Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Wewe niliomba wakuondolee kifungo kwa sababu najua ukilipoti kazini hutaendelea kuwadhihaki waalimu wenzio
 
Kabisa Kiongozi lakin anahoja ya msingiπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‹
Tumpe Nafasi Aseme Tujitafakari Lori Liliponzwa Na Mtelemko

Ukweli Utaifanya Serikali Ifanye Jambo
 
Kinatema Che Che!!!
Kennedy
Tumpe Maua yakeπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ Mpwayungu Village Chuma kinajua kusimamia hoja..ata akipingwa na watu 100 yeye habadili muelekeo πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‹πŸ‘‹sema kuna thread yake moja alijua kutuzingua

 
Mpwayungu Village
Anakatia Chini, Msimamo Ule Ule Hayumbi
 
Kwani hujasikiliza hotuba ya Raisi?Uache uongo,hapo sili Milo 3?
 

Attachments

  • IMG-20230508-WA0009.jpg
    69.5 KB · Views: 2
Walimu tunajenga na tunaweka kununua vigari hivi vya bei rahisi,au unazungumzia walimu wa miaka ya 1990
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…