Kuna uzi humu jamaa anasema walilamba 2.6m per kichwa.Hivi wale walilipwa? Siku wale wajumbe kutoka Zanzibar wanarudi nlikuwa bandarini... walikua wamewekewa utaratibu wa kupita free pale Azam aisee walikua wamechoka, hawapo nadhifu ukiwaangalia unaweza sema ni mtu aliyeeenda kulima Kiteto baada ya wiki tatu ndo karudi mjiniπ
Huko huwezi mkosa mwijaku,baba levo,Juma lokole na wengine wengi. Ccm ina hadhina ya wajinga wengi sana hapa duniani!Hivi wale walilipwa? Siku wale wajumbe kutoka Zanzibar wanarudi nlikuwa bandarini... walikua wamewekewa utaratibu wa kupita free pale Azam aisee walikua wamechoka, hawapo nadhifu ukiwaangalia unaweza sema ni mtu aliyeeenda kulima Kiteto baada ya wiki tatu ndo karudi mjiniπ
Mkuu hata hilo bando huwa halinitoshi kwa siku aseeAfu tatu,yaani coin za mia tano sita?
πππWakulima oyeeBasi hiyo seminar mlilipwa kama Perdiem, ambayo Kwa viwango vipya ingekuwa ni shilingi 80,000 hadi 250,000 kulingana na ngazi ya mshahara na Mji mnapofanyia kikao
By the way, hongereni.
Sisi Wakulima kupata hizo Posho ni hadi tuuze mazao yetu Kwa Wadosi π€
Huu ni mfumo upo khasa nchi zinoendelea.Nilikuwa sijui jina ka huu mfumo. Lakini kwa TZ hii, nahisi anayepata hela inayostahili labda ni rais tu. Kupunguziana pesa ndio habari ya mjini. Kiongozi akupe heka yote kabisa bili kuminywa ni hakuna tu!
Safi Sana hii.Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Jamii check itabidi watusaidieKuna uzi humu jamaa anasema walilamba 2.6m per kichwa.
Hahaha........naona unaendelea na mazoezi ya kusimama majukwaani kutuomba kura WakulimaπππWakulima oyee
πππNimeelewa
Aah thubutu labda nitake mwenyewNgoja ukutane na boss kichaaa mpenda sifa mbona utaenda na utavaaa dera la kijani na njano
Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Ungeolewa na Mayor upate connection kibaoAah thubutu labda nitake mwenyew
Kuna wamama walikuwa wananipenda mtaan kwetu na ni wanachama kindakindaki wakaja kunambia wanipe kadi watanipendekeza niwe Diwan viti maalumπππ
Nikasema wanataka niwe mchawi mapema nilikuwa Nina miaka 24 ππ
πππThubutu had sahiz ningekuwa mzee Kwa unafkiUngeolewa na Mayor upate connection kibao
Nyota njema hiyo! Kama Mungu atajalia 2035 tajaribu na mm nivae kofia ya chamaππππThubutu had sahiz ningekuwa mzee Kwa unafki