Walimuita Baba yangu majina ya ajabu, Freemason, mchawi


ALIFANYA UTOTO MARA YA PILI KWENDA KIJIWENI PEKU PEKU. HAPO HAKUTUMIA BUSARA. HIYO SASA ILIMSAIDIA NINI ZAIDI YA KUMWONDOLEA HESHIMA? TUKIO LA KWANZA NAMUUNGA MKONO BUT LA PILI ALI BEHAVE KITOTO NA KUTAKA SIFA ZA KIJINGA.
 
Shida inanzia kwanini marehemu alikataa kuvaa ndala za fundi,wakati ni kawaida baadhi yetu kufanya hivyo
Hiyo sio shida ni maamuzi, inawezekana amehisi anaweza kupata fungus kwsbb zile ndala wanavaa watu wengi

Hata mimi huwa sivai
 
ALIFANYA UTOTO MARA YA PILI KWENDA KIJIWENI PEKU PEKU. HAPO HAKUTUMIA BUSARA. HIYO SASA ILIMSAIDIA NINI ZAIDI YA KUMWONDOLEA HESHIMA? TUKIO LA KWANZA NAMUUNGA MKONO BUT LA PILI ALI BEHAVE KITOTO NA KUTAKA SIFA ZA KIJINGA.
Sio kutaka sifa bali ni kuwaonesha kwamba hajali maneno yao hata wakizidi kusema, pia walianza muda tu kumsema kabla hata ya kufanya hivyo.

Mzee hakuwa mtu mnyonge hata kdgo, alijua kucheza na akili za wajinga hasa masikini. Anajua ni wivu umewajaa na alifanya mengi ili kuwapa maneno ya kusema na waendelee na umasikini wao.
 
Wewe humjui vizuri baba yako, watu sio wajinga mafanikio yana kona nyingi bado hujajua vizuri shule ya mtaani
Hamna kitu, Waswahili wana maneno sana na wana muda wa kujudge watu...wangekuwa busy na mambo yao ya huyu Mzee yasingewahusu

Hata ukiwauliza Freemasons ni nini hawawezi kukueleza

Ujinga tu
 

ALIONESHA TU NI MJINGA NA ANATAKA SIFA ZA KIJINGA. WATU WALIZIDI TU MDHARAU NA TABIA ZA KITOTO. HAPO HAKUNA CHA KUONESHA KUWA SI MNYONGE. BWEGE YEYOTE ANAWEZA TEMBEA PEKU PEKU KWANI ANAKATAZWA? HAKUNA UBINGWA HAPO.
 
ALIONESHA TU NI MJINGA NA ANATAKA SIFA ZA KIJINGA. WATU WALIZIDI TU MDHARAU NA TABIA ZA KITOTO. HAPO HAKUNA CHA KUONESHA KUWA SI MNYONGE. BWEGE YEYOTE ANAWEZA TEMBEA PEKU PEKU KWANI ANAKATAZWA? HAKUNA UBINGWA HAPO.
Atafute sifa kwa watu gani? Watu ambao wameshindwa kutafuta hela na kuishia kupiga majungu?

Hizo sifa zingemsaidia nini? Unajua ni figisu ngapi amewahi kufanyiwa na hao watu mpaka kufikia hatua ya kuwaonesha kwamba hajali na waendelee kusema wasemavyo?
 

SIFA ZA KIJINGA ANAONA FAHARI ETI KUITWA FREEMASON. ULIDHANI UNAMSIFIA BABA YAKO KUMBE UNAONESHA HAMNA AKILI.
 
SIFA ZA KIJINGA ANAONA FAHARI ETI KUITWA FREEMASON. ULIDHANI UNAMSIFIA BABA YAKO KUMBE UNAONESHA HAMNA AKILI.
Hukuna la maana unalo lisema zaidi ya chuki kwa watu usio wajua, kuita watu Freemason ni hulka ya masikini ambao hawajui hata kesho watakula nini.

Napata mashaka hata wewe ni mojawapo ya masikini...
 
MUngu ampe pumziko zuri.

Una mwandiko wa kulegea legea taratibu kama wa demu aliye pisi iliyopoa, sio kama wa mangekimambi bali ni kama wa nandy.
 
Hukuna la maana unalo lisema zaidi ya chuki kwa watu usio wajua, kuita watu Freemason ni hulka ya masikini ambao hawajui hata kesho watakula nini.

Napata mashaka hata wewe ni mojawapo ya masikini...
Maskini baba yako anayetembea pekupeku akidhani anawatisha watu. Mmekutana wote hamna akili. Wewe ulidhani ni ushujaa kumbe upumbavu. Anaona sifa kuonekana ni freemason kijijini
 
Maskini baba yako anayetembea pekupeku akidhani anawatisha watu. Mmekutana wote hamna akili. Wewe ulidhani ni ushujaa kumbe upumbavu. Anaona sifa kuonekana ni freemason kijijini
Huna jipya zaidi ya chuki kwa watu usio wajua....

Napata mashaka hata wewe ni mmojawapo wa masikini....
 
WEWE NA MZEE WAKO WOTE NI MABWEGE MNA UJINGA MWINGI MNADHANI FREEMASON NDO UTAJIRI.
Huna jipya ndugu, hujui hata watu unao waita Mabwege wana uwezo kiasi gani, laiti ungejua ndyo ungezidi kuporomosha matusi zaidi.
 
Ahaaaa
 
Huna jipya ndugu, hujui hata watu unao waita Mabwege wana uwezo kiasi gani, laiti ungejua ndyo ungezidi kuporomosha matusi zaidi.

Na wewe katembee pekupeku kama mzee wako na upuuzi wa kutaka sifa za kijinga
 
Na wewe katembee pekupeku kama mzee wako na upuuzi wa kutaka sifa za kijinga
Huna jipya ndugu, napata mashaka na wewe ndyo walewale maskini wenye wivu na kupata makasiriko kuona wengine wanaishi vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…