Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
- Thread starter
-
- #61
Hivi unaamini kwamba Baba Levo, Mwijaku na wenzao hawana akili??Hawa wajinga mi naona hata hizo bado ni kubwa sana ilitakiwa walipwe nusu yake maana hawana akili
Kapu la mama.Si ndiyo hawa hawa walimchangia Samia kupata for ya kugombea urais 2025??
Askari Magereza anayeanza kazi na elimu ya form4 analipwa:Mkuu weka namba mwisho wa mwezi wanapata kiasi gani zaidi ya hapo walimu
Hii ilianza 2015
Askari magereza WA nchi ipi?Askari Magereza anayeanza kazi na elimu ya form4 analipwa:
Msha ha ra= 516,000 basic
Posho ya chakula 300,000
Posho vinywaji 100000
Mazingira magumu 86,000
Pango la nyumba 86000
Ujuzi 86,000 kama anao
Umeme na maji bure punde wanaanza kulipwa keshi.
Bima bure
Huyu anashinda na wafungwa ambao Mahakama zetu zinaamini ni Criminal (sijawahukumu mimi).Askari Magereza anayeanza kazi na elimu ya form4 analipwa:
Msha ha ra= 516,000 basic
Posho ya chakula 300,000
Posho vinywaji 100000
Mazingira magumu 86,000
Pango la nyumba 86000
Ujuzi 86,000 kama anao
Umeme na maji bure punde wanaanza kulipwa keshi.
Bima bure
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Hapa kazi tuBaada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Mimi nawakubali walimu kwa mishahara hiyo hiyo ila anaishi smart kuzidi wa f1,we na f1 yako life hovyo bg up maticha wote tz wananidhamu ya kaziHuyu anashinda na wafungwa ambao Mahakama zetu zinaamini ni Criminal (sijawahukumu mimi).
Turudi kwa ndugu walimu wanaoshinda na watoto wetu ambao tunaamini ndo Taifa letu la kesho....
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
Hana nyumba, hana chakula, hana usafiri na mahitaji mengine ya kibinadamu. Anaishi Tuwangoma na anafanya kazi Temeke
MPAKA HAPO TUNA TAIFA LA KESHO??
Watanzania tuwe serious
Baadhi ya walimu wanaweza kutetea kwa nje ila kwa ndani sote tunakubali
Licha ya kuwa kazi nyingi chini ya halmashauri hazina maslahi ila ualimu ni kazi ya AJABU MNO
Kwa kweli tumepoteza miaka mitatu bure chuoni
Kuliko kumpeleka mwanao akasomee huu upumbavu ni bora umuache tu afanye kazi za mtaani.
Binafsi naongea hivi kwa experience.
UALIMU SIO KAZI
Kwa taarifa yako hakuna wafanyakazi wa chini nchii wanaolipwa posho nyingi kama JWTZ Uhamiaji Magereza, Zima Moto, Polisi!!Askari magereza WA nchi ipi?
Wangepewa pesa yote hii wasingekaa nyumba zile za mabati keko
Soma vizuri na uelewe au acha kujitoa ufahamu!! Huu mjadala hauwadharau au kuwadhihaki walimu. Tunajadili masilahi yao. Huyo ulom quote ni mwalimu anakili maslahi yao ni mabovu!! Sasa wewe unatoka huko ushalambishwa asali unakuja kutufokea??Bila walimu ungepata elimu? au umeamua kujitoa fahamu tu hapa.....ulivyoanza la kwanza ulikuwa hujui chochote, kusoma, kuandika, kuhesabu mbona hukufundishwa na wazazi wako nyumbani? Au ukishavuka mto basi ni ruksa kumtukana mamba.
Hizi ni siasaKwa taarifa yako hakuna wafanyakazi wa chini nchii wanaolipwa posho nyingi kama JWTZ Uhamiaji Magereza, Zima Moto, Polisi!!
Posho ya chakula kwa wale wa magamba magamba ni 380K bila kujali cheo.
House allowance ndo zinatofautiana kwa vyeo
Vinywaji ni 100k wooote.
Posho ya ujuzi kwa wenye ujuzi, mfano unakuta mwanajeshi ana degree ya ualimu na hajawai ingia darasani analipwa posho ya ualimu (nonsense)
Unakuta Askari magera kosomea Computer Science hawezi kushusha operating system au yuko Gereza la Kitengure hawana kompyuta analipwa posho ya ujuzi[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Afu wakija watetezi wa walimu wanataka kutuua!!
Kama nchi swala la Elimu yetu inabidi tulifanye liwe mjadala wa KITAIFA. WATOTO WA MACCM NA MACHADEMA wanasoma Cambridge Syllabus. Sisi wetu wanafundishwa kufundishwa kuuza kashata na andazi za mwalimu wa darasa.
Wanalima mashamba ya walimu wa zamu na kuchota maji ya kuwapikia walimu uji kwani chai inahitaji sukari na bei ya sukari imechangamka.
Hiyo ni mishahara ya walimu 2022/2023 maana yake ndo current mishahara!!Hii ilianza 2015
sasa ulitaka kambini akae nani? Hata wakilipwa million lazima kambini askari wawepoAskari magereza WA nchi ipi?
Wangepewa pesa yote hii wasingekaa nyumba zile za mabati keko
Labda kama hujasoma uzi wangu, umekurupuka baada ya kusoma Tittle.Maneno bila uhalisia ni tatizo kubwa la watanzania .
Ualimu ni taaluma inayoheshimika Sana , ni MTU mjinga anaweza kudharau kazi ya ualimu .
Kuhusu mshahara huwezi kumlaumu Mwalimu ila ni mfumo wa serikali . hivyo ntaendelea kushangaa ikiwa mtaendeleza hoja hizi ambazo hazina mashiko ya kutumia akili .
Tanzania kuna kundi kubwa la masikini ndo ambalo hukaa na kuanza kudharau walimu MTU ambaye yupo well satisfied with his or her life hawezi kuwa hivi anadharau watu.
Hapa tunazungumza swala la kitaifa sio la kijiji chenu!! Mwenyewe na ishi kijijini na kipato changu ni cha kawaida lakini hapo kabla au wakata wa dharura za hapa na pale naenda kwenye miji na majiji. Niambie ukweli unamlipaje mwalimu wa jiji mshahara mdogo kuliko boom mwanafunzi wa chuo anayeishi hostel na kula cafeteria??Jamii forums kila member ana mshahara mkubwa/kipato kikubwa kasoro walimu.
Cha kushangaza ukija katika uhalisia huku mtaani walimu ndiyo wanakimbiza kwa kipato ukiondoa wakuu wa taasisi.
Huku kijijini nilipo walimu ndiyo wamewekeza kuliko kada yoyote
Sawa , ebu. tuone mwisho wenu utakuajeLabda kama hujasoma uzi wangu, umekurupuka baada ya kusoma Tittle.
Binafsi nimetumia jamiiforums.com kama reference! Kwenye jukwaa hili kuna nyuzi nyingi (idadi yake inatia shaka ) ambazo zinazungumzia walimu wetu negatively!! Kuna mpaka member wengi wamejizolea umaarufu kwenye jukwaa hili kwa kuanzisha nyuzi za walimu.
Mimi kama mtanzania mzalendo nikasukumwa kujua chanzo na sababu ya walimu wetu kubezwa.
Nisome mwanzo mwa uzi huu