This is not right. Damu ni takataka hatarishi. Kwanza nahakikisha hawa walimu wanakamatwa na kufikishwa mahakamani kwa hela zangu wenyewe ili wajinga wengine wajifunze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas mistress anashikisha wotee huo uchafu mjisikie vizurii. Woiiiih
Kati yako na mimi nani mpumbavu?Acha upumbavu, ulitaka walimu wao ndio washike na kuondoa hizo pedi chafu?
Watoto wa siku hizi hawasikii kabisa, walimu wapongezwe.
Tena wakirudia upuuzi wa kuchafua vyoo kwa kutupa pedi chooni hizo pedi wazibebe hadi vitandani mwao ndio akili itawakaa vizuri.
Walimu karibuni Marangu mtoni mnywe bia na kula nyama bili yangu nalipa.
Hivi ikitokea mtu kanya hapo ulipopanga hajasafisha, unaona sawa wewe uitwe kushika yale mavi kama adhabu ili siku nyingine isijirudie?Wanashika wote ili asitokee mwingine akarudia, na kunakua hajulikani nani ndo alitupa hiyo pedi.
Hivyo adhabu inahusisha wotee.
Yani kama ningelikuwa na mtoto asoma hapo halafu aniletea habari kama hizo,aiseee hao walimu WANGELIJUTA KUZALIWA.Wasalaam
Jana jioni nimesikia kisa cha kushangaza sana. Wakati nikiwa kwenye simu naongea na aunt, mtoto wa form one (mtoto wa aunt) alirudi analia. Kumuliza analia nini? Akajibu shuleni wameshikishwa pedi chafu
Kisa kenyewe ni hiki kilichotokea shule ya Rasesa Secondary School huko Rawia Marangu
Choo cha shule kiliziba, na hii inatokana na watoto wa kike kutupa pedi chooni. Walimu walikerwa na hili sana sana
Muhusika wa kauzibua choo aliitoa ile pedi ikawekwa kwenye ndoo. Watoto wote wa kike kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha nne wakaitwa kwa majina hadharani.
Waalimu wakaamrisha kila mtoto wa kike ashike ile pedi iliyopo kwenye ndoo na mkono wa kulia kama adhabu siku nyingine wasirudie kutupa chooni.
Nimemshauri mama mdogo alifikoshe holi swala kwa afisa wa elimu.
Nimesikitika sana. Sina uvumilivu kwenye malezi ya watoto. Kwa uchangiaji wa watu humu Inaonyesha huwa yanafanyika sana tuYani kama ningelikuwa na mtoto asoma hapo halafu aniletea habari kama hizo,aiseee hao walimu WANGELIJUTA KUZALIWA.
UMEROPOKA SANA NA UMELETA MAMBO IRRELEVANT.Leo naomba niwatetee Waalimu maana mnawaandama sana.
Hayo ndo maisha ya Shule za Tanzania, mpaka ma Raisi waliokoteshwa Takataka shuleni, walifagia madarasa na Kudeki vyoo na hujawahi kusikia wamelalamika maana wanajua bila maarifa Yale wasingekua na nidhamu ya kuwafikisha hapo walipo.
Sasa watoto wamejaza pedi chooni ulikua unataka nani awajibike kuzitoa??, nani anaemjua alieiweka??, wangeadhibiwa Kwa viboko wakaumizwa si ungekuja na Uzi mwingine hapa kwamba mwanao kaonewa??
Unajua mziki wa kukaa na watoto 1200 kutoka familia tofauti Mkuu, Kila mtoto ana Kuja na tabia yake kutoka nyumbani kwao na unatakiwa uwasimamie wote wawe sawa, hiyo kazi ungepewa wew unafkiri ungekua hautelezi kwenye maamuzi yako as a human??
Plus, wazazi wenyewe mnaolea ndo kama wew Mkuu elimu haijakusaidia, mgomvi na mtu usiejua kutumia busara unafkiri hao walimu watakua na uzito kiasi gani wa kazi ya kumfundisha mwanao kitaaluma na malezi sahihi ambayo hayapati maskani??
Wanaweza wasiwe sahihi kwenye hilo lakini kabla hujawaanika hapa hebu vaa Viatu vyao kwanza...
Ni kawaida ya watu walio na maarifa na busara fupi,huwa wanaona njia sahihi ni matumizi ya nguvu badala ya akili kama wewe na hao walimu.Acha upumbavu, ulitaka walimu wao ndio washike na kuondoa hizo pedi chafu?
Watoto wa siku hizi hawasikii kabisa, walimu wapongezwe.
Tena wakirudia upuuzi wa kuchafua vyoo kwa kutupa pedi chooni hizo pedi wazibebe hadi vitandani mwao ndio akili itawakaa vizuri.
Walimu karibuni Marangu mtoni mnywe bia na kula nyama bili yangu nalipa.
Kwanza mkuu hii ni shule ya serikali au binafsi??Nimesikitika sana. Sina uvumilivu kwenye malezi ya watoto. Kwa uchangiaji wa watu humu Inaonyesha huwa yanafanyika sana tu
Hawajui kwa hizo damu zilizoganda kama hiyo pedi ilitumiwa na mwenye virusi vya HIV wanafunzi wanaweza kuambukizwa.This is not right. Damu ni takataka hatarishi. Kwanza nahakikisha hawa walimu wanakamatwa na kufikishwa mahakamani kwa hela zangu wenyewe ili wajinga wengine wajifunze
Hili nataka liwe somo kwa wajinga wengi walio humu ndani
Ndio maana kuna utofauti wa wanafunzi wanaosoma English medium na Kayumba.Hii shule inaitwa Rasesa Secondary School, iko Rawia Marangu. It's a government school
Unachomfundisha mtoto shule ndio muongozo wa maisha yake. Ukiona mtu anatetea ujinga kama huu unaweza mlaumu bure kumbe ndicho alichotoka nacho shuleHawajui kwa hizo damu zilizoganda kama hiyo pedi ilitumiwa na mwenye virusi vya HIV wanafunzi wanaweza kuambukizwa.
Damu ni taka hatarishi SAANAAA TENA SAANAAA.
Angewapa vifaa na kuwaamuru wazibue vyoo nisingelalamika,maana wamepewa vifaa na wanafanya usafi kurekebisha walichokifanya.
Ila kumshikisha mtu pedi ilotumika tena imetoka kwa shimo la choo hapana.
Nilisoma shule moja iko mikocheni aisee hakuna mwanafunzi anayechapa fimbo mpaka namaliza sixNdio maana kuna utofauti wa wanafunzi wanaosoma English medium na Kayumba.
English medium huwa wanakupaga psychological punishments ambazo zinakujenga kiasi unajirekebisha na kuwa mwalimu ama muangalizi wa wenzako.
Huwa hawatumii nguvu,ila hizi shule za serikali wanaona nguvu ndio kila kitu.
Mie nashukuru nimesoma shule za aina zote hizi mbili.Unachomfundisha mtoto shule ndio muongozo wa maisha yake. Ukiona mtu anatetea ujinga kama huu unaweza mlaumu bure kumbe ndicho alichotoka nacho shule
Kwa nchi za wenzetu hawa walimu lazima wachezee mvua jela.
Mwalimu jinga hawezi kumtoa mtoto ujinga. Serikali itazame hili swala kwa Nicholas la tatu
Mkuu njoo PM tumalizane hapa tutafaidisha wengi Sana maana ulivyonikimbilia utafikiri mi ni Baba Ako wa kambo, anywaysUMEROPOKA SANA NA UMELETA MAMBO IRRELEVANT.
Mtu ambaye hakutumia busara ni huyo mwalimu ambaye kashikisha watoto pedi ilotoka chooni.
Kuna adhabu mbadala ambazo walimu wangezitumia kulikomesha hilo.
-Kuokoteshwa takataka ni usafi.
-Kufagilishwa shule ni usafi.
-Kudeki vyoo ni usafi.
Hivi vitu unafananishaje na KUWASHIKISHA WATOTO PEDI YENYE DAMU YA HEDHI ILOTOKA KATIKA SHIMO LA CHOO!?
Unajua hilo kiafya limekaaje!?
Shule nyingi wanatumia nguvu sana hata kuwakusanya watoto kama mang'ombe. Mwanafunzi anamaliza shule mweupe kichwaniMie nashukuru nimesoma shule za aina zote hizi mbili.
Nilipomaliza la 7 nilichagua kusoma government Temeke sekondari,niliona utofauti sana,kwanza walimu ni watu wa matumizi ya nguvu,busara hawana pia ni wakandamizaji.
Wanafunzi waoga,hawajui kujitetea na pia hawafahamu haki zao hata wakifahamu ni waoga kujitetea kisa uoga wa walimu.
Niliwanyoosha pale Temeke sekondari mpaka naondoka walimu walisema kweli tulipata mwanafunzi mtukutu.
Collective responsibility. Walimu wapo sawa. Lazima watoto wafundishwe adabu.Kati yako na mimi nani mpumbavu?
Kama ulienda shule basi ulienda kusindikiza wenzako. Kama kichwani kwako umeona kumshikisha mtoto pedi ya damu ni sahihi. Basi unahitaji msada wa ziada
Je Kama huyo aliyetupa pedi ni muathirika wa ukimwi? Unawahakikishiaje wengine usalama wao
Kwa nini uadhibu shule nzima kwa kosa la mtoto ambae hajulikani. Wote walitupa pedi chooni?
Futa kauli yako ya kureport kishangingi. La sivyoMkuu njoo PM tumalizane hapa tutafaidisha wengi Sana maana ulivyonikimbilia utafikiri mi ni Baba Ako wa kambo, anyways
Kwanza utambue sijakubaliana na hiyo adhabu na nilimjibu mtoa mada kulingana na namna alivyopresent hoja yake "Kishangingi" sana
Sasa Kwa namna ulivyoanza Kwa kuandika tu najua siwezi kuumiza akili yangu kutetea hoja yangu ila ni mtu unaonekana una visasi na "walimu" maana kauli yako ya mwisho imekaa " kigigy money" sana au unafkiri kupeleka watu polisi ni simple tu kama unavyopokeaga Nyama kupitia mlango wa Uani hapo Kwa Shemeji yako eeh?
Kama UALIMU ni simple kama unavyoona wew nenda kawafunge hao Walimu alafu uanze kuwafundisha wew hao watoto. Utanikuta mropokaji nimekaa pale
Mnawaonea sana Walimu Kwa kua ni wanyonge ila sijawahi sikia hata Mmoja ana wapongeza wanapofanya vizuri zaidi ya kuwazodoa daily.
Anyways pole kama nimekuvunjia heshima, ila kama umemind PM yangu Iko wazi unaweza Kuja nikushughulikie maana nna mnemba wa kimataifa hauna kazi mchana huu
Unaropoka as always.Mkuu njoo PM tumalizane hapa tutafaidisha wengi Sana maana ulivyonikimbilia utafikiri mi ni Baba Ako wa kambo, anyways
Kwanza utambue sijakubaliana na hiyo adhabu na nilimjibu mtoa mada kulingana na namna alivyopresent hoja yake "Kishangingi" sana
Sasa Kwa namna ulivyoanza Kwa kuandika tu najua siwezi kuumiza akili yangu kutetea hoja yangu ila ni mtu unaonekana una visasi na "walimu" maana kauli yako ya mwisho imekaa " kigigy money" sana au unafkiri kupeleka watu polisi ni simple tu kama unavyopokeaga Nyama kupitia mlango wa Uani hapo Kwa Shemeji yako eeh?
Kama UALIMU ni simple kama unavyoona wew nenda kawafunge hao Walimu alafu uanze kuwafundisha wew hao watoto. Utanikuta mropokaji nimekaa pale
Mnawaonea sana Walimu Kwa kua ni wanyonge ila sijawahi sikia hata Mmoja ana wapongeza wanapofanya vizuri zaidi ya kuwazodoa daily.
Anyways pole kama nimekuvunjia heshima, ila kama umemind PM yangu Iko wazi unaweza Kuja nikushughulikie maana nna mnemba wa kimataifa hauna kazi mchana huu