Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ndiyo maana yakeUtajiri ni namna unavyoamua kutumia pesa.Wapo walimu matajiri sana wana hadi kampuni zao zao kwa hiyo kila kundi lazima kuna rank hata uliko wewe siyo wote mna hela.
Hata wakulima,maaskari,wanasheria hawapo sawa.
Oya [emoji23]Walimu ni watu muhimu mno ila walimu wa sasa mmetengenezwa kwa misingi ya hofu na kutokujiamin , kuna karia haina pesa kama ya mwalimu ila tu kujiamni tu kunawafanya wasionekane mbayuwayu , unaweza ukafika shuleni tu upo smart na kausafiri kako walimu wakatimua mbiyo kama wanafunzi wakahisi ni mkaguzi , hii karia ni muhimu mno inahitajika wazazi na serikali tuwatie moyo na sio kuwavunja ,hawa ni walezi wa taifa la kesho .
Sawa, madam mpwayungu villageItamkwe madam mpwayungu
Anafikili kamseleleko kanakuja hivi hivi bila kutoa jashoUnadhani ukijificha huku mtandaoni asili haikuoni???
Wewe nawe mwalimu tu huna jjipya, unataka walimu wenzio wapambane wewe upate mseleleko.
Jianze upya.
Umetoa point ya kitoto sana..hakuna mwalimu aliyetajirika kwa kutegemea 500k..nakataa hakuna.Utajiri ni namna unavyoamua kutumia pesa.Wapo walimu matajiri sana wana hadi kampuni zao zao kwa hiyo kila kundi lazima kuna rank hata uliko wewe siyo wote mna hela.
Hata wakulima,maaskari,wanasheria hawapo sawa.
Tangulia mbele nyuma twajaAndamaneni acheni ujinga
Dah [emoji22]yani moja ya watu niliokuwa nawaona wapo active ni Tate Mkuu ila nashangaa naww umeungana na wajingaYule kijana siyo bure! atakuwa amewahi kufanyiwa kitu kibaya na mwalimu. Na ndiyo maana amefikia mpaka hatua ya kutamani kuwa mwanamke.
Wanaungaunga Kwa uvivu wao, nakuuliza hakuna walimu waliotusua katika mazingira Yako!?Umetoa point ya kitoto sana..hakuna mwalimu aliyetajirika kwa kutegemea 500k..nakataa hakuna.
Mimi mkulima lakini nikiangalia kwenye eneo ninaloishi,hakuna mwalimu wa kunifikia. wanaungaunga tu
Wanadunduliza tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umetoa point ya kitoto sana..hakuna mwalimu aliyetajirika kwa kutegemea 500k..nakataa hakuna.
Mimi mkulima lakini nikiangalia kwenye eneo ninaloishi,hakuna mwalimu wa kunifikia. wanaungaunga tu
Kifupi hueleweki suala la madai na uhamisho kila kada wanadai ila umekomaa na walimu tuKwanini uwe muoga kwenye kudai haki zako? Ivi unajua uoga unafedhehesha zaidi ya umasikini. Basi niwaambie tu mimi nitawadharau nasitawasalimia mpaka mtakapoandamana kudai haki zenu
Walimu wengi wana miaka zaidi ya kumi kazini ila wakiomba uhamisho hawapewi na vigezo wanavyo, uhamisho wa kubadilisha pia ni mbinde majina yanatoka ila vibali havitoki, una Miaka kumi na mbili ila umepanda daraja Mara moja tu, pesa yako ya kujikimu mpaka Leo hujamaliziwa unapewa nusu nusu, mshahara wako wa kwanza mpaka Leo hujalipwa unadai malimbikizo hata mfuko wa shangazi kaja unajaa, mnakaa kwenye magofu, Mnaishi Kwa kutukanwa, mnapigwa biti na mkuu wa shule mnapwaya, Mnaishi Kwa huzuni kama yatima, mna madeni yasiyoisha, mishahara yenu niyamiaka kumi nyuma Dunia ya sasa kupewa laki tano ni matusi, hamna posho yoyote, hata kununua pikipiki tu mpaka ukope maana kusave million Tatu na Familia uliyonayo haiwezekani.
Walimu walimu please Mei mosi nataka muandamane, nataka walimu mdai haki zenu. Vinginevyo nitawadharau mpaka kufa mmekuwa waoga kama ngiri jamani.
Halafu pendaneni muwe kitu kimoja hakuna mapinduzi bila umoja. Mkuu wa shule akileta ukuda mpigeni spana za kutosha kwenye vikao vyenu mpaka ajihisi kajinyea
Acheni woga hakuna wakuwakomboa zaidi ya kujikomboa nyinyi wenyewe, lazima ifike wakati mseme enough is enough
Za ovyo kivipi mkuu?Mkuu kuna uzi nilishaleta humu nikielezea kazi za hovyo kwenye nchi hii.
Mwalimu,polisi,askari magereza..hawa ndio tatu bora na ukumbuke hapa tunawaongelea waajiliwa na maisha yao..
Ukisema maisha magumu yapo kwa kila mtu unatoka nje ya point
Tate Mkuu yupo sahihi,Dah [emoji22]yani moja ya watu niliokuwa nawaona wapo active ni Tate Mkuu ila nashangaa naww umeungana na wajinga
Tate siwewe pia unasemaga walimu wana maisha magumu
Kweli kabsa walimu wanaheshimika sna ata mitaani walimu ata kumkopea bidhaa ni rahisi sana, kwa sababu unajua ana uhakika wa kipato, kwenye makanisa wanachaguliwa viongozi na hata wakistaafu wanaaminiwa sna kwenye mambo mbalimbali ya kijamii , shida inakuja kwa hawa walimu uchwara wabakiji na wavuta bangi , hao wachache wa ovyo wanafanya walimu waonekane wa ovyo kwa sababu tu walimu ni walezi wa watoto wetu , ebu fikiria pale unaposikia mlezi wa mwanao amelawiti mtoto , apo lazima wazungumziwe sna.Walimu Wana pesa,shida Ina baki Kwa mtumiaji wa huo mshahara
Wapo wengi kuliko watumishi wengine ndiyo maana inakuwa rahisi kuwa pinpoint kuliko watumishi wengine,mathalani afisa maendeleo wa Kata
Hapo nikukuuliza nitajie afisa maendeleo wa Kata Yako najua itakuwa shida kumjua Kwa haraka tofauti na nikisema unitajie mwalimu yeyote unayemfahamu hapo mtaani kwako
Mbona walimu waliofanikiwa hamuwataji,nchi hii imetoa karibu walimu wawili kuwa Marais mbona ilo hamlisemi!?
Unatusaidia sanaHawa hawajielewi mkuu ni heri waoge lugha mbovu ili waumie watambue haki zao
Hao walimu wabakaji,wavuta bangi na wanaotamani kuwa mashoga ndo hao akina mpwayungu villageKweli kabsa walimu wanaheshimika sna ata mitaani walimu ata kumkopea bidhaa ni rahisi sana, kwa sababu unajua ana uhakika wa kipato, kwenye makanisa wanachaguliwa viongozi na hata wakistaafu wanaaminiwa sna kwenye mambo mbalimbali ya kijamii , shida inakuja kwa hawa walimu uchwara wabakiji na wavuta bangi , hao wachache wa ovyo wanafanya walimu waonekane wa ovyo kwa sababu tu walimu ni walezi wa watoto wetu , ebu fikiria pale unaposikia mlezi wa mwanao amelawiti mtoto , apo lazima wazungumziwe sna.
Muache kuiba kura kwa malipo kiduchu.Usituchoshe maana sisi tunaishi Kwa uzalendo Kwa kufuata ideology ya mwalimu nyerere. Kama Kuna mwalimu kaja kutafuta utajiri kupitia kwenye uwalimu basi nashauri aondoke hayupo sehemu sahihi
Mbona unatunanga sana kwani vipi weweeee ebu tuache haloooo. Walimu wote tupo pamoja na serikali maana bila mama Samia mimi watoto wangu hawawez kula kwasababu yeye ndoananipa mshahara. Huwezi mpangia boss wako kiasi gani cha pesa akulipe
Kwa mwalimu ambae anaona anaonewa aondoke sisi hatuna shida na utajiri. Kama unaona laki tano ndogo jaribu kumpa ambae hana kazi kama ataona ndogo
Ule upepo wa wewe kutamani kuwa jike shupa hautabadilisha Kwa kujaribu kuwaangushia walimu jumba bovuWanadunduliza tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kibaya haki aliyochaguwa yeye ni ya kuwa mwanamke.Mkuu yule ni mwalim mwenzenu ana wahamasisheni mudai haki zenu muungeni mkono ila tu abadili mbinu, hiyo ya kuwadhihaki sio mzuri