Mzee Halima yeye kazawadia nafasi gani ili tuendelee kumshukuru Mungu kwa ajili hiyo?Mshukuruni Mungu kwa kila jambo kwani yeye siku zote anawawazia mema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Halima yeye kazawadia nafasi gani ili tuendelee kumshukuru Mungu kwa ajili hiyo?Mshukuruni Mungu kwa kila jambo kwani yeye siku zote anawawazia mema
Wewe endelea kumwita mzee Halima hapo nyuma ya keyboard mwenzio yupo kama alivyo Halima na anachapa kazi.Mzee Halima yeye kazawadia nafasi gani ili tuendelee kumshukuru Mungu kwa ajili hiyo?
Imetokana na nini?? Toa maelezoooNani kakudanganya kwamba ruzuku imetokana na hawa wasaliti ?
Umeishia darasa la ngapi?Imetokana na nini? Toa maelezooo
Ndio chanzo kumbe cha chama chako kupata ruzuku?umeishia darasa la ngapi ?
Ndo hapo nami nawashangaa makamanda kwa kujichanganya!Bwashee kama ni haramu mbona mwenyekiti wetu anachukua ruzuku?
Bali swali kubwa ni hili , ni yupi mwingine atayekikwaa cheo cha bure miongoni mwa wasaliti waliosalia ?
Mhuni kiongozi na wa kwanza ni wewe jombaBunge haramu, msitegemee kipya chochote kutoka kwenye hili Bunge haramu. Bora tu Mkoloni angerudi kuliko kuwa na hawa wahuni.
Ila ruzuku zitokanazo na hawa wabunge Chama kimechukua?
Hebu CHADEMA kuweni na misimamo ili tujue moja.
Kivipi mkuu , mbona nimetoa taarifa ya halali tu ?Erythocyte, unataka watuwaache kusoma post zakoe? Sawa. Endelea kuandika utumbo.
Tamaa nyingi,anataka hela kutokana na uwakilishi wa wanamama 19,lakini huku amewafukuza uanachama kwa kukiuka taratibu za kuwakilishwa bungeni.Ila ruzuku zitokanazo na hawa wabunge Chama kimechukua?
Hebu CHADEMA kuweni na misimamo ili tujue moja.
Kwani ruzuku zinatokana na wabunge au na idadi ya kura za uras?.Ila ruzuku zitokanazo na hawa wabunge Chama kimechukua?
Hebu CHADEMA kuweni na misimamo ili tujue moja.
Hayo maswali waulize Kaijage na Mahera pale NEC!Chadema ina Mbunge mmoja aliyeshinda Ubunge ktk Jimbo la Namanyere.Inashangaza kusikia BUNGE limeteua Wabunge kutoka CHADEMA kuongoza KAMATI za Bunge Je hao Wabunge walipataje Ubunge Wao Bila Kupitishwa na Chama Chao? Na kama ni Wale 19 wa Viti Maalum Mbona CHADEMA ikiwafukuza? Au kuna Chadema Mpya imeanzishwa? Spika hebu heshimu KATIBA ulioapa Kuilinda Acha siasa kwenye masuala ya Sheria kuna Maisha baada ya Uspika. Nchi yetu haina Mbunge pasipo kuwa Mwanachama wa Chama cha Siasa.