MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Nini kimewafanya CHADEMA wapate ruzuku kubwa kuliko vyame vingine vya upinzani ???Ruzuku ni halali yao hawa wawe wabunge ama wasiwe wabunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kimewafanya CHADEMA wapate ruzuku kubwa kuliko vyame vingine vya upinzani ???Ruzuku ni halali yao hawa wawe wabunge ama wasiwe wabunge
Lete ushahidi.Ila ruzuku zitokanazo na hawa wabunge Chama kimechukua ???
Hebu CHADEMA kuweni na misimamo ili tujue moja.
Wewe ni mahakama ???Late ushahidi.
Wewe ndiye uliyewapa hiyo ruzuku au ndiye uliyeipokea?Nini kimewafanya CHADEMA wapate ruzuku kubwa kuliko vyame vingine vya upinzani ???
Ni jambo jema!View attachment 1680489
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za serikali za mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
Ndugai ndiye mahakamaWewe ni mahakama ???
BUNGE linazidiwa Ubora na DANGULO la MAKAHABA... Uchafu Mtupu.Bunge la Safar hii ni zaidi ya Choo cha stendi
Jiandae kuitwa kwenye kamati ya maadili ya Bunge kama Prof. AsadBunge la Safar hii ni zaidi ya Choo cha stendi
Kwahiyo CHADEMA kimesusia na ruzuku pia ???Wewe ndiye uliyewapa hiyo ruzuku au ndiye uliyeipokea?
afadhali choo kinasafishwaBunge la Safar hii ni zaidi ya Choo cha stendi
Yaani ukiangalia namna Magufuli na genge lake wanavyopeleka mambo ni kama wana trigger kwa nguvu zote kuleta machafuko nchi hii.Limekaa utadhani gulio la washenzi.
Acha utapeliii, mungewafukuza halafu leo hiii mkakubali kula ruzuku iinayotokana na uwepo wao bungeniii??? Tulizeni mizuka wabunge hao wakachape kaziiiView attachment 1680489
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za serikali za mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
My friend, never underestimate the power of stupid people in a large group.Yaani ukiangalia namna Magufuli na genge lake ni kama wana trigger kwa nguvu zote kuleta machafuko nchi hii.
Basi tu ni kama wabongo hawajawa tayari.
Ila hii Awamu kwa Kuchezea Katiba ni balaa naona KINGA zinafanya kaziView attachment 1680489
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za serikali za mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
Alokwambia kwamba hawawi sababu ya ruzuku ni nani?Tafuta akili maana huna, nani kakwambia wabunge wa viti maalum wanasababisha chama kipate ruzuku?
Kwani chadema hawachukui ruzuku inayotokana na hao wabunge?View attachment 1680489
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za serikali za mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
Na mzee Halima Mdee?View attachment 1680489
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za serikali za mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
Kalaga bahoKwahiyo CHADEMA kimesusia na ruzuku pia ???