Walioandaliwa kuipigia "debe" Tozo waanza kujitokeza, leo ni Steve "Nyenyere"

Nimesikiliza kidogo sana aliyokuwa anaongea ni utumbo mtupu!
kama wamefikia kuwaleta 'watetezi' wenye upeo mdogo kama huyu basi ni hatare sana!
 
Ukimwona hata ongea yake unagundua mara moja kuwa kichwani kuna shida!
 
Kinachonishangaza ni vyombo vya habari kumpa coverage kubwa mtu asiye na uelewa wala hadhi!

Hivi kweli Steve ni mtu wa kumnukuu unapojenga hoja!
 
Huyu si ndo wasanii wenzake humiata dalali, ni wa kupuuzwa, yani ni haibu Taifa la watu wenye akili eti uyu au wa ina yake kuwasemea watanzania, tupa kule Hawana effect yoyote, Mandoga aliechangamka kwenye maisha ya watu, maana mandonga Halisi yupo KWa maisha yake na familia yake
Y
 
Serikali imemtuma Steve kuwafokea Watanzania.

Kama msomi tena meneja wa TRL alitoa maoni kuhusu tozo, maana yake ni kwamba huyu swala anayebwatuka bwatuka hapa mjini hajaja mwenyewe
 
Nilisha toa maelekezo kwamba baada tu stivu mengele kumaliza urojo wake angekamtwa pale pale au kutekwa usku na kupewa kipondo kitakatifu kwani kina stivu wana kinga gani mm mwenye goroko naweza kumdhibiti vibaya mno Kisha anatafuwa mwijaku yule wa clouds wamuendee na mafuta ya Nazi biashra yake inaisha Hhapo Hap kusifiania na kutetea ujinga utaisha tz

Wakt hayo yakiendelea inatafutwa namna sas ya kudeal na vigogo wale vywenye dharau na kiburi washughulikiwe nao vilevile kwa kiwango staili ujinga na upuzi utaisha tz haitaji katiba ili upuuzi uishe inaitajika watu wapewe nidhamu tu watawala watabadilika na kuwasikiliza wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…