MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Naam kamanda, hupokea ruzuku ni kuhalalisha uharamia wa Chama Cha Mapinduzi.Nitaweka pressure kubwa hizo pesa zirudishwe haraka sana. Ukitaka kuwa msafi mbele ya jamii kwa kukataa uchaguzi haramu hivyo hivyo pesa haramu ikataliwe.
Shawishi makanda wagome na wazirudishe haraka sana, Aluta Continua.
Dada Erythrocyte umesikia kamanda BAK anasema rudisheni ruzuku.