Walimu wa shule za awali na shule za msingi pamoja na wazazi kwa ujumla

Walimu wa shule za awali na shule za msingi pamoja na wazazi kwa ujumla

kabisa hakuna, hata hao wazaz hawajasema shule walim hawana walijualo bora wangekua wawazi ingesaidia ajue anaishi nao vipi kwa ujumla bila ya kumbagua tena ananiambia huyu mtoto hasikii sana unaweza ukafungwa kwa kumpiga
Ngumu sana kwa mzazi kuandika Hali ya afya ya mwanao hasa kwa tatizo kama lile

Inafahamika watanzania ukianika Hali yako tayari unaanza kukutana na Hali ya unyanyapaa,

Kuna muda unaweza ukahisi umepeleka Siri zako kwa mtu sahihi lakini ikawa sivyo ulivyofikiria ,


Ninachojaribu kusema ni: elimu ya waalimu wa nursery na hata jamii ya kitanzania bado tupo nyuma usishangae wakiambiwa wataanza kumnyanyapaa mtoto , Kuna wengine hata wanafanya kazi ya kupinga hivo vitendo kwenye media ila jaribu kuishi nae ndo unamuona mbona anachosema kule na huku tofauti
 
Hivi bado watoto wa watu wa mjini na uchumi wa kati wanazaliwa na HIV?

Unajua mtu anayempeleka mtoto wake hizo shule anakuwa kidogo ana fedha na uelewa. Sasa ilikuwaje akajifungua bila kwenda kliniki na kupima HIV ili kama mama alikuwa mjamzito apewe dawa za kuzuia maambukizi kwenda kwa mtoto?

Inawezekana huyo mtoto wazazi wake ni waathirika ila mtoto ni mzima. Ila kama una uhakika mtoto naye ni mwathirika, basi hao wazazi ni makatiri sana. Yaani mama alishindwa kuzuia maambukizi kwa mtoto?!
 
Huko mashuleni haswaa awali Kuna mlezi alipigiwa simu mwanawe kamwagiwa uji usoni na mwanafunzi mwenZiwe
USO umeumukaa balaaa
Nilichoka hoii,inshort walimu Hawa WA Sasa ni kimaslahi zaidi
 
Je kipindi unafanya uandishikaji kuna fomu yoyote ya kujaza inayomtaka mzazi atoe taarifa za kiafya ya mtoto? Jibu ni HAPANA. Shule nyingi za msingi za serikali hakuna ufuatiliaji! [emoji27]
 
Ngumu sana kwa mzazi kuandika Hali ya afya ya mwanao hasa kwa tatizo kama lile

Inafahamika watanzania ukianika Hali yako tayari unaanza kukutana na Hali ya unyanyapaa,

Kuna muda unaweza ukahisi umepeleka Siri zako kwa mtu sahihi lakini ikawa sivyo ulivyofikiria ,


Ninachojaribu kusema ni: elimu ya waalimu wa nursery na hata jamii ya kitanzania bado tupo nyuma usishangae wakiambiwa wataanza kumnyanyapaa mtoto , Kuna wengine hata wanafanya kazi ya kupinga hivo vitendo kwenye media ila jaribu kuishi nae ndo unamuona mbona anachosema kule na huku tofauti
hata kama, ila je ikatokea amemuumiza mwenzie kwa bahat mbaya kosa litakus la nani?? ninachoona sahihi aongee na walim wao watajua namna ya kumuangalia
 
Je kipindi unafanya uandishikaji kuna fomu yoyote ya kujaza inayomtaka mzazi atoe taarifa za kiafya ya mtoto? Jibu ni HAPANA. Shule nyingi za msingi za serikali hakuna ufuatiliaji! [emoji27]
hapana, hapana kabisa ni details tu za majina ya mtoto na wazazi na sehem anayoishi na mambo mengine ya kishule
 
Huko mashuleni haswaa awali Kuna mlezi alipigiwa simu mwanawe kamwagiwa uji usoni na mwanafunzi mwenZiwe
USO umeumukaa balaaa
Nilichoka hoii,inshort walimu Hawa WA Sasa ni kimaslahi zaidi
uwiii Mungu aepushie jaman mana huko wanaunywa pia huo uji nimekuta busy na sim hana habari nimeghafilika vibaya sana
 
Hivi bado watoto wa watu wa mjini na uchumi wa kati wanazaliwa na HIV?

Unajua mtu anayempeleka mtoto wake hizo shule anakuwa kidogo ana fedha na uelewa. Sasa ilikuwaje akajifungua bila kwenda kliniki na kupima HIV ili kama mama alikuwa mjamzito apewe dawa za kuzuia maambukizi kwenda kwa mtoto?

Inawezekana huyo mtoto wazazi wake ni waathirika ila mtoto ni mzima. Ila kama una uhakika mtoto naye ni mwathirika, basi hao wazazi ni makatiri sana. Yaani mama alishindwa kuzuia maambukizi kwa mtoto?!
usishangae hilo kuna mzazi ana kazya kumpa mwanae hivo vidonge mtoto imefikia hatua anamwabia mam yake mimi naumwa nn kila siku nakunywa dawa nimechoka leo sinywi nikamuonea huruma mtoto kama huyu unakuja kumwambia vipi akuelewe mzazi wake??

yapo sana hayo japo hayana nguvu sana
 
hope wanafunzi hawakukucheka
Cute,ni kuwa makini tu na kutokuacha kumhasa mtoto akiwa home asicheze michezo ya kuumizana na wenzie akiwa shule....wanafunzi wagonjwa ni wengi sasa....Yaan ni wengi sana na wachache wazazi wao huweka waz
 
Cute,ni kuwa makini tu na kutokuacha kumhasa mtoto akiwa home asicheze michezo ya kuumizana na wenzie akiwa shule....wanafunzi wagonjwa ni wengi sasa....Yaan ni wengi sana na wachache wazazi wao huweka waz
kwa hili nililoliona leo nimehisi hivohivo, hii n shule english medium sasa hizo za huko serikalini sjui zina hali gan Mungu atusaidie kwa kwelu, mwanangu ni mdogo lakini hua naongea nae kama mtu mzima mwenzangu, usipokee kitu kwa mu usiemjua, ukiitwa na mtu humjui usiende, mtu asijaribu kukuambia vua nguo na mengi ya kidunia
 
No, tatizo ni mrundikano darasani. Una madawati 10 -15 una watoto 90! Utafanya nini wawe katika utulivu? Sekondari wanadai kila darasa meza na viti viwe 40/40 ila una students mpaka 70, unawatulizaje?
hilo darasa lo hata 25 hawafiki mkuu
 
2021 nlikua na form 4 class....kijana mmoja ambae alikua ni HIV+ inasemekana anamkula binti class mate nlijisikia huruma nikamuita mama wa binti nimamwambia ongea na binti yako ni 1,2,3 .....mzazi anajifanya oohh mwanangu ni bikra, bikra ya nyk 😏😏😏
 
Daah hi ni kweli kabisa wala si uwongo.
Ila kuna wazazi wengine visilani an hadi kazi inakua chungu
kuna siku tulikua kwenye kikao jamani nilisena hawa walim wa awali waheshimiwe sio siri mimi nisingeweza dakika mbili kasimama kaenda kuwatuliza hatulii
 
Back
Top Bottom