Tetesi: Walimu wamegeuza Shule za Serikali kuwa Vitega Uchumi vyao

Kipato Chao hakikidhi mahitajii na muda wakufanyaa mambo mengine njee ya shulee pia imekuwa ngumu kwao ,hvyo wameonaa Bora wale huko huko wanakofundisha...
Hatukatai ila wa rasmishe Ili ipitishwe kwenye taratibu za kishule, kama zamani kulikuwa na Tuition hakukuwa na muda wa ziada mashuleni, siku hizi shule hadi saa 12:30jioni watoto wapo shule. Kilicho takiwa warudishe Tuition kiu rasmi, maana ilikatazwa awamu ya tano, awamu ya sita hakuna tamko rasmi hivyo tuition imerudi Kiana yake.
 
Kipato akilingani, wewe hata ukiweza fungua shule ndani ya ndege fungua zote ni anasa tu elimu ile ile, bora kichwa kiwe timamu.
Uzi haujahainisha hiyo michango ambayo anaona ni kama kitega uchumi kwa walimu wa shule za msingi. Kama wanataka wachangie pesa ya masomo ya ziada na mzazi hataki kuchangia isiwe kesi asichangie ili mambo mengine yaendelee
 
Mleta mada hujaweka wazi haswa ni vitu gani mnalipia ambavyo wewe unadhani havina sababu ya kulipiwa?

Orodhesha hapa ili wenye dhamana wajue, weka total ya gharama zote ili wananchi waone na kufanya hitimisho.
Soksi
Traki suti
Viatu
Kiti
Meza
Limu
Calculator
Mathematical set
Counter book 15
Sweta
Tshirt ya michezo
Kotama/Fyekeo
Jembe
Kikombe cha uji
Rula
Kalamu
Tai
School bag
Mkanda
Shati
Suruali/Sketi



MICHANGO MINGINEYO


Mchango wa uji

Mchango wa mlinzi

Mchango wa kuinua taaluma

Mchango wa walimu wa ziada

Mchango wa Mwenge

Mchango wa chama.


Just to mention few!!

We never been serious! Let us joke and things be as usual
 
Kwani members wa jamiiforum si inaeleweka tuna pesaa..?? Mbona comments za walio wengi zimejaa malalamiko tena?? [emoji4]

Kwa huo msaada mdogo wanaouhitaji walimu hasa hawa wa shule za msingi hemu tuwasaidieni tu, wana life gumu sana hawa walimu wa hizi shule za serikali.
 
Asante, lazima tuweke madaraja maana ndivyo tulivyo umbwa pia tupo kimadaraja, hatuwezi mlazimisha mtu awezaye ishi Manzese akaishi Osterbay, kila mtu aishi kadri ya uwezo wake, ndio maana kila kitu kina madaraja.
 
Magufuli ndo alifuta michango?? Ukithibitisha hili nipigwe ban ya week.

Cc mods
Wapo watakao kupa link hapa hapa nina hakika. Hakuna kitu ambacho Magu akutolea tamko, vitu alivyotaka visipuuzwe alitoa tamko yeye mwenyewe.
 
Umeongea pointi sana, wazazi wengine vichwa vimejaa fikra za ajabu
 
Wewe tukupe shule ya umma uendeshe wiki moja tu utatamani ukimbie nchi shule inamambo mengi mdah mwingine ata ako ka mshahara ka feisal inabidi ukatumie huko hili mambo yaende jamani ualimu unachangamoto sana nchi yetu
 
Toa ushahidi usibwabwaje tu na tetesi
 
Kweli

Mock darasa lasaba dar'salam ,Kila mwanafunzi anatakiwa kulipa

1) Hela ya mtihani 4000
2) chakula 3000
 
Wapo watakao kupa link hapa hapa nina hakika. Hakuna kitu ambacho Magu akutolea tamko, vitu alivyotaka visipuuzwe alitoa tamko yeye mwenyewe.
Swala la Elimu Bure maua ni ya Kikwete japo maana yake ni mbovu kama unavyoona mnachangishwa michango ya Ovyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…