Waliokopa hela Benki kujenga ma guest Chato, viwanda, nyumba za kupanga wanahaha, wanahonga wanasiasa ili Chato iwe Mkoa hela irudi

Waliokopa hela Benki kujenga ma guest Chato, viwanda, nyumba za kupanga wanahaha, wanahonga wanasiasa ili Chato iwe Mkoa hela irudi

Mnajuwa kutunga stori ili kudanganya watu , nmewai kwenda chato ila stori nyingi nligundua zinatowa chumvi za kisiasa , hamna jipya , mataa ni kama mataa ya wilaya nyingine km masasi,mtwara pia uwanja wa ndege ni wakawaida sana ila wanasiasa wanatumia advantage ya kujengwa kweny utawala wa JPM ila hawajiulizi ni mangapi yamefanywa nje ya chato kipind cha JPM au mtu ulitaka wilaya isiwe na mataa hata sehemu moja? wakati zipo wilaya nyingi zina mataa ikiwemo masasi , pia ulitaka wilaya isiwe na benki ? au wilaya isiwe na uwanja wa ndege , KUNA VITU UKIONGEA ATAVIAMINI MJINGA TU , JPM aliandamwa sana ila leo hayupo duniani mtutajie mali zake ss ili tujue km ni mwizi
Umeandika sentensi kwa herufi kunwa kama baba yako Ndugai.

Tofauti ya taa za Masasi na za Chato. Taa za Chato zipo kama mapambo, lakini za sehemu nyingine angalau zinaongoza magari.
 
Kuna miundombinu gani ya chato ambayo ni yofauti na Wilaya kama za Chalinze , Masasi , Same , Nzega au Hai ? Kuna muda siasa zinawafanya mtunge uongo sana , chato nmefika sijaona maajabu yyte ya kusema JPM kafanya , chochote kilifanywa hapo Chato kimefanywa pia wilaya nyingine za Tanzania
Chato ilistahili kubakia kuwa kijiji na siyo wilaya. Haya, uliona wapi kijiji chenye taa za barabarani?
 
kusema mleta mada ni mtu wa hovyo bila kuambatanisha hoja yoyote hapa wewe ndo unaonekana ni mtu wa hovyo.
Hv kipi kinazuia Chato isipate haki yake ya miundombinu ? mataa yapo hata wilaya masasi , uwanja wa ndege upo hata wilaya ya Hai tena uwanja mkubwa wa kimataifa , kwann iwe Chato ndo kosa ila wilaya ya Hai sio Kosa ? Sion uhusiano wa rais na hizo guests kwamba JPM aliwaza kote akakomea kwenye kuwashauri watu wa chato wakope wajenge guest wakiamini chato ikiwa mkoa ela zitarudi , kwan ikiwa mkoa kipi kitaongezeka cha kuwapa wateja wengi wenye hizo guests? kuna dots hamuungi vizur jifunzen kutunga stori , ni mjinga tu ndo anaeza zisikiliza hizo stori
 
zile hotel za marwhemu john alizojenga bukome zitakaliwa na nani?


zile nyumba za kalemani alizojenga nyabilezi karibu na mseveni school atampangisha nani,

mle chato kuna lodge kali sana hazina wateja... yaani hata kwa buku 5 watu hawapo.

jmosi ni siku ya soko, lakini hamna wanunuzi.

barabara pale wnapoita mjini zote ni za lami lkn hazina magari isipokuwa Pkpk sanlg na boxer (wao hutamka boksaa) za walimu.

kwa sasa chato hakuna wageni, mausalama wengi wamehamishwa na Malaya wameyeyuka.

mkuu chinembe nadhani tupo kundi moja la admin yule katibu Wa wazaz huko tabora aliozawadiwa baada ya kumpiga lisu na msafara wake
Mtu timamu atagundua umeandika kwa chuki , uliyoyaandika yote yapo kila wilaya ya Tanzania labda kama kusafir kwako ni dar to chato , tembea upanue akili yako maana naona ulitaka chato isiwe na chochote kisa ni kwao rais ?
 
mleta mada una uthibitisho wa unachokisema au ndio mihemko??, kwa hiyo unachotaka kusema hizo nyumba zote zilijengwa kwa mikopo??
Akil ya mtoa mada ni fupi , nyumbu wenzie ndo watamsikiliza utoto wake huo
 
Kwani vijiji vya Lindi na Babati vina hadhi ya kuwa mkoa ? Mtoa mada mburula tu.
 
Ile hoteli ya mbugani pale Chato? Mbuga iliyojaa panya buku hakuna hata mnyama mmoja wa kuvutia utalii? Na serikali haifanyi biashara, mtatwambia hii sera ilibadilika lini mpaka mnalazimisha serikali ijenge hoteli, badala ya wafanyabiashar
Tz ni nchi pekee inajiendesha kwa mikopo , serikali haina miradi yoyot na inasamehe kodi matajiri as if serikali wana ela , aibu tupu !!! Nyerere was a genius
 
Acha magari, kuna kituo Cha zimamoto chenye thamani ya mabilioni kuliko hata Cha Dsm
Acha uongo wewe , hv unanufaika na nininkudanganya umma ? au kuna mtu anakutuma udanganye umma?
 
Imekamilika mkuu, nawaza ya nchi
Hili jitu pumbaff kbs , akil kum kichwa ni zero kbs , ukanda unamsumbua tu , maflyover , njia nne za dar , stend ya kimataifa , brt ila bado hataki chato iwe hata na mataa ya barabarani .Mbona wilaya nyingi tu zina mataa
 
Wale wawekezaji wa michongo Sasa wanahaha, Chato Ina magesti house mengi saana na yamejengwa kwa mikopo, wengi waliojenga walitarajia mzee angekaa madarakani miaka mingi sana. Kuna makumi ya magesti hayajaisha, mengine yameisha.

Sasa yale yalioisha hayana wateja kabisa, yale yaliyokuwa yanajengwa yamesimama, mikopo ya kulipwa benki waliyokopa imeiva.

Kinachofata ni mashinikizo kwa wanasiasa na wakati mwingine wanawapa Hela ili angalau Chato iwe Mkoa warudishe mikopo. Wanasiasa wengi wanaotaka Chato iwe Mkoa wako kwenye payroll ya wafanyabiashara, wanalalamika waliingizwa mkenge.

Bado we waliojenga viwanda

Yale mataa ya barabarani yanayowaka usiku pale Chato yanasaidia kumulika umasikini mkali uliotamalaki na kuthibitisha hoja ya Nyerere kwamba maendeleo ni ya watu, sio ya vitu, wananchi wanatembea kwa miguu kurudi na kwenda makazini huku wakimulikwa na taa za barabarani, wanalala njaa majumbani huku wakichungulia dirishani wanaona barabarani Kuna taa zinawaka usiku.

Mawaziri na viongozi waliolazimishwa kununua viwanja Chato wanahaha kupata mteja wa kuwauzia kwa karibu mwaka sasa.

Ajenda ya chato kiwa Mkoa sio ya wananchi, ni ya wafanyabiashara na wanasiasa, wananchi wanataka Samia awatoe kiuchumi tu na kusomesha watoto wao ambao waliachwa wakihaha
Hata ikiwa mkoa kwani pesa itarudi vipi? Serikali itakuwa inaishia guest au hotelini?

Wajinga ndio waliwao.
 
Gorodiani alipewa tenda ya kuuza simenti Chato mzima, vipi? Bado ana wateja? Maana sekta ya ujenzi imekwama, miradi haiendelei
Tangu mwenye chato yake kila kitu kimesimama hadi tupatiwe mkoa
 
Hiyo bandari kwa taarifa yako sasa hivi hesabu muda mfupi tu ujao itaanza kujengwa na hilo ndiyo litakuwa pigo jingine takatifu na pigo lenye nguvu kutoka kwa wajivuni kwenda kwa sukuma gang.
Daah yaan nchi inaendeshwa kiutani utani ila siku ndo zinaenda [emoji22]
 
Daah yaan nchi inaendeshwa kiutani utani ila siku ndo zinaenda [emoji22]
Tunawaonyesha kuwa sukuma gang mtateseka sana hadi mtamani kumfuata mfadhili wenu aliko
 
Umeandika sentensi kwa herufi kunwa kama baba yako Ndugai.

Tofauti ya taa za Masasi na za Chato. Taa za Chato zipo kama mapambo, lakini za sehemu nyingine angalau zinaongoza magari.
Yaani sehemu yenye wafanyabiashara wenye uwezo wa kuwaonga wanasiasa na wenye uwezo wa kujenga maguest leo hii wakose hata baiskeri ya kupita nazo kwenye hizo roads zenye mataa? yaan narudia ni vichaa tu ndo watakusikiliza , unaongea pumba sana na hujui kutunga stori
 
Back
Top Bottom