MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Ewaaah mkuu umenielewesha vyema kabisa mimi nisiyefahamu, ruzuku inatokana na kura za raisi na wabunge.Kura za Lisu
Sasa kama uchaguzi haukuwa huru na haki kwanini chama kichukue ruzuku ya uchaguzi batili ???