahara ya kueleweka hata wakichuja ni yale yale TRA hakuna mafisadi, wazembe, Je wizarani... ukitaka kumkamua ngombe maziwa mlishe, na nikifanikiwa class naingia kwa wiki mara 3 siku zingine nipombe na mitkasi nyingine.
Unashindwa nini sasa kuwatoa hao walimu wabovu na kuwaweka walimu wapya wazuri!Elimu yetu imechangiwa na walimu wabovu kupelekwa makazini bila mchujo
Nawew kweli! kwahyo tuseme wote wamefeli ndo kada ya ualimu itafutwa?? Mtu kafanya pepa tokea vidudu sembesa maswali 50 ya kuchagua tena hakun passmark wenyew tu wanahtaji watu 3/4 waende oral ndo umtishe mtu???? point yangu ni kuwa cha kwanza kukifanya ni kuboresha masirahi ya walimu.Mkuu andika yote ila interview sio ombi, ipo pale pale.
Mkuu nisaidie link ya magroup yao, wife ni applicantBoss wasaidie tu walimu wenzangu hamna namna. ukiingia kwenye groups zao maswali wanayoulizana yaani ni majanga.
Hili shambulio zito sana 😂😂😂😂Mwalimu unahaha sana kabla ya mda wa ku confirm kuisha ili uwahadae wenzako wabadili mikoa, Tulia hivyo hivyo Ukutane na wenzako Wa history 1734 kituo kimoja.
Hapo mkoa wa Kagera utoe kabisa kwenye hiyo orodha yako. Pia toa Njombe. Hivi unajua mkoa wa wala senene na Wilaya zake kwa upande wa ualimu na afya unagombewa kama maeneo ya majiji? Usiulize kwa nini bali subiri wafike kwenye usaili. Hiyo orodha yako ungeweka Manyara na Kilimanjaro toa Njombe na Kagera. Kingine matokeo ni jumuishi nchi nzima kama ulivyoona upande wa afya (assumption). Vipi kuhusu pass mark itakayochukuliwa kwa eneo husika?Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.
Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:
1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma
Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.
Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.