Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Wanafunzi mia mbona wachache tu! Ukienda pale kwenye ukumbi wa Nkuruma (UDSM) ni jambo la kawaida kumkuta 'ticha' anafundisha wanafunzi mia nane kwa muda wa masaa mawili, acha hawa wanaotumia dk 40 hadi 80!
Umetumia akili ya kuzaliwa,ziada au ya kukurupuka( download)kutoa ulinganisho huo?hao wa UDSM age yao sawa na hao wa kwenye clip? Ujue Kuna njia na mbinu za kufundisha watu wazima ambazo ziko tofauti na watoto.Huko UD lecture method ndo inatumika wakati mpindimbi primary hawawez kutumia lecture method


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani mngeenda kasikazini mlajifunza kwanini wanafanikiwa

Maana kule hizo shule za kata kabla hamjawaza Wala serekali kuhamasisha kule walishajenga kitambo Sana ..nakumbuka mwaka 1996 nilisomba mawe ya shule ya sekondari kiselu toka mtoni na hii ilikuwa kipindi Cha likizo yaani vijana wote kijijini Ni kusomba mawe ya ujenzi na hii sio ombi Ni lazima...

Na walimu walivyopangiwa watu waliwapa nyumba za kuishi bure na ushirikiano wa kutosha ..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetumia akili ya kuzaliwa,ziada au ya kukurupuka( download)kutoa ulinganisho huo?hao wa UDSM age yao sawa na hao wa kwenye clip? Ujue Kuna njia na mbinu za kufundisha watu wazima ambazo ziko tofauti na watoto.Huko UD lecture method ndo inatumika wakati mpindimbi primary hawawez kutumia lecture method


Sent using Jamii Forums mobile app
Unachozungumza wewe kina maanisha njia anayotumia mtt kujisaidia pia ni tofauti na mtu mzima si ndio! Tofauti ya mtt na mtu mzima sana sana ni kimo tu... Process nyingine zinafanana.
 
Huyu mwalimu atasakwa akamatwe
Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!

View attachment 1331347

Jr[emoji769]
 
kweli duniani hatuko sawa cheki hapa waja primary school

 
Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!

View attachment 1331347
Huyo mwalimu aliyepiga hiyo picha akamatwe na kuwekwa ndani sasa hivi kwa sababu amekosa uzalendo na kuamua kuionesha Serikali yetu kwa namna mbaya mbele ya umma.
 
Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!

View attachment 1331347
Dah! Watoto wako chini ya ubao. Wanakula vumbi, wanasuffocate.

Pakitokea dharura, evacuation hapo mtihani.
 
Back
Top Bottom