DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Me, sema sasa
Pedi aina zote zinachomeka. Na tunafundishwa hivyo kuanzia shule ya msingi kwamba tuchome moto na si kuzitupa jalalani wala kutupa ndani ya choo labda tu iwe ni choo cha shimo.

Kwani huko pande zenu wanatumia aina gani ambazo hazichomeki?
 
Itoshe kusema mleta Mada wew ni mjinga, kwaiyo ulitaka Walimu wawachekee tu hao wanafunzi wajinga?
Kwani wew unajikuta ni nan adi utake kuita wanafunzi wote mstarini? Natamani nikutane na mjinga kama wew
 
"Kuna wazazi wanauza ng'ombe kusomesha ng'ombe mmoja" By Unknown
 
Hao walimu mnawaonea bure. Kwa nini mtoa mada usishauri miundombinu mf sehemu ya kuchomea taka ijengwe kama haipo au wanafunzi waelimishwe madhara utupaji horera ya ped iliyotumika.

Tujiulize pia kuwa, mwalimu afanye nini kama sehemu sahihi ya kuweka hizo ped chafu ipo na wanafunzi kwa makusudi wanatupa huo uchafu sehemu isivyostahili?

Kama ulisoma shule za bweni tena za serikali, utakuwa unaelewa usumbufu wa wanafunzi unaofanywa kwa makusudi ili kuwakomoa walimu au kujitafutia umaarufu.

Tusikose fadhila kwa walimu kwa kukosoa na kubeza kazi nzuri wanazofanya licha ya kuandamwa na changamoto lukuki za kimaisha.
 
Unapelekaje mtoto kwenye shule ya mwalimu mpumbavu kwa mujibu wako lakini , ushauri ni huu tafuta hela hakuna shule ya maana mtoto anatumwa ua wala mti ,tafuta pesa,unatuletea hadithi za uvivu wa kufikiri eti nililuwashia mwalimu moto,katafute hela shule zipo za ada hata laki mbili kwa miezi mitatu hawatumi maua na miti.
 
Ingekuwa shule ya wakatoliki wanashika vizuri tu na ukilalamika chukua mtoto wako peleka kokote utakapojisikia hawafugi ujinga ,uliza watoto waliosoma shule za katoliki wakifanya ujinga wa kuziba choo kwa pedi wanazibua wenyewe na hakuna wa kulalamika ,ndio maana watoto wanatoka shule wanajua kulima ,ikibidi kufuga ,na division one ipo.Masister na mapadre wako mbele ya muda sana .
 
Unapelekaje mtoto kwenye shule ya mwalimu mpumbavu ,tafuta hela hakuna shule ya maana mtoto anatumwa ua wala mti ,tafuta pesa
Shule za kishua hazina mambo ya kipuuzi. Ngoja wake wafunguke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…