Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
- Thread starter
-
- #141
Context yangu ime base kwenye mijadala ovu juu ya walimu hapa JamiiForumsNikweli kabisa Yani, jamaa angeleta mada mhimu jinsi gani tujadiliane kuikwamua kada hii kutokana na unyonyaji unaoendelea.
CWT ni CCM, Dotto Biteko, Khasimu Majaliwa, Mhagama woote hao cwt watupuHayo makato ya CWT ndio yanawaumiza walimu skku zote. Hiki chama kimekosa muelekeo lakini ndicho kimekuwa chanzo kikuu cha kuminya uchumi wa mwalimu.
Asante saana mkuu, wachangiaji wengi wanakwepa ukweli uliomo kwenye uzi wanakimbilia kuniraani mimi as if mimi kuna sehemu nimewakashifu walimu!! Wanasoma kichwa cha thread wanakimbilia kukoment.Ninyi mavuvuzela wa ccm au serikali ndiyo mnaowadharau walimu, mleta mada yeye hajawadharau bali amerejea mada nyingi humu jf zilizokuwa zikiwadharau.
Tukiachana na hilo, mleta mada ameweka chanzo cha dharau hizo, nilidhani ni vizuri kujikita kwenye chanzo kama mleta mada alivyodhamiria kinyume chake unakimbia mada halisi.
Ni kweli kuwa serikali inawadharau walimu wala hili halina ubishi, Je wewe hapoa ulipo ungelipwa sh 300000 na familia yako ungeweza kuishi?
Watetezi wa Ccm wanasema walimu wana Mishahara minono!!Inasikitisha sn. CCM wamefanya haya yote
Muda wa mwalimu ni limited, saa 2 mpaka saa 6 masomo ya asubuhi, 7 mpaka 8 lunch, 8 mpaka 10Β½ masomo ya jioni!! Hao walimu wanaofanya bihashara wanafanya labda ya usikuNchi ilikuwa na marais wawili tu. Nyerere na Magu. Kwisha. Huwez ukaona nchi inawanyonyaji ndani humohumo. Umekalia kitu unashindwa kimutumia kichwa. Mwinyi alidanganywa akaondoa, kikwete hakuifikiria kabisa aliangalia tu. Ninawahakikishia ukiona mungu hajakuchukua mapema, ujue anakupa muda wa kurekebisha. Only nyerere and magufuri. Otherwise tunakaa kimya kusubiri atokee. Mengine kuhusu kutumika wkt wa uchaguz hayo ni matokeo kuwaingiza watoto wa ndg zao waliofeli kufundisha ndio wawatumiao hao kwenye kazi zao.
Tena siku hizi benki zimeamua kujichotea nafasi. Kilichofutwa na mwingi, benk wanakifanya kwa jina la benk advance.
Kuna walimu wa nguvu waliofaulu enzi hizo wapo darasani mchana baada ya kazi, kwenye biashara. Wanafanya kazi na biashara. Hawana njaa zinazoongelewa hapa.
Waliamua kukaa kimya
Magereza hawali kambini mzee posho wa napewa yote 300,000 na polisi pia,,,posho ya vinywaji hutoka kila baada ya miezi 3 kwa majeshi yote ambayo ni tsh300,000/Marekebisho kidogo
Ni kweli posho ya chakula (ration) ni 300k lakini huwa inamegwa 50% inabaki kikosini kwa ajili ya chakula wanachokula wakiwa kazini/kikosini. Ule usile huwa inakatwa
Hivyo inayoingia kwenye account huwa ni 150k
Pia posho ya vinywaji haitolewi kila mwezi bali inatolewa kwa mzunguko kwa kupokezana mfano mwezi wa 1 jwtz wakipewa polisi hawawezi kupewa. Nadhani inachukua miezi 3 ama 4 mzunguko kumrudia muhusika
Mkuu, kama kuna mwalimu alikupora mke, alikunyang'anya demu, alikuchukulia dada, alikutosa , anagonga binti yako, au bi mkubwa wako nashauri mtafute uongee nae mmalize tofauti zenu vinginevyo atazidi kukukera na kukusababishia maumivu kila unapomuona sababu naona hii kwako ni chuki ambayo inakutafuna. NB: Kusema kwamba waliiba kura za CHADEMA ni ku- justify upuuzi, hivi wakati agombea wa CHADEMA wanaenguliwa nchi nzima walimu walihusikaje! Kama hawa CHADEMA wanashindwa kuzuia mkurugenzi kuengua mgombea unafikiria wanaweza nini.Wacha wadharauliwe tu kwasababu ni wassssssssenge. Wao ndo wanatumikaga kuiba kura za chadema. Walimu wengi (sio wote) hawana akili wameridhika na laki nne zao. Ni wasssssenge qumamaqe zao
Unavyosema sababu za kiuchumi una maana gani? Askari mwisho wa mwezi anafunga hesabu ya 700,000+ huyo ni askari mpya cheo kidogo kabisa. Kwahiyo wakikaa kwenye mabati na hata wasipokaa 700k kwa mwezi ni lazima.Wanaokaa nyumba za mabati wengi wao walishamaliza muda wao wa kisheria wa kukaa kambini ila wanaendelea kukaa humo kwa sababu za kiuchumi
Hii tunaiitaje hii???Unavyosema sababu za kiuchumi una maana gani? Askari mwisho wa mwezi anafunga hesabu ya 700,000+ huyo ni askari mpya cheo kidogo kabisa. Kwahiyo wakikaa kwenye mabati na hata wasipokaa 700k kwa mwezi ni lazima.
Kinachowaua ni mikopo, ulevi na ngono. Sasa ukisema anakaa kwenye mabati sababu ya uchumi mdogo sijui hapo unamaana gani. Hata akikaa kwenye makuti, mwisho wa mwezi 700+ mkononi
Unafanya kazi Ikulu??Mshahara wa F1 ndio posho yangu hiyo.. kwa kweli wacha nimshukuru Mungu.
Hapana but kazi zinaendana kwa mbali..Unafanya kazi Ikulu??
Hapo Basic salary ni ngapi??Hapana but kazi zinaendana kwa mbali..
Inategemea na kada pmj na miaka/Cheo etc..Hapo Basic salary ni ngapi??
Wewe ndio Mpumbavu Mbunge anayelipwa Mil 16 +Posho + Mafuta ya gari+Fedha ya Jimbo yeye hali ya Uchumi haimuhusu? NCHI ina wajinga wengi sana Kama weweKwani wao ndio wanajilipa hiyo mishahara? Tumia akili kufikiri. Hiyo inatokana na hali ya uchumi wa nchi yetu. Hakuna anayemdharau mwalimu labda mpumbavu km wewe. Sisi tunawapenda na kuwaheshimu
Pamoja na ukweli kuwa walimu wanalipwa pesa ndogo ila Nimecheka hapo Tu ulipo sema watoto wako umewapeleka kusoma Kenya , Yani ndio nimekuona we NI kiazi mbatata ππππWalimu sio watu wa kutetea, ni mara100 kutetea hata yule Mamba kule Rukwa, Walimu ni kundi limejaa wapumbavu, Wajinga, waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu, Pole yao ambao watoto wao wanafundishwa na aina hii ya walimu na kikubwa wanacho fanya wana transfer ujinga ule kwenda kwa watoto
Wajinga ndio waliwao wanamchangia mtu anayelipwa Milioni 100 mshahara kwa MweziWashaanza kabla ya 2025
UMOJA wa Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania
(TAHOSSA), wamechangishana kiasi cha shilingi milioni 1.6 kwaajili ya kumsaidia Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya kugombea urais kwa mwaka 2025 ambao wameuita kama kapu la mama.
View attachment 2856020
Mwalimu mwenye focus ataenda maeneo ya mashambani huko ataishi kama mwekezaji. Anyang'ang'ana mjini ndio ana shida. Walimu wenye ufahsmu huu ni matajiri hasa.Afya wana posho, night na overtime, Kilimo wanakafanyia kazi vijijini, means wanakula mashambani na wana marupurupu kwenye pembejeo na viwatirifu pamoja na posho za wakulima, Askari, wana posho ya laki 3 ambayo haikatwi kodi (sawa na mshahara wa mwalimu), posho ya makazi, posho ya vinywaji, posho ya taaluma, (meningine dhambi) magereza vilevile nao ni askari.
Bado unataka ulinganishe na walimu wanaouza kashata shuleni??
We kweli Kifuru Kutu.
Huu mtazamo siyo sahihi. Zungumzia ualimu kama kada zingine za kazi saerikalini, je nao wako hivyo?Mwalimu mwenye focus ataenda maeneo ya mashambani huko ataishi kama mwekezaji. Anyang'ang'ana mjini ndio ana shida. Walimu wenye ufahsmu huu ni matajiri hasa.
Hivyo wewe umefanya research nchi nzima kada ya ualimu ndiyo yenye hali ngumu ya maishaHapa tunazungumza swala la kitaifa sio la kijiji chenu!! Mwenyewe na ishi kijijini na kipato changu ni cha kawaida lakini hapo kabla au wakata wa dharura za hapa na pale naenda kwenye miji na majiji. Niambie ukweli unamlipaje mwalimu wa jiji mshahara mdogo kuliko boom mwanafunzi wa chuo anayeishi hostel na kula cafeteria??
Hivi tuko serious na ELIMU YETU??