Walimu wa shule za awali na shule za msingi pamoja na wazazi kwa ujumla

Walimu wa shule za awali na shule za msingi pamoja na wazazi kwa ujumla

2021 nlikua na form 4 class....kijana mmoja ambae alikua ni HIV+ inasemekana anamkula binti class mate nlijisikia huruma nikamuita mama wa binti nimamwambia ongea na binti yako ni 1,2,3 .....mzazi anajifanya oohh mwanangu ni bikra, bikra ya nyk 😏😏😏
sasa huyo mzazi sio, ndio hao wanaoharibu watoto wao, mimi ukinambia jambo zito kama hilo sitamkingia kifua japo n mwanangu lakini lazima nikaye chini niongee naye aisee dunia ina mengi
 
Kuna watoto ni kama wana mashetani,yaani kuchangamana na wenzao hawawezi dakika mbili mara kamasukuma mwenzake,mara kamuuma,mara anapora vitu vya mwenzake.

Chanzo ni malenzi ya kishenzi ya wazazi wao.
sasa ndio huyo mtoto, mwalim ananambia hasikii sana yan hatulii hata kidogo
 
kuna siku tulikua kwenye kikao jamani nilisena hawa walim wa awali waheshimiwe sio siri mimi nisingeweza dakika mbili kasimama kaenda kuwatuliza hatulii
Na sii huwa kama watoto 🤓🤓🤓🤓🤓
Haya mambo haya basi tuu.
Sasa kupata wazazi waelewa kama nyie ni mara chache sana ila ukweli upo hivo sometimes tunapitia magumu
 
sasa huyo mzazi sio, ndio hao wanaoharibu watoto wao, mimi ukinambia jambo zito kama hilo sitamkingia kifua japo n mwanangu lakini lazima nikaye chini niongee naye aisee dunia ina mengi
Wazazi wengine akili zao huwa wanazijua wenyewe.....na mie nikishamuona mzazi ni dizaini hiyo mambo yake namuachia mwenyewe
 
Na sii huwa kama watoto 🤓🤓🤓🤓🤓
Haya mambo haya basi tuu.
Sasa kupata wazazi waelewa kama nyie ni mara chache sana ila ukweli upo hivo sometimes tunapitia magumu
yan mheshimiwe sana nyie ndio mnaotoa hao mawaziri mana ndio mliwafundisha namna ya kushika penseli mpaka mtoto akaweza, sikufichi siku ya kwanza tunaanza homework nilijua nitaua madaftar ya shule zimenyooka nyumbani hajui aanzaje aishie wapi had nikawa najiuliza huyu mtoto ukute shule anaandikiwa asbh nikamwambia mwalim wake naoba nakata tamaa mtoto kuja shule homework tunapigana akanielekeza sasa hivi tunapeta hakuna kusumbuana ila aisee mnakaz sana hongereni
 
Wazazi wengine akili zao huwa wanazijua wenyewe.....na mie nikishamuona mzazi ni dizaini hiyo mambo yake namuachia mwenyewe
hao ndio wanajiona wamejifungua watoto sie wengine hapaba yan hujikuta wao ndio wana uchungu sanaaa wakat anaeleweshwa sasa kuna siku atakuja kujutia, hata hivo sisi mama ndio tunaharibu sana watoto wetu kwenye makosa kama hivo unamkingiaje kifua?? yan naona usiku mzima tungekua na kikao n mwendo wa kuongea na stiki
 
mkuu kwa hiki ninachokiandika hapa nina uhakika 95% huyo mtoto hayuko sawa mana hata hao wazaz wao husema wakat mwengine ningekua simfaham hata isingenifikirisha
Tatizo wazazi wanajionaga wenyewe ndiyo wanajua kulea kuliko walimu..wakati watoto hao hao wameshindikana huko nyumbani. Tuwaamini walimu but pia kama Kuna changamoto muitatue kama wazazi na siyo kulaumiana.
 
nny
mkuu, wewe ni baba au mama wa mtoto wa mtu, siku moja atakua huyo mtoto tapeleka mwanae shule pengine yakawa haya mtakuja mlaum nani?? mimi sikatai mtoto tabia zake mzaz ndio anahusika kwa namna zote ila akiwa shule ni jukumu lako, sasa kuna watoto wanapigana mpaka kuumizana kutoana dam utasemaje??
nawatisha waache kupigana, wakiendelea naondoka eneo hilo , mimi ni mwalimu nachojua ni kufundisha darasani masomo , haya ya tabia mzazi unahusika
 
Tatizo wazazi wanajionaga wenyewe ndiyo wanajua kulea kuliko walimu..wakati watoto hao hao wameshindikana huko nyumbani. Tuwaamini walimu but pia kama Kuna changamoto muitatue kama wazazi na siyo kulaumiana.
wazaz wa huyu mtoto wanajua wenyewe lifestyle yao sababu kuna siku wakitibuana lazima watoleane siri nzito nzito niko nao jirani tunaonana tunaongea na wanajua ninajua lakini sijawah kuhoji hayo hayanihusu ila labhuyo mtoto wao walipaswa wakaongee na walim wao walim ndio wangejua namna ya kuish na huyo mtoto akiwa shuleni hilo ndio hawakulifanya kimya kimya tena hata siku wanataka kumpeleka huyo mtoto hapo shule abcd za shule na ujumla walikuja kuniuliza mm na nikawaelekeza wapi waende
 
sijakataa ila wewe mwalim akiwa shule unaplay vipi part yako kwa mtoto asiesikia?? kwamba mimi nafundisha atajua mwenyewez wewe ni aina ya wale walimu wa mimi nina shida gan mwisho wa siku mwisho mwez hela yangu inaingia utajijua na baba yako s ndio??
nny

nawatisha waache kupigana, wakiendelea naondoka eneo hilo , mimi ni mwalimu nachojua ni kufundisha darasani masomo , haya ya tabia mzazi unahsika
 
mimi niko hivo serious ninachojali ni biashara zangu, na mshahara, nimejifunza sana kuhusu maisha ya watanzania na visa vyao, mwalimu hana zuri kwao muda wote ni mkosaji tu ukimchapa huyo mtoto mzazi anakuja juu , ukimwacha unalaumiwa ,sasa bora lawama tu serikali inipe salary wamefaulu hawajafaulu, wana tabia nzuri au hapana sijui ,najali wanangu tu
sijakataa ila wewe mwalim akiwa shule unaplay vipi part yako kwa mtoto asiesikia?? kwamba mimi nafundisha atajua mwenyewez wewe ni aina ya wale walimu wa mimi nina shida gan mwisho wa siku mwisho mwez hela yangu inaingia utajijua na baba yako s ndio??
 
2021 nlikua na form 4 class....kijana mmoja ambae alikua ni HIV+ inasemekana anamkula binti class mate nlijisikia huruma nikamuita mama wa binti nimamwambia ongea na binti yako ni 1,2,3 .....mzazi anajifanya oohh mwanangu ni bikra, bikra ya nyk 😏😏😏
Aah wazazi kwa kuwatetea watoto sasa, huwa wanahisi sijui hatuwapendi watoto wao na tunawasingizia!! Mtoto anakiri kashakulwa na midume kibao na kuchoropoa mimba tatu ila mzazi anakomaa mwanae ni bikra🙆🙆🙆
 
Umenikumbusha kuna kijana alikuwa +, sasa ukaibuka ugomvi wasichana wanne wanagombana kisa yeye. Kwakuwa nilikuwa najua status yake niliumia sana. Kumuuliza akadai "sikuwatongoza walijilengesha, acha tu waupate maana hata mimi sikupenda kuzaliwa nao".

Sijui kama wale mabinti waliukwaa au la. Na sijui kama baada ya kuhitimu aliendelea kuusambaza au la!!

Walimu tuna taabu sana, sasa hapo unawalinda vipi hao wanafunzi? Manaa huwezi kuweka wazi status ya mwenzao. Na sio muda wote utakuwa ukishuhudia yanayoendelea. Tena hao wadogo ndio ukigeuza mgongo tu....."one mistake, one goal". Its not easy.
asante sana wewe umenielewa, mimi niliukuta ugomvi mwalim yuko busy na sim yake nikajiongeza huyu itakua kishazoea haya mambo lakini mpaka wanafikia kuumana lazima utasikia kelele sio za kawaida huyu mwalim nilifanya kumgutusha mimi kuingia, aisee poleni sana wazaz tukishirikiana na nyie mambo yataenda, walim hawana shida ya kumuanika lakini n kama alert na wajue namna tu ya kukaa naye akiwa shule na wawe wanamuangalia kwa umakini zaidi
 
Aah wazazi kwa kuwatetea watoto sasa, huwa wanahisi sijui hatuwapendi watoto wao na tunawasingizia!! Mtoto anakiri kashakulwa na midume kibao na kuchoropoa mimba tatu ila mzazi anakomaa mwanae ni bikra🙆🙆🙆
hata mitaani wapo watu wanamjua mienendo lakini mzazi anamkingia yapo haya
 
yan mheshimiwe sana nyie ndio mnaotoa hao mawaziri mana ndio mliwafundisha namna ya kushika penseli mpaka mtoto akaweza, sikufichi siku ya kwanza tunaanza homework nilijua nitaua madaftar ya shule zimenyooka nyumbani hajui aanzaje aishie wapi had nikawa najiuliza huyu mtoto ukute shule anaandikiwa asbh nikamwambia mwalim wake naoba nakata tamaa mtoto kuja shule homework tunapigana akanielekeza sasa hivi tunapeta hakuna kusumbuana ila aisee mnakaz sana hongereni
Ni kweli kabisa yaani unayoongea ni correct.
Ushirikiano nyie na sisi ndio muhimu kwa mafanikio ya mtoto.
Kiufupi kufundisha au kushinda na hawa watoto ni kazi ya wito pia.
Mi naipenda kazi yangu pia napenda sana kuwa karibu na watoto japo kwa mara ya kwanza ilikua changamoto.
Ila mi sikujali wala nini.

Mi huwa nafatilia sana ingawa kuna wadada ambao wanahusika zaidi na mambo haya madogo madogo ila bado haitoshi mi kutokufatiliA
 
Back
Top Bottom