Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Pre GE2025 Waliomshauri Rais Samia kuwatengua Nape na Makamba, wamempotosha. 2025 Rais Samia atakwama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Eti wamekulia kwahivo watende madhambi wasiwajibishwe kwasababu tu wamekulia pia Nap na Makamb Wana image ya ufisadi mbele za wanachi sijui ni kwann ila ndio hivyo....Huyo Jan,ndio huwa Hana kibali kabisa anabebwa tu na system ila damu ya kupendwa na wananchi Hana......
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wazijui wasizijui lazima watupishe watu wapo wengi
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Acheni mikwala mbuzi hii. CCM ni taasisi imekuwepo kabla hata hao wawili hawajazaliwa.

Hizi ndizo akili za Nape, kudhani kwamba yeye ni superstar fulani hivi kisiasa kumbe pimbi tu mmoja.
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Walaaaa Hakwamiiii hata kidodgoooo tena nikupe taarifaaa kwambaaa ndio kura zimeongezekaaaa na ni fundishooo kwa wengine wenye viburiii,
Naaa nyinyi AKINA NAPE ,HICHO KISAMBAAA NA HUYU MHAYA ANAYELIAAAAAAAAA NDIO NYINYI MNAJIGEUZAAA ,MAMAA YETU ATASHINDAAAAA VIZRI TUUU MCHANA KWEUPEEE


KATIKA JAMBO LA BUSARAAA MAMA ALILOWAI KULIFANYA NI HILII NA HAKIKA AMETUTENDEAA HAKII ,NA MWISHO KURA ZA MAONI 2025 ATAFANYA MAMBOO HATOWAPITISHAAAA HATAAA KIDOGOOO NDIO SINDANO ZITAWAINGIA VZR

CC Luhanga mpina Mungu amejibu maombii,tunasuburi Makamba ,Maharage Chande wafunguliwe mashtaka ya uhujumu uchumuuuu
 
Ile kauli ya Nape, wapinzani wangepita nayo
hapakuwa na namna ya kuweza kumuacha
Ule ni usumbufu aliourudia katika awamu mbili tofauti, ya tano alipomuita JPM mshamba na hii ya sita aliporopoka kule Bukoba.

Hawa wawili ni wapuuzi tu na hawaoni kwamba wanampaa ugumu Rais Samia na CCM ikifika 2025.
 
Umeme umesambazwa nchi nzima. Mazingira ya kufanya biashara yanazidi kuboreshwa kila kukicha.

ATCL inanunua ndege na zinafanya kazi ya kuonekana, mashirika yanaingiza gawio hazina, bandari imekuwa ya kisasa tofauti na miaka ya awamu ya kwanza, mengi yanafanyika na tija inaonekana.

Kilimo kinaingiziwa pesa nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mikubwa. Nchi ipo kwenye mchakato wa kusimama vyema tangu 2015.

Kuwategemea Nape na Makamba wafanye mambo machafu wakati wa uchaguzi ni kushindwa kuiona picha pana inayokuwa mbele ya macho yako.

Na wao kwa bahati mbaya wameishi wakiwa na fikra kwamba wanao umuhimu unapofika mwaka wa uchaguzi, ni mawazo fulani ya kipuuzi tu.
 
Naona yule jamaa mwenye midomo mikubwa anaitwa kigogo amerudi, juzi tulianza kupokea habari mpaka za JPM
 
Nimesoma nikaacha,
Ikabidi nirudi tena kusoma.
Hao wote wametafunwa kwa ajili ya kumega tonge kubwa"URAHISI"
 
Acheni uchawa wa kipumbavu! Mlitaka nchi iingie kwenye machafuko kisa mtu mmoja?

Hivi wananchi wanavyoskia eti ushindi haupo kwenye box la kura unadhani ungefika uchaguzi nini kingetokea kama sio kumwagana damu!

Nape kajiponza mwenyewe ni pamlomo mnooo sawa tunajua anajua sana kuongea mwenyewe anakwambia ameibeba ccm sijui ila sio kupayuka kwenye kadamnasi inaonesha anaimiliki serikali.
Angetulia kimya wala hakuna ambae angetumbua.

Alafu mbinu zenu za kutuzimia mtandao kama jana ili tuone kwakuwa yeye hayupo basi mambo hayaendi acheni siasa za kitoto namna hiyo. Mnafeli
 
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya CCM. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.

Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya Rais Samia.

Rais Samia hatoboi 2025.

Pia Soma
- Breaking News: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari


Uwaziri ni kazi ya kuhudumia watu sio chaguzi za CCM bali nchi. Tufikirie nchi sio chaguzi kila siku. Machawa ndiyo wapewe uwaziri tutafika wapi?
 
Lkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushindi wa chaguzi.
Wizi wa kura kwako ni mipango mizuri?

Ifike sehemu waTz tuthamini mambo ya haki pamoja na uadilifu.

Kwa akili zako unaona wizi na forgery chafu za kughushi matokeo pamoja na kuchakachua kura ndiyo mbinu hizo?

Tena kuwatema hao manyang'au Rais kajiongezea credit katika mioyo ya Raia waliokuwa wamefura kwa kuwawekea hao waliokuwa ni mawaziri mizigo.

Akitaka amalize tatizo, amuondoe na huyo mmoja aliyebakia anayepigiwa kelele sana.
 
Wizi wa kura kwako ni mipango mizuri?

Ifike sehemu waTz tuthamini mambo ya haki pamoja na uadilifu.

Kwa akili zako unaona wizi na forgery chafu za kughushi matokeo pamoja na kuchakachua kura ndiyo mbinu hizo?
Huyo Samia mwenyewe ni muumini wa wizi wa kura, na anategemea wizi wa kura ili kurudi ikulu 2025. Kumbuka 2020 alichokisema kwenye kampeni "hata ukipiga kura na kuchagua kule mwingine, ccm itaunda serikali".

Ndiyo maana wajuvi wa mambo tunamhurumia na tunaona amewaondoa mabingwa wa wizi ambao wangemsaidia.

Kwa kura halali Samia anaweza kubwagwa hata na Hashimu Rungwe.
 
Back
Top Bottom