Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #101
Ruzuku hazitokani na wabunge wa viti maalumChadema rudisheni ruzuku au mhalalishe hao mliowafukuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruzuku hazitokani na wabunge wa viti maalumChadema rudisheni ruzuku au mhalalishe hao mliowafukuza.
Nani kakuambia Chadema wana shida na ruzuku?? Nani kakuambia zimepokelewa na kupangia kazi?? Au wewe ni Mhasibu wa Chadema?? Siku Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali atakapozikagua ndiyo utajua kama ziliguswa au la. Yule aliyeziweka atazikuta pale pale na atazirejesha alikozitoa.Ila ruzuku zitokanazo na hawa wabunge Chama kimechukua?
Hebu CHADEMA kuweni na misimamo ili tujue moja.
Jukumu la kuhakikisha sheria za nchi hii zinafuatwa na kuheshimiwa ni la kila mmoja wetu mkuuNi swali zuri sana.
Pili, wanaenda Bungeni kwa kutumia chama gani? Kama wanatumia CDM, kuna kila sababu ya kufungua kesi ya kupinga matumizi ya jina lao. Wanaweza kuitwa Wabunge wa Spika , pindi wakiitwa Chadema kuna tatizo
Tatu, hivi hapa hakuna ukikwaji wa katiba? Wako wapi wanasheria au taasisi zinazosimamia mambo haya?
Hivi haiwezekani kufungua kesi
JokaKuu tindo
CCM wanaweza kujibu kwamba wao wanatoa ruzuku kutimiza matakwa ya katiba hivyo huwezi wakatalia,..hoja zako zinafikirisha.
..tatizo ni kwamba cdm hawakutuma maombi wapewe ruzuku.
..pia hatuna uthibitisho wowote kwamba cdm wametumia fedha za ruzuku.
..mwisho, ccm wamepoke mabilioni ya fedha za ruzuku wakati kuna crisis ya wanafunzi kukosa madawati.
..tunajisifia kununua ndege wakati hatuna madawati, na wanaotuuzia ndege wanafunzi wao wanasoma kwenye madarasa yenye viyoyozi.
Kama chama kikuu cha upinzani basi kitoe tamko kwamba hiyo ruzuku imeletwa lakini CHADEMA hatuikubali.Nani kakuambia Chadema wana shida na ruzuku?? Nani kakuambia zimepokelewa na kupangia kazi?? Au wewe ni Mhasibu wa Chadema?? Siku Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali atakapozikagua ndiyo utajua kama ziliguswa au la. Yule aliyeziweka atazikuta pale pale na atazirejesha alikozitoa.
😂😂Bunge la Safar hii ni zaidi ya Choo cha stendi
CHADEMA inasema kwamba uchaguzi haukuwa halali na Mwenyekiti na Makamu walitoa tamko kabisa.Idadi ya kura ktk uchaguzi mkuu uliopita
Una haraka sana !CCM wanaweza kujibu kwamba wao wanatoa ruzuku kutimiza matakwa ya katiba hivyo huwezi wakatalia,
Tatizo linakuja pale kwa mpokeaji wa hiyo ruzuku ambaye alisema wazi kwamba uchaguzi haukuwa huru na haki.
Watu waliouwawa, walitekwa na kura ziliibwa: Kupokea ruzuku iliyotokana na uchaguzi ni kuhalalisha uharamia wa CCM.
Haraka yangu iko wapi ???Una haraka sana !
Sio rahisi hivyo. Ndio maana ubunge wa yule mama wa Nkasi unatambulika na ni kama vile umeshapata baraka za chama japo nae alipatikana kwenye process hiyohiyo inayopigiwa keleleMbona ni suala rahisi sana kimaadili na kikanuni: Mambo mengine CHADEMA wanatoa tamko na hili pia watoe tamko.
Yesu na Maria, ukifaulu kwenye hili tutakupa mji, nani arudishe Fedha! Ndesa iliyomuuza Yesu,haiwezekani?!Nitaweka pressure kubwa hizo pesa zirudishwe haraka sana. Ukitaka kuwa msafi mbele ya jamii kwa kukataa uchaguzi haramu hivyo hivyo pesa haramu ikataliwe.
Naona zako zimekaribiana naza funza!.Una akili Kama kuku kweli.
Toka lini nyumbu wakawa na msimamo? Aliyewapa hii title aliona mbali Sana.
Ila Ruzuku inatokana na Uchaguzi mnaoita batili na mnatia ndani.Ruzuku hazitokani na wabunge wa viti maalum
una uhakika na kauli yako ? usije ukaumbukaIla Ruzuku inatokana na Uchaguzi mnaoita batili na mnatia ndani.
CCM wanaweza kujibu kwamba wao wanatoa ruzuku kutimiza matakwa ya katiba hivyo huwezi wakatalia,
Tatizo linakuja pale kwa mpokeaji wa hiyo ruzuku ambaye alisema wazi kwamba uchaguzi haukuwa huru na haki.
Watu waliouwawa, walitekwa na kura ziliibwa: Kupokea ruzuku iliyotokana na uchaguzi ni kuhalalisha uharamia wa CCM.
Mara nyingi mimi na wewe huwa tukishindanisha hoja na kutopata muafaka husema hivi: Muda ndiyo msema kweli !!..Unaposema Cdm wamepokea una maana gani? Je, una taarifa rasmi toka Cdm?
Mara nyingi mimi na wewe huwa tukishindanisha hoja na kutopata muafaka husema hivi: Muda ndiyo msema kweli !!
Iringa nzima hakuna hospitali ya umma yenye CT Scan, Iringa mjini hata za binafsi hazina hiyo kipimo, na kinauzwa kuanzia shilingi milioni 400 tu. Ewe mwenyekiti wa LAAC waambie wakupe hiyo mashine Iringa tupunguze adha ya kusafiri nje ya mkoa kwa ajili ya vipimo tu. Naamini kwa sasa hawawezi kuchomoa ukiwaomba
Grace Tendega, mmoja wa Wasaliti waliojiteua na kuapishwa na Ndugai kuwa wabunge wa viti maalum kutoka Chadema, leo ametunukiwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa ( LAAC )
Bado haijafahamika kama aliomba nafasi hiyo au amepewa bure.
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?