Walio karibu na Makonda wamwambie ni kosa kubwa kuwa maarufu kuliko Rais. Aache kabisa harakati

Walio karibu na Makonda wamwambie ni kosa kubwa kuwa maarufu kuliko Rais. Aache kabisa harakati

MBOWE akaruhusu LISSU kuwa maarufu saivi panafukuta jotro Chadema na panafuka Moshi......

Ila kasri la Mbowe kijijini kwao ni amezingi sana,
Piiiiiipooooooozzziii.....
Hata na hivyo No fear No hate
Mbowe hilo kosa alilifanya hata kwa Dr Slaa na Zitto walikuwa maarufu kuliko yeye. Nakumbuka mwaka 2011 baada ya uchaguzi mdogo wa Igunga Mbowe alisema tunakubaliana na matokeo Slaa kwenye platform tofauti akasema hatujaridhishwa kuna mwana chadema mmoja aliniambia yeye anaenda na la Slaa sio la Mbowe.
 
Huenda anafanya kwa Lengo zuri. Huenda anataka kukisaidia chama lakini Lazma ajue kujizuia. Kuwa maarufu kuliko Rais ni kama uhaini kisiasa.

Walio karibu na Makonda wamwambie hatakiwi kuwa Maarufu kuliko Rais. Kisiasa huo ni kama uhaini

Ama ajizuie au atazuiwa soon. Au....

Alitaka awe hivyo makamu wa sasa wa raisi mwanzo. Nilishangaa Profesa hajui protokali. Ila akarudishwa sasa katulia kamwachia mama steling

Huo ndio siasa za dunia zilivyo. Dunia nzima hutakiwi kuwa maarufu kuliko kiongozi wa Juu hata kwenye eneo lako. Hata ukiwa mbunge hutakiwi kusikilizwa au kuwa na ushawishi kuliko Rais wa chama chako kwenye eneo lako.

Heride alipanga amuue Yesu alipozaliwa baada ya kuona nyota yake. Alijua akiwa maarufu atachukua cheo chake.
Kuna makosa yalifanywa na maraisi uko nyuma.
Aliruhusu Rais wa Zaire mwaka 1960. Waziri mkuu Lumumba ndio akasikilizwa. Nchi haikutawalika tena
Obote aliruhusu Iddi Amin awe maarufu kuliko yeye. Alipoenda tu yeye akauchukua uraisi.

Aliruhusu hilo Thabo Mbeki, kwa Jacob Zuma. Na zuma alipotaka kushugulikiwa swala lake la rushwa wanachama wa ANC wakamwamini na wakamshugulikia Mbeki yeye na Zuma akampokonya urais.

Ilitokea kwa Lowasa na JK. Kilichomponza Ni kuogopwa na kuwa maarufu kuliko Jk. Pia Nyerere na Sokoine au John Okelo na Karume.

Nawakumbusha tena mwambieni asiwe maarufu kuliko au kumkaribia Rais.

Sasa anaagiza, anahutubia, anasindikizwa. Kama anafanya kwa bahati mbaya sielewi kabisa. Hana washauri.

Uingereza Mfalme alichagua hadi uongozi wa kanisa. Ata dini haikupaswa kumzidi umaarufu

Kumsaidia raisi ni kufafanua hoja zenye utata kama bandari, kufafanua mambo Ambayo Raisi kafanya kama kujenga madarasa, Miradi inayoendelea kutekelezwa na serikali. Kuwaponda wapinzani na kutoa kasoro zao. Kufafanua uzuri wa kikokotoo cha wastafu kwa taifa.. Faida za Hamkosi na Maslahi ya watu wanayoshugulikiwa na serikali ila kamwe. Narudia kamwe
1. Asihoji au kuagiza chochote kwenye mkutano wa hadhara.
2. Asikubali kabisa kupokea kero ya watu hadharani na kuzijibu moja kwa moja. Majibu yawe ntafikisha kwa Raisi ili lipatiwe ufumbuzi.
Dunia nzima hakuna taasisi yenye wivu kama uraisi.
Sudan kusini Raisi na Waziri mkuu walikuwa na ushawishi sawa ikagawanyika. Kongo kinshasa makamanda karibu 20 walikuwa na ushawishi sawa.

Ethiopia pia viongozi wa majimbo walikuwa na ushawishi mkubwa kwenye majimbo yao kuliko waziri mkuu wakamgeuka waziri vita vikaanza.

Siku makonda akikengeuka akiwa maarufu basi kazi ipo. Yasije ya Mrema na Mwinyi.

Labda kama ana plan B. Lakini kama anataka kuwa chini ya mama basi Ajue tu Asiwe maarufu kuliko Rais.
Makonda hana umaarufu wowote,sana sana anakuzwa na media za hovyo hovyo.
 
Huenda anafanya kwa Lengo zuri. Huenda anataka kukisaidia chama lakini Lazma ajue kujizuia. Kuwa maarufu kuliko Rais ni kama uhaini kisiasa.

Walio karibu na Makonda wamwambie hatakiwi kuwa Maarufu kuliko Rais. Kisiasa huo ni kama uhaini

Ama ajizuie au atazuiwa soon. Au....

Alitaka awe hivyo makamu wa sasa wa raisi mwanzo. Nilishangaa Profesa hajui protokali. Ila akarudishwa sasa katulia kamwachia mama steling

Huo ndio siasa za dunia zilivyo. Dunia nzima hutakiwi kuwa maarufu kuliko kiongozi wa Juu hata kwenye eneo lako. Hata ukiwa mbunge hutakiwi kusikilizwa au kuwa na ushawishi kuliko Rais wa chama chako kwenye eneo lako.

Heride alipanga amuue Yesu alipozaliwa baada ya kuona nyota yake. Alijua akiwa maarufu atachukua cheo chake.
Kuna makosa yalifanywa na maraisi uko nyuma.
Aliruhusu Rais wa Zaire mwaka 1960. Waziri mkuu Lumumba ndio akasikilizwa. Nchi haikutawalika tena
Obote aliruhusu Iddi Amin awe maarufu kuliko yeye. Alipoenda tu yeye akauchukua uraisi.

Aliruhusu hilo Thabo Mbeki, kwa Jacob Zuma. Na zuma alipotaka kushugulikiwa swala lake la rushwa wanachama wa ANC wakamwamini na wakamshugulikia Mbeki yeye na Zuma akampokonya urais.

Ilitokea kwa Lowasa na JK. Kilichomponza Ni kuogopwa na kuwa maarufu kuliko Jk. Pia Nyerere na Sokoine au John Okelo na Karume.

Nawakumbusha tena mwambieni asiwe maarufu kuliko au kumkaribia Rais.

Sasa anaagiza, anahutubia, anasindikizwa. Kama anafanya kwa bahati mbaya sielewi kabisa. Hana washauri.

Uingereza Mfalme alichagua hadi uongozi wa kanisa. Ata dini haikupaswa kumzidi umaarufu

Kumsaidia raisi ni kufafanua hoja zenye utata kama bandari, kufafanua mambo Ambayo Raisi kafanya kama kujenga madarasa, Miradi inayoendelea kutekelezwa na serikali. Kuwaponda wapinzani na kutoa kasoro zao. Kufafanua uzuri wa kikokotoo cha wastafu kwa taifa.. Faida za Hamkosi na Maslahi ya watu wanayoshugulikiwa na serikali ila kamwe. Narudia kamwe
1. Asihoji au kuagiza chochote kwenye mkutano wa hadhara.
2. Asikubali kabisa kupokea kero ya watu hadharani na kuzijibu moja kwa moja. Majibu yawe ntafikisha kwa Raisi ili lipatiwe ufumbuzi.
Dunia nzima hakuna taasisi yenye wivu kama uraisi.
Sudan kusini Raisi na Waziri mkuu walikuwa na ushawishi sawa ikagawanyika. Kongo kinshasa makamanda karibu 20 walikuwa na ushawishi sawa.

Ethiopia pia viongozi wa majimbo walikuwa na ushawishi mkubwa kwenye majimbo yao kuliko waziri mkuu wakamgeuka waziri vita vikaanza.

Siku makonda akikengeuka akiwa maarufu basi kazi ipo. Yasije ya Mrema na Mwinyi.

Labda kama ana plan B. Lakini kama anataka kuwa chini ya mama basi Ajue tu Asiwe maarufu kuliko Rais.
Mama anayataka mwenyewe..

Anakesha Angani.
 
Breaking

Makonda
avuka na mtumbwi jangwani akielekea Lumumba
 
Ngoja tuuone huenda wale wanaratibu sayansi za siasa zetu za kiafrika watatuambia nini Sasa Makonda anatakiwa afanye
Lkn naona hoja hii Ina mashiko ndani yake
 
Umeongea vyema sana kiongozi, siyo kwenye siasa tu hata kwenye hizi KAZI za kawaida hasa za serikali, ukiwa mtumishi wa chini alafu ukawa maarufu kuliko boss wako basi lazima ajilinde Kwa kukubana.
 
Tabia ni hurka kusifia na kupamba Kila mmoja ugari wake ndio tz yetu . Atujafikia Kila mmoja kuonekana msaada wake ni elimu na maisha yake ni uhandisi sio msaada boss wake na maisha yake sio ajira . Bado tupo Dunia ya tatu
 
Itategemea kama unashindana na rais mwenyewe. Huyo rais ndio kamtuma makonda amtengenezee njia ya 2025..anajua fika bila kuwa na bulldozer mbele yake safari ni ngumu sana.

Kinachofanyika ni baraka zake mwenyewe na huko alipo sasa walau analala usingizi. Ingelikuwa tofauti na hivyo basi asingemtoa Mjema au Shaka. Wanaolalamikia hizi hekaheka wengi ni wale wasiopendezwa na Makonda..wale wanaoona madhaifu mengi ya watendaji wa serikali yatapunguzwa hivyo kuipa ccm umaarufu.

Kwa sasa watendaji wameanza kuingia site kabla Makonda hajafika. Next time samia atampa mafaili ya madudu ili akashughulike nao akiwa kwenye ziara.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kiongozi yoyote duniani anayeweza kuruhusu hilo kaka. Hakuna. Anatakiwa kueneza yale yaliyoagizwa. Mfano akafafanue manufaa ya Mkataba wa bandari na Dubai. Huo ndio uenezi. Achukue lawama zote juu ya chama na Sifa zote ziende kwa mwenyekiti.

Angesoma historia ya Oscar Kambona angeelewa.
Yaani uende geita au bunda umfafanulie mtu mambo ya bandari? Katika maoni na maswali ya wananchi umesikia wakitaja bandari.? Watu wana mahitaji yao kuliko bandari..wanajua bandari haiwezi kuwapa chakula cha bure wala matibabu bure.

Wasikilize watu uone jinsi wanacholalamikia..mambo ya bandari ni sisi huku mitandaoni..huko site watu wanataka maji, barabara, umeme, madawa, vituo vya afya, ardhi, haki, huduma,stendi na kuondolewa sheria kandamizi.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Umaarufu wake hata hivyo unachekesha sana na uko kwenye vitu vya kijinga mno.. Mama mwenyewe anafurahia maana kapumzishwa kidogo.. Ila huko mbeleni hatari ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mie nashangaa kuona umaarufu wa kupanda punda au trekta uwe tishio?
Kwani nchi hii watu wote wamekuwa wajinga kama hao wafuasi wa ccm ambao kwao hayo matukio ni hoja na sio vioja?
Toka Makonda Kawa mwenezi ni hoja gani kaizungumza yenye faida kwa chama chake tuu achia mbali kwa nchi?
Hizo drama zinawasaidiaje vijana wasio ajira pamoja na vyeti yao?
Hivi vyombo vya habari vinavyo tumika kumbeba Bashite viandae MDAHALO WA KITAIFA utakao washirikisha Wenezi wa vyama vikuu kujadili mstakabali wa taifa hili na msaada wa vyama vyao ili muone huo uwezo wa Makonda uko wapi!
Bangladeshi!!
 
Hongera CCM mikakati inakwenda vizuri sana, na kuhusu kanda ya Ziwa dawa imekwisha patikana, tunaweza kulala kwa kukoroma, mkakati umefaulu.
Unajidanganya! Nimeliuliza hili kwa watu makini wawili watatu huko kanda ya ziwa na majibu ni kuwa drama hizo ni ile mihemko ya watu masikini kushangilia wakiona viongozi wakiumbuliwa hadharani kwa style hii ya Bashite, lakini kapita zake na mambo ni BACK TO SQUARE ONE.
 
Huenda anafanya kwa Lengo zuri. Huenda anataka kukisaidia chama lakini Lazma ajue kujizuia. Kuwa maarufu kuliko Rais ni kama uhaini kisiasa.

Walio karibu na Makonda wamwambie hatakiwi kuwa Maarufu kuliko Rais. Kisiasa huo ni kama uhaini

Ama ajizuie au atazuiwa soon. Au....

Alitaka awe hivyo makamu wa sasa wa raisi mwanzo. Nilishangaa Profesa hajui protokali. Ila akarudishwa sasa katulia kamwachia mama steling

Huo ndio siasa za dunia zilivyo. Dunia nzima hutakiwi kuwa maarufu kuliko kiongozi wa Juu hata kwenye eneo lako. Hata ukiwa mbunge hutakiwi kusikilizwa au kuwa na ushawishi kuliko Rais wa chama chako kwenye eneo lako.

Heride alipanga amuue Yesu alipozaliwa baada ya kuona nyota yake. Alijua akiwa maarufu atachukua cheo chake.
Kuna makosa yalifanywa na maraisi uko nyuma.
Aliruhusu Rais wa Zaire mwaka 1960. Waziri mkuu Lumumba ndio akasikilizwa. Nchi haikutawalika tena
Obote aliruhusu Iddi Amin awe maarufu kuliko yeye. Alipoenda tu yeye akauchukua uraisi.

Aliruhusu hilo Thabo Mbeki, kwa Jacob Zuma. Na zuma alipotaka kushugulikiwa swala lake la rushwa wanachama wa ANC wakamwamini na wakamshugulikia Mbeki yeye na Zuma akampokonya urais.

Ilitokea kwa Lowasa na JK. Kilichomponza Ni kuogopwa na kuwa maarufu kuliko Jk. Pia Nyerere na Sokoine au John Okelo na Karume.

Nawakumbusha tena mwambieni asiwe maarufu kuliko au kumkaribia Rais.

Sasa anaagiza, anahutubia, anasindikizwa. Kama anafanya kwa bahati mbaya sielewi kabisa. Hana washauri.

Uingereza Mfalme alichagua hadi uongozi wa kanisa. Ata dini haikupaswa kumzidi umaarufu

Kumsaidia raisi ni kufafanua hoja zenye utata kama bandari, kufafanua mambo Ambayo Raisi kafanya kama kujenga madarasa, Miradi inayoendelea kutekelezwa na serikali. Kuwaponda wapinzani na kutoa kasoro zao. Kufafanua uzuri wa kikokotoo cha wastafu kwa taifa.. Faida za Hamkosi na Maslahi ya watu wanayoshugulikiwa na serikali ila kamwe. Narudia kamwe
1. Asihoji au kuagiza chochote kwenye mkutano wa hadhara.
2. Asikubali kabisa kupokea kero ya watu hadharani na kuzijibu moja kwa moja. Majibu yawe ntafikisha kwa Raisi ili lipatiwe ufumbuzi.
Dunia nzima hakuna taasisi yenye wivu kama uraisi.
Sudan kusini Raisi na Waziri mkuu walikuwa na ushawishi sawa ikagawanyika. Kongo kinshasa makamanda karibu 20 walikuwa na ushawishi sawa.

Ethiopia pia viongozi wa majimbo walikuwa na ushawishi mkubwa kwenye majimbo yao kuliko waziri mkuu wakamgeuka waziri vita vikaanza.

Siku makonda akikengeuka akiwa maarufu basi kazi ipo. Yasije ya Mrema na Mwinyi.

Labda kama ana plan B. Lakini kama anataka kuwa chini ya mama basi Ajue tu Asiwe maarufu kuliko Rais.
Kila ndogo ina kubwa yake. Wala hizo sifa za kupanda punda etc na huo umaarufu ni wa Chama cha Mapinduzi, tunafurahi mnapata headlines za kuandika juu ya Chama Chetu na Dkt Samia, hizo ndiyo siasa tunazitaka.
 
Hata mie nashangaa kuona umaarufu wa kupanda punda au trekta uwe tishio?
Kwani nchi hii watu wote wamekuwa wajinga kama hao wafuasi wa ccm ambao kwao hayo matukio ni hoja na sio vioja?
Toka Makonda Kawa mwenezi ni hoja gani kaizungumza yenye faida kwa chama chake tuu achia mbali kwa nchi?
Hizo drama zinawasaidiaje vijana wasio ajira pamoja na vyeti yao?
Hivi vyombo vya habari vinavyo tumika kumbeba Bashite viandae MDAHALO WA KITAIFA utakao washirikisha Wenezi wa vyama vikuu kujadili mstakabali wa taifa hili na msaada wa vyama vyao ili muone huo uwezo wa Makonda uko wapi!
Bangladeshi!!
Wivu tu, CCM ya Dkt Samia inawakimbiza, toroka uje haraka! CCM Oyeee!
 
Back
Top Bottom