Walimuita Baba yangu majina ya ajabu, Freemason, mchawi

Simjui baba yangu kivipi, nilikuwa najua shughuli zake zote na hakuna chonzo chochote cha mapato ambacho kilikuwa na utata au kuhusiana na hayo mambo machafu.
Narudia tena humjui vizuri baba yako hiyo comment yako ni ushahidi tosha unamjua juu juu tu.
 
Nilijua unaandika point kumbe utumbo
 
Alikuwa na mkwanja wa kutosha

Biashara kadhaa
Nyumba kadhaa
Pesa katika account kadhaa
MTU wa kutoa Sana na kusadia?


Mzee wako alikuwa MTU wa aina gani?
Alikuwa mfanya biashara, hata hapa mtaani alikuwa na nyumba kadhaa.

Lakini hakupenda kujitenga au kujiskia, alikuwa akikaa na watu wa aina zote na kuwasaidia kwa kile alichokuwa anaweza kusaidia
 
Wewe ndio unajua kuwa ni uongo ila jamii haijui hilo
Uongo ukirudiwa rudiwa watu udhani ni kweli
Hata jamii ikiamini hivyo nini kitabadilika? Maisha yanaendelea na Namuombea mzee apumzike kwa Amani
 
Huenda alikua na matatizo ya akili. Mtu na utimamu wake wa akili atembee peku tena mitaani kulivyo kuchafu??🤔🤔
Hao walikua sahihi kumuita hivyo mi ndo ningesema chizi kabisa
Alifanya hivyo ili kucheza na akili zao hao wajinga, hakuwahi kuwajibu ila hakuogopa kufanya kitu kwa kuhofia kusemwa
 
Siku hizi misukule ni kawaida, wewe jichunge tu wasiondoke na wewe. Zungumza na wazee wa busara wakuweke sawa. Kila atakaejaribu ngoma irudi kwake.
Kweli siku hizi kuna mambo mengi ya ajabu lakini mimi sina tatzo na mtu wala sidhani kama kuna mtu ana nia ya kunidhuru bila sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…