Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

hili ni janga lingine
unajua mtoto yupo na mwalimu wake kumbe ana fanyiwa ufuska
 
Mwalimu heb fungua miradi itakusaidia kuwa busy na kufatilia maisha ya watu. Haya unayoleta hapa hayana ushahidi. Na nakuhakikishia hayawez kumpeleka mwalim popote sio kwa kupindisha sheria.Ila kingine ujue haya ni maisha mwalim unayetaman afungwe ana ndugu na huenda ana mke na watoto wanamtegemea. Hao viongozi unaowaona Kama wanataka kupindisha sio kupindisha Ila ni wana busara. Kama wangekua wanaamua kwa akili zako basi hapo shuleni ungebaki wewe na kina madam tu. Ila huwez kuamua hivyo mpaka ushahid ujitosheleze, muda wa kukaa kufatilia Jambo moja watu hawana, posho na mafuta ya kuja kila siku kukusanya taarifa ni changamoto nyingine. Mwalimu huyo akihamishwa hapo teaching load itaongezeka kwenu mnaobakia

Wewe ni mwanaume jifunze kukaa na Mambo na pia unaweza kuongea na wenzio kishkaji wakachukua tahadhari, wanawake mtaani wapo kibao na hata km kwa mwanafunzi bas atafute mazingira mengine sio shule maana anachafua image ya shule. Mkuu hao watoto watagongwa tu hata Kama hao walimu wakinyongwa. Kama mtoto hajitambui atagongwa tu. Kuna wanaume wanapenda Totoz mtaani, Kuna vibosile wafanyabiashara na watumishi wengine, mabrazamen wa kitaa mtoto asipojitambua atagongwa tu. Pole Sana hiyo kazi unayotaka kufanya hutaona manufaa yake, jikite kwenye maisha yako
Fact
 
sasa ningekuwa mimi ningeweka kabisa na ushahid watu waone na kama ni kunyea debe wakanyee uko

wajinga sana hao, watu wa hivyo sio wa kuwaonea huruma sababu wao wenyewe hawajionei huruma

Nan amfunge paka kngele?
 
Heb usituvunjie heshima lakin mm namjua aliyepost hapa ni visa tuu hivi hamna ukwel wowote isitoshe alikuwa anahudhuria vikao vyote leo kajifanya kuleta hapa akilenga kumhari ia mtu
Ni wa kupuuzwa huyu

Heri kimya kitawale....hta andika yako inasadifu ni ukoo wa kambare....
 
Hiyo issue ya Teacher na dent kuishi kinyumba niliikuta hapo mwaka 2012 na binti alikuwa bado anasoma.

Hiyo ndoa bado ipo?

BTW:Hiyo Sec ipo getini mwa Butimba TTC,kwa nini wasiopoe wanachuo? Au wamezoea vya kunyonga?

Wat hawjui....ni vle tuu meng yanaishia ofcn kwa mkuku wa skul
 
Haya mambo yapo sana mashuleni, wengine wanategwa na wanafunzi ,wengine wanawalazimisha wanafunzi, ila mimi siku nikiletewa malalamiko na mwanangu kwamba mwalimu alitaka kumbaka, siendi popote ila mbinu zangu za kumnyonyoa kama bata zitatumika,wanaweza wakamuokota mtaroni akiwa uchi na chupa ya bia imezamishwa kwenye tigo,ama wakamuokota na ulemavu
 
  • Thanks
Reactions: ALT
TUKIO HILI LILITOKEAJE?

Kwa ufupi walimu hao wawili ofisi yao ni maabara ambayo ina magrill na mapaazia mazito.
Mapazia maabara ...wakichanganya madawa yakawashinda ukatokea moto usalama unakuwaje
 
Leo hal ilchafka skul tang asbhi....btmba btmba
Jamaa majungu hayakusaidii na hayana tija, usitake kuharibia maisha yao sababu ya utashi wako na wivu wa kipumbavu, kama kweli ulikuwa na ushahidi na umeona yamefanyika umeshindwa nini kwenda kwenye vyombo husika ukatoe ushahidi au ukafungue kesi?

Unatuletea humu sisi huu utumbo wako tukusaidie nini? nini umekipata mpaka sasa? umenufaika na nini? Jua lilishazama tupe update basi Mkuu kafukuzwa na ushapewa barua? kama we ni mwanume bila shaka ni shoga na unabinuliwa nyuma, lakini kama wewe ni mwanamke, hao walimu uliowataja huenda umekuwa ukijiuza kwao na wamekukataa, go to hell F**k off your ass!
 
Jamaa majungu hayakusaidii na hayana tija, usitake kuharibia maisha yao sababu ya utashi wako na wivu wa kipumbavu, kama kweli ulikuwa na ushahidi na umeona yamefanyika umeshindwa nini kwenda kwenye vyombo husika ukatoe ushahidi au ukafungue kesi?

Unatuletea humu sisi huu utumbo wako tukusaidie nini? nini umekipata mpaka sasa? umenufaika na nini? Jua lilishazama tupe update basi Mkuu kafukuzwa na ushapewa barua? kama we ni mwanume bila shaka ni shoga na unabinuliwa nyuma, lakini kama wewe ni mwanamke, hao walimu uliowataja huenda umekuwa ukijiuza kwao na wamekukataa, go to hell F**k off your ass!

The the theeeee.....ndo mshauri wa karib wa mkuu wa kituo btmbaaa....jomonii....Mungu akusameheeeee. Msimpotoshe, mshaurini kwa bsara.....zaidi ya yte mbna hukuongea mble ya mkulu au mble ya ule ugen wa wilayan?

Ujinga tyuuuu....karatas ya kwnza ina mrjesho.
 
Jamaa majungu hayakusaidii na hayana tija, usitake kuharibia maisha yao sababu ya utashi wako na wivu wa kipumbavu, kama kweli ulikuwa na ushahidi na umeona yamefanyika umeshindwa nini kwenda kwenye vyombo husika ukatoe ushahidi au ukafungue kesi?

Unatuletea humu sisi huu utumbo wako tukusaidie nini? nini umekipata mpaka sasa? umenufaika na nini? Jua lilishazama tupe update basi Mkuu kafukuzwa na ushapewa barua? kama we ni mwanume bila shaka ni shoga na unabinuliwa nyuma, lakini kama wewe ni mwanamke, hao walimu uliowataja huenda umekuwa ukijiuza kwao na wamekukataa, go to hell F**k off your ass!
I bet huyo bwege ni mwalimu tena wa hapohapo Butimba.
 
I bet huyo bwege ni mwalimu tena wa hapohapo Butimba.

Mwalim mwenzang kabsaaaa....kaandikwa leo na wanfnzi wa kike kwa pepa zle . Wajua mara ngap? Hebu niishie hap kwa sas. Wakizidi kuja hawa wahun ntamsema mmoja mmoja na id ake na jna lake la kituo. Naon wanazid washa moto.

Mwanafnzi kushona sket kapoteza ushahid? Mwaliiiimuuu wa sayanziiii
 
Back
Top Bottom