Lamentations
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 285
- 848
πππππ mwenye avator yake oyaaaaaa eeeeKirikuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ mwenye avator yake oyaaaaaa eeeeKirikuu
Nitakuwa wa mwisho kuamini kazi ya ualimu inaweza kumpa mtu maisha bora ya milo mitatu na usafiri binafsi wa uhakika. Imagine mpaka Mei mosi inafika hakuna mwalimu au kundi lolote lililosimama kutetea maslahi Yao Inaumiza sana kuona mamluki wenye mavazi ya cwt kuvaa mabango ya kinafiki kumsifu Rais eti Asante Kwa vishikwambi 2025 umepita, who says? Walimu ivi kishikwambi ndokifanye umpe Rais Kura 2025?? Kuna baadhi ya walimu hamko serious mimi ningetegemea siku ya Mei mosi mfanye peaceful demonstration lakini hola mnaenda kuimba manyimbo ya kizee ya kumsifu Rais tu huku mnalala njaa mnanuka majasho ya shida madeni tupu Ngoja Nile nyama narudi View attachment 2621499
Wewe niliomba wakuondolee kifungo kwa sababu najua ukilipoti kazini hutaendelea kuwadhihaki waalimu wenzioNitakuwa wa mwisho kuamini kazi ya ualimu inaweza kumpa mtu maisha bora ya milo mitatu na usafiri binafsi wa uhakika. Imagine mpaka Mei mosi inafika hakuna mwalimu au kundi lolote lililosimama kutetea maslahi Yao
Inaumiza sana kuona mamluki wenye mavazi ya cwt kuvaa mabango ya kinafiki kumsifu Rais eti Asante Kwa vishikwambi 2025 umepita, who says? Walimu ivi kishikwambi ndokifanye umpe Rais Kura 2025??
Kuna baadhi ya walimu hamko serious mimi ningetegemea siku ya Mei mosi mfanye peaceful demonstration lakini hola mnaenda kuimba manyimbo ya kizee ya kumsifu Rais tu huku mnalala njaa mnanuka majasho ya shida madeni tupu
Ngoja Nile nyama narudi View attachment 2621499
Tumpe Nafasi Aseme Tujitafakari Lori Liliponzwa Na MtelemkoKabisa Kiongozi lakin anahoja ya msingiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π
KennedyKinatema Che Che!!!
Kabisa Kiongoziπ€£π€£π€£π€£ππTumpe Nafasi Aseme Tujutafakari Lori Liliponzwa Na Mtelemko
Ukweli Utaifanya Serikali Ifanye Jambo
Mpwayungu VillageKennedy
Tumpe Maua yakeπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈ Mpwayungu Village Chuma kinajua kusimamia hoja..ata akipingwa na watu 100 yeye habadili muelekeo π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππsema kuna thread yake moja alijua kutuzingua
Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena
Wakristo kwakukufuru sasa muone huyu mpumbavu alichokiandikawww.jamiiforums.com
Anaendeleza alipoishiaπ€£π€£π€£π€£π€£ππMpwayungu Village
Anakatia Chini, Msimamo Ule Ule Hayumbi
Haogopi Sijui Vitisho Yaani Apangiwe Na Bundle Ananunua MwenyeweAnaendeleza alipoishiaπ€£π€£π€£π€£π€£ππ
π€£π€£π€£π€£π€£ππHaogopi Sijui Vitisho Yaani Apangiwe Na Bundle Ananunua Mwenyewe
Walie Huku Wanatoa Comment JFWapumzishe kwanza na msiba wa taifa
Poa tu nambie mtu wanguLeta maneno
Mungu akutunze πMpwayungu ana hoja asikilizwe
ππππππͺπ»πͺπ»πͺπ»The king of teachers is back
π π π π Mkuu Asante sana niliona uzi wako but iam not a teacher and I will never beWewe niliomba wakuondolee kifungo kwa sababu najua ukilipoti kazini hutaendelea kuwadhihaki waalimu wenzio
Haitakaa itokeeTena nakula mboga ninayotaka,navaa vuzuri na kuhonga juu