Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Ya wizi wa kura? Mama hataki dhulma anataka demokrasia ya kweli...Tumpe Maua yakeLkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushndi wa chaguzi.
WiziLkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushndi wa chaguzi.
Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Zaidi ya mbeleko ya vyombo vya dola hawana lolote. Wahamie TLP wakapeleke hizo mbinu tuoene wakipata ushindi. Usiwape sifa wasizokuwa nazo.Lkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushndi wa chaguzi.
Mkuu usijali, Ubaya Bwela ukimwaga mboga sisi tunaasepa na chumviMakamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Labda ya wizi.Lkn wako vizuri ktk mipango na mikakati ya ushndi wa chaguzi.
Kwani ni nani kakwambia kuwa wamevurugwa? Au ni mtazamo wako tu mkuu?Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Yani kwa zile kauli za Nape kwa position yake lakini pia incompetence aliyonayo bado unaona the guy deserve kukuongoza??Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Nape mbona kama kajivuruga mwenyewe kwa kauki zake?Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.
Bumunda😂😂😂. .. hili jamaa limeboa sanaMawazo ya 'Kipuuzi' kama haya ndio huwa yanafanya January Makamba na Bumunda Nauye wahisi wanastahili kila kitu kwenye hii nchi. Shenzi sana
Watajijuuuu..( CCM)aaa.h..!Mbona Hamueleweki🙄🙄🙄🙄🙄
Wanadamu hawana wema kabisa. Ndiyo maana Magufuli alikuwa anatenda tu potelea mbali.Makamba, Nape na Mwigulu wamekulia ndani ya ccm. Wanazijua siasa za bara na wanajua fitina na mbinu za ushindi.
Kwa Samia kuwavuruga Nape na Makamba wakati uchaguzi mkuu ukinukia ni mahesabu mabovu sana ya kisiasa ameyafanya rais Samia.
Raisa Samia hatoboi 2025.