Walimu tuliotoboa kimaisha tujuane

Walimu tuliotoboa kimaisha tujuane

Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.

1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)

Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Dadavua 100m umepataje
 
Kama kweli wewe ni mwalimu wa serikali na huna mume/mke au mtu wa kukulea na una zaidi ya 100M kwenye akaunti yako ya benki.
Naomba bank statement nikupongeze kwa 5M cash.
Na pia naomba financial report yako toka auditor otherwise ni chai kavu.
 
Wewe ndiyo ungekuwa wa kwanza kutuliza mshono.

Unakuja hapa na porojo zako unafikiri JF kuna vichwa panzi wa ku-buy your BS.

-Weka Statement hapa uliyochukua leo kwenye ATM ikionyesha Balance ya zaidi ya m100 ,hide Personal details tuonyeshe salio tu...hizo za nyumba tukisema uweke itaonyesha identity yako au wenye nyumba zao watakujia juu kwa kupiga picha nyumba zao na kuziweka mitandaoni.
Liongo tu hili mkuu
 
niwe mkweli watanzania wajue ukweli kuhusu ualimu, mimi namiliki nyumba zaidi ya tatu , niamiliki mashamba ya parachichi miti, nina canter, scania na gari ndogo , na gari ndogo ya kutembela , nina mifugo ngombe , store ya nafaka nk ila ukweli ni kuwa hiv vitu sijapata kupitia kazi ya ualimu nimerithi kutoka kwa mzee wangu alifariki na familia ilinimini so nasimamia tu , ualimu haufanyi haya hata uroge
Hata uwe ndugu yake shetani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama kweli wewe ni mwalimu wa serikali na huna mume au mtu wa kukulea na una zaidi ya 100M kwenye akaunti yako ya benki.
Naomba bank statement nikupongeze kwa 5M cash.
Na pia naomba financial report yako toka auditor otherwise ni chai kavu.
Tungeanza kuweka bank statements zetu kisha ndo tumdai mtoa hoja. Vinginevyo naona viashiria vya wivu, husda na chuki binafsi
 
Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.

1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)

Mpwayungu Village
Kazi kipimo cha utu (Lukosi, 2022)
Kuna mwalimu mmoja

Alipangiwa kijijini sana

Leo ni bilionea
 
Tungeanza kuweka bank statements zetu kisha ndo tumdai mtoa hoja. Vinginevyo naona viashiria vya wivu, husda na chuki binafsi
Mm binafsi sina 100M kwenye benki akaunti yangu japokuwa nina mali zenye thamani ya nusu B.
Wivu na chuki kwa mtu usiyemjua halafu iweje?
Acha kutetea ushoga jomba.
Tunataka athibitishe hiyo 100M kwenye benki akaunti yake otherwise akadanganye wajinga wenzie ukiwemo wewe.
 
Mm binafsi sina 100M kwenye benki akaunti yangu japokuwa nina mali zenye thamani ya nusu B.
Wivu na chuki kwa mtu usiyemjua halafu iweje?
Acha kutetea ushoga jomba.
Tunataka athibitishe hiyo 100M kwenye benki akaunti yake otherwise akadanganye wajinga wenzie ukiwemo wewe.
Sasa hizo ndo akili za waalimu wa Tanzania hata kutunga uongo hawajui, mtu mwenye akili utatunzaje 100m bila kuwekeza mahara ili zilete faida zaidi, hata wafanya biashara wakubwa wanaweka hiyo salio kwa sabb ya kulipia kodi za serikali na kuagiza mizigo mingine, eti pesa ikae mwaka mzima, ni waalimu tu ndo wanao weza kufanya hilo.
 
Sasa hizo ndo akili za waalimu wa Tanzania hata kutunga uongo hawajui, mtu mwenye akili utatunzaje 100m bila kuwekeza mahara ili zilete faida zaidi, hata wafanya biashara wakubwa wanaweka hiyo salio kwa sabb ya kulipia kodi za serikali na kuagiza mizigo mingine, eti pesa ikae mwaka mzima, ni waalimu tu ndo wanao weza kufanya hilo.
Mbona kasema kawekeza kwenye nyumba? Au hutaki awe na balance ya 100m?
 
Back
Top Bottom