Walimu tuliotoboa kimaisha tujuane

Dadavua 100m umepataje
 
Kama kweli wewe ni mwalimu wa serikali na huna mume/mke au mtu wa kukulea na una zaidi ya 100M kwenye akaunti yako ya benki.
Naomba bank statement nikupongeze kwa 5M cash.
Na pia naomba financial report yako toka auditor otherwise ni chai kavu.
 
Liongo tu hili mkuu
 
Hata uwe ndugu yake shetani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama kweli wewe ni mwalimu wa serikali na huna mume au mtu wa kukulea na una zaidi ya 100M kwenye akaunti yako ya benki.
Naomba bank statement nikupongeze kwa 5M cash.
Na pia naomba financial report yako toka auditor otherwise ni chai kavu.
Tungeanza kuweka bank statements zetu kisha ndo tumdai mtoa hoja. Vinginevyo naona viashiria vya wivu, husda na chuki binafsi
 
Kuna mwalimu mmoja

Alipangiwa kijijini sana

Leo ni bilionea
 
Tungeanza kuweka bank statements zetu kisha ndo tumdai mtoa hoja. Vinginevyo naona viashiria vya wivu, husda na chuki binafsi
Mm binafsi sina 100M kwenye benki akaunti yangu japokuwa nina mali zenye thamani ya nusu B.
Wivu na chuki kwa mtu usiyemjua halafu iweje?
Acha kutetea ushoga jomba.
Tunataka athibitishe hiyo 100M kwenye benki akaunti yake otherwise akadanganye wajinga wenzie ukiwemo wewe.
 
Sasa hizo ndo akili za waalimu wa Tanzania hata kutunga uongo hawajui, mtu mwenye akili utatunzaje 100m bila kuwekeza mahara ili zilete faida zaidi, hata wafanya biashara wakubwa wanaweka hiyo salio kwa sabb ya kulipia kodi za serikali na kuagiza mizigo mingine, eti pesa ikae mwaka mzima, ni waalimu tu ndo wanao weza kufanya hilo.
 
Mbona kasema kawekeza kwenye nyumba? Au hutaki awe na balance ya 100m?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…