establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
Ticha unauza bange sio Kwa ukwasi huo. Au jambazi usiku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vipi Mock mmemaliza kusahihisha?Jifarijini tu ila mnapulizwa na upepo tu
Hakuna mhadhiri mwenye kiwango cha million mia kabla ya kustafu, kwanza niwanamadeni hatariHata Wahadhiri nao ni walimu. Tusikatae.
Sio Kwa mwalimuMimi ninachofahamu, maisha hayana formula. Unaweza ukawa Mbunge, na bado ukaja kuwa Lofa tu hapo baadaye. Na unaweza kuwa mwalimu, au mtu yeyote yule! na ukakutoboa pia.
Ni kujipanga tu.
We nae mbona unanuna bila sababu? Mtu pesa zake wewe unataka ushahidi upeleke Kwa Headmaster?Na hizo porojo zako humu JF ulileta ili iweje? Unadhani JF ni vilaza wa kuamini porojo bila ushahidi? Nenda kachukue notes kwa Bilionea Lugano mjifariji pamoja.
Dadavua 100m umepatajeJapo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Wanatumia nguvu kubwa sanaYote hii ni kutaka kumpunguza kasi yule Mpwayungu. Lol [emoji23]
Liongo tu hili mkuuWewe ndiyo ungekuwa wa kwanza kutuliza mshono.
Unakuja hapa na porojo zako unafikiri JF kuna vichwa panzi wa ku-buy your BS.
-Weka Statement hapa uliyochukua leo kwenye ATM ikionyesha Balance ya zaidi ya m100 ,hide Personal details tuonyeshe salio tu...hizo za nyumba tukisema uweke itaonyesha identity yako au wenye nyumba zao watakujia juu kwa kupiga picha nyumba zao na kuziweka mitandaoni.
Hata uwe ndugu yake shetani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]niwe mkweli watanzania wajue ukweli kuhusu ualimu, mimi namiliki nyumba zaidi ya tatu , niamiliki mashamba ya parachichi miti, nina canter, scania na gari ndogo , na gari ndogo ya kutembela , nina mifugo ngombe , store ya nafaka nk ila ukweli ni kuwa hiv vitu sijapata kupitia kazi ya ualimu nimerithi kutoka kwa mzee wangu alifariki na familia ilinimini so nasimamia tu , ualimu haufanyi haya hata uroge
Tungeanza kuweka bank statements zetu kisha ndo tumdai mtoa hoja. Vinginevyo naona viashiria vya wivu, husda na chuki binafsiKama kweli wewe ni mwalimu wa serikali na huna mume au mtu wa kukulea na una zaidi ya 100M kwenye akaunti yako ya benki.
Naomba bank statement nikupongeze kwa 5M cash.
Na pia naomba financial report yako toka auditor otherwise ni chai kavu.
Kuna mwalimu mmojaJapo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.
1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)
Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Bado wewe active teacher au ilikua mualimu ukaacha, kama una nia nzuri ya kuelimisha na kushare na wenzako tuambia ulifanya hiyo kazi ya ualimu kwa miaka mingapi na uliacha kwa wakati upi ukiwa na nini?Mapambano yanaendelea Nina mpango niwe na 200m TZS ifikapo 2026.
Mm binafsi sina 100M kwenye benki akaunti yangu japokuwa nina mali zenye thamani ya nusu B.Tungeanza kuweka bank statements zetu kisha ndo tumdai mtoa hoja. Vinginevyo naona viashiria vya wivu, husda na chuki binafsi
Sasa hizo ndo akili za waalimu wa Tanzania hata kutunga uongo hawajui, mtu mwenye akili utatunzaje 100m bila kuwekeza mahara ili zilete faida zaidi, hata wafanya biashara wakubwa wanaweka hiyo salio kwa sabb ya kulipia kodi za serikali na kuagiza mizigo mingine, eti pesa ikae mwaka mzima, ni waalimu tu ndo wanao weza kufanya hilo.Mm binafsi sina 100M kwenye benki akaunti yangu japokuwa nina mali zenye thamani ya nusu B.
Wivu na chuki kwa mtu usiyemjua halafu iweje?
Acha kutetea ushoga jomba.
Tunataka athibitishe hiyo 100M kwenye benki akaunti yake otherwise akadanganye wajinga wenzie ukiwemo wewe.
Mbona kasema kawekeza kwenye nyumba? Au hutaki awe na balance ya 100m?Sasa hizo ndo akili za waalimu wa Tanzania hata kutunga uongo hawajui, mtu mwenye akili utatunzaje 100m bila kuwekeza mahara ili zilete faida zaidi, hata wafanya biashara wakubwa wanaweka hiyo salio kwa sabb ya kulipia kodi za serikali na kuagiza mizigo mingine, eti pesa ikae mwaka mzima, ni waalimu tu ndo wanao weza kufanya hilo.
Nyumba mbili dodoma haziwezi kukupa zaidi ya 2m kwa mwezi, manaake ni miezi 50 kupata 100m jambo ambalo sio rahisi.Mbona kasema kawekeza kwenye nyumba? Au hutaki awe na balance ya 100m?