Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
CCM ni kubwa kuliko Nape na Makamba,
Hawawezi kuwa kikwazo kwa chaguzi yyt instead wao ndo watapata vikwazo!!
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi...
Kama ww ndie Nape mwenyewe ulieandika thread hii uko sawa kabisa lkn kama sivyo that is totally wrong kwa maamuzi aliyoyafanya Rais.
 
Wizi wa kura kwako ni mipango mizuri?

Ifike sehemu waTz tuthamini mambo ya haki pamoja na uadilifu.

Kwa akili zako unaona wizi na forgery chafu za kughushi matokeo pamoja na kuchakachua kura ndiyo mbinu hizo?

Tena kuwatema hao manyang'au Rais kajiongezea credit katika mioyo ya Raia waliokuwa wamefura kwa kuwawekea hao waliokuwa ni mawaziri mizigo.

Akitaka amalize tatizo, amuondoe na huyo mmoja aliyebakia anayepigiwa kelele sana.
We chawa tu.
 
Kwa taarifa za uhakika ni kuwa January , Bashe , Nape na wengine ambazo nitawataja hapa baada ya kikao kuanza wanakutana Tanga beach resort kuanzia jioni ya Leo kupanga "the next forward" baada ya Rais Samia kuwaondoa baadhi ya members katika cabinet.

Hakuna kitakakachojificha. Kila aina ya uhuni na ushenzi unaopangwa utawekwa hadharani na hatua Kali za kuwadhibiti zitachukuliwa.

Angalizo: Mama Samia usidhani ni januari na Nape tu ndio waliokua wanakuzunguka wapo na wengine na muda si mrefu tutawataja. Hussein Bashe ni mmoja wapo yupo Tanga kwenye kikao hiki.
 
Kwa taarifa za uhakika ni kuwa January , Bashe , Nape na wengine ambazo nitawataja hapa baada ya kikao kuanza wanakutana Tanga beach resort kuanzia jioni ya Leo kupanga "the next forward" baada ya Rais Samia kuwaondoa baadhi ya members katika cabinet.

Hakuna kitakakachojificha. Kila aina ya uhuni na ushenzi unaopangwa utawekwa hadharani na hatua Kali za kuwadhibiti zitachukuliwa.

Angalizo: Mama Samia usidhani ni januari na Nape tu ndio waliokua wanakuzunguka wapo na wengine na muda si mrefu tutawataja. Hussein Bashe ni mmoja wapo yupo Tanga kwenye kikao hiki.
Wapige picha!
 
Back
Top Bottom