FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Naam. Ni kweli kabisa. Tupe ujuavyo.UNAFIQ ni dhambi ewe Ajuza.
Elewa hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam. Ni kweli kabisa. Tupe ujuavyo.UNAFIQ ni dhambi ewe Ajuza.
Elewa hilo.
Na vipi kama wasomaji ni 2% tena wa misikitini tu?
Wakati huo 98% wana historia tayari iliyotangulia na wakaikubali na kuiweka ubongoni na mioyoni?
Azarel,Na vipi kama wasomaji ni 2% tena wa misikitini tu?
Wakati huo 98% wana historia tayari iliyotangulia na wakaikubali na kuiweka ubongoni na mioyoni?
Ndinani,Historia ya nchi yetu pia imeandikwa na wakoloni waliotawala nchi hii; hivyo nao waliiandika kutokana na biases zao, ingawa waliindika muda mrefu sana hiyo haiwapi uhalali kuwa historia waliyoiandika ndio sahihi!! Hivyo kuna kila sababu pale inapotia shaka kuwa chunvi imeongezywa hatuna budi kudadisi na kutafuta ukweli.
Hivyo hivyo kwa kwa sheikh Mohamed Said , kitabu kuwa Kiko sokoni kwa miaka ishirini na moja hakituondolei uhalali wa sisi kuhoji kama yale yaliyoandikwa yalikuwa na ukakasi fulani!! Watu wana haki ya kutaka ufafanuzi pale ambapo panaonekana kuna kitu ambacho hakieleweki vizuri ili kurekebisha mambo.
Azarel,Hapa umemfurahisha Sanaa mzee Mohammed Said na wenzie kina FF
Nenda akakununulie gahawa
Hahahaha.........!!!!
Azarel,Haswaa, angeweka tu wazi hili.
Azarel,Hawezi kumtaja Mkristo, na hata akimtaja...atamtaja yuko na jazba tayari na kaghafilika moyoni.
Wallah,
Nakuhurimia sana ndugu yangu kama unadhani unaweza kusimama na mimi kwa kuandika mistari mitatu JF.
Kunijibu mimi unahitaji uandike kitabu kizima
Eti mzee mmoja wa bagamoyo akiitwa Sheikh ramia ndo alikua anamsomea mwalimu dua na maulid
Alafu eti mwalimu suruali yake ya kwanza alishonewaga na mzee mmoja hapo magomeni,
Kabla ya hapo alikua ananipigia vipensi vya ukweli eti!!
Ila mi sijakubali moja kwa moja mpaka nifanye uchunguzi
Ndinani,Usinionee huruma kwani mimi sio wa kuhurumiwa na mtu kama wewe. Mohamed unaweza kuandika kitabu kikajaa upuuzi na mwingine akaandika paragraph moja ikawa imeja busara na substance kwahiyo ujue kwamba quantity does not always mean acceptance!! Ujifunze kuwa mvumilivu na kukubali pale hoja zako zinapohojiwa.
Azareli,Ni Uongo mtupu
Wao wenyewe walikuwa wanavaa kanzu wakitoka kwenda masjid na wakibaki nyumbani wanavaa vikoi.
Sawa iweje wamshonee Mwl. Suruali?
Mimi nimesomeshwa ilm ya mnakasha (majadiliano) na marehemu Sheikh Haruna Fakir.
Akiniambia, ''Sikiza Mohamed mjadala la kwanza muhimu ni adab.''
Pili akinifunza akisema ''Ulijue somo lako vyema na tatu weka ubongo wako wazi kujifunza kwa unaejadiliananae kwani mtu haingii kwenye mjadala kushinda bali kuongeza elimu kwa kusikiliza kile asichokijua
Sio mavazi yenu ya asili, Nguo za asili za Mtu mweusi ni magome ya miti.Azareli,
Hao wenye kuandika vitu kama hivyo ni watu wajinga wala wasikusumbue.
Ila nakutahadharishe ufikiri kabla ya kutamka.
Kanzu na kikoi kwetu sisi ni vazi la asili wala si kielelezo cha udhalili.
Mimi nina kanzu kadhaa pamoja na vikoi.
Mohamed Said shukrani kwa darasa na elimu.
Lakini kuna mambo mawili nimeyaona, kwanza kuna mchangiaji mmoja Ndinani amerejea mara kwa mara kwamba huyo mwanamke ni Lucy, lakini umeendelea kupinga ilihali yeye anaeleza kwanini anasema ni Lucy na wewe unatoa fafanuzi ambazo huenda zikawa ni za kweli lakini hazijibu ikiwa huyo ni Lucy au sie.
Jambo la pili Kiranga ametolea mfano kuonyesha umuhimu wa kufanya peer review (kutafuta ukweli wa jambo kwa zaidi ya chanzo kimoja tena vyenye kukubalika na kusadikika kuwa na mamlaka kuhusu uwezo wao) hii inamaanisha jambo lolote ili kuondoa sintofaham ya maoni, taarifa au jambo kuchukua upande mmoja wa habari.
Matokeo yake umeeleza mambo mengi sana kukuhusu wewe binafsi, sio jambo baya kitu ambacho hata Kiranga angeweza kujimwambafy akatuonjesha yeye ni nani lakini ameamua kujikita kwenye hoja iliyopo mezani.
Kwa ufupi nnachokusema ni kwamba, unaweza kuwa na uelewa au taarifa nyingi sana lakini kuweza kujiridhisha kutoka vyanzo kadhaa vyenye vigezo ni muhimu sana. Pia haimaanishi unachokijua wewe ndio kipo sahihi na wengine hawaelewi au taarifa zao si za kweli.
Mwisho kabisa kujaribu kwenda kwenye hoja moja kwa moja bila kuweka mambo mengi kama hakuna ulazima.
Endelea kutupa shule kadri upatapo nafasi mkuu. Shukran
Azarel,Sio mavazi yenu ya asili, Nguo za asili za Mtu mweusi ni magome ya miti.
Kanzu na vikoi ni mavazi ambayo Waafrika walicopy kutoka kwa Waarabu.
Ndinani,Mwalimu wako alikuhusia mambo matatu ya hekima na busara sana; endelea kumuenzi kwa kuyazingatia katika maisha yako!!
Nemo...Mimi naona kuna kurunzi kali liliwamulika na kujua malengo ya baadhi ya wapigania uhuru baada ya kupata uhuru, Jambo lililopelekea Mwalimu kutumia busara kufutilia mbali ushiriki wao jambo lililoleta umoja wa kitaifa mpaka sasa
Huyu mzee amejaa hila, na maandishi yake mimi nayaona kama ya hovyo tu kwakuwa yamejiegemeza ktk kubagua watu kidini kwa kujifunika na blanketi la kujifanya anaijua sana historia ya nchii!!
Hayo maneno hapo ni uthibitisho tosha!
Nimeona vitabu vyake vinauzwa misikitini kariakoo, nikacheka kimoyomoyo!