Yeye hamfahamu kama wewe unamfahamu si useme ni nani. Pia si una wazee wako wanaweza mfahamu si uwaulize?Labda kwa vile hakuvaa baibui.
Oooooh tuelezeee bwana tuelewe maana wengine hatuna habari kuwa Nyerere alioa alipokuwa Tabora.Kweli familia ya Sykes unaitukuza. Hivi unajua kuwa Nyerere Aliipoanza kazi Tabora nani alimpokea akaa kwake hadi akamuoa Mama Maria nyumbani kwake? Hizi simulizi zako zimeegemea upande mmoja. Tungependa simulizi neutral
Maalim Faiza,Mohamed Said anatamba humu kuwa hiyo ni historia ya wazee wake.
Wewe huna historia ya wazee wako utuletee?
Ulitaka aandike kuhusu baba zako au babu zako na yeye hawafahamu au nitegemeee wewe uandike historia ya baba zake au babu zake wakati huwafahamu?
Kweli historia ya nchi yetu inayofundishwa mashuleni imechujwa chujwa lakini hata hivyo tunahitaji historia ambayo ni ya kweli bila chembe za bias kuwa jamii moja dio Ilikuwa zaidi kuliko nyingine katika harakati za kudai uhuru ili hali wanannchi wote irrespective of religious affiliation walishiriki!
Nitakupa mfano mmoja dhahili unaooneshwa na Mohamed Said nao ni pale anaposema babu yake aliongoza migomo mitatu ya wafanyakazi wa shirika la Reli [TRAU]; lakini wote tunajua kuwa wakati huo kufanikiwa kwa migomo ya wafanyakazi halikuwa jukumu la mtu mmoja [ Mohamed anataka tuamini hivyo] bali ushirikiano wa wengi!! Na sio ushirikiano wa chama cha wafanyakazi wa reli peke yao bali pia ushirikiano na vyama vingine vya wafanyakaza kwa mfano wale waliokuwa wanafanya kazi mikongeni wakiongozwa na wakina Mkello!!!
Tunahitaji historia ya kweli isiyokuwa na bias ya aina yeyote ya kupendelea sehemu ya jamii!!
Ulijuwaje kuwa ni Mkiristo?Hawezi kumtaja Mkristo, na hata akimtaja...atamtaja yuko na jazba tayari na kaghafilika moyoni.
Wallah,
Wewe wa wapi?Na vipi kama wasomaji ni 2% tena wa misikitini tu?
Wakati huo 98% wana historia tayari iliyotangulia na wakaikubali na kuiweka ubongoni na mioyoni?
Sio kwamba hamjui, mzee huaga ana aleji na Wakristo so kamuacha kwasababu maalumuHiyo picha ya kwanza juu ,umewataja majina hao wakina mama wengi waliovalia mabaibui lakini umemuacha huyo aliyevaa sketi humjui? Huyo mama ni Lucy Lameck!!!!
Tupe basi hao "kila mtu" nasi tuwasome maana hapa tunaona Allama Mohamed Said pekee anamwaga vitu. Au yeye ndiye "kila mtu"?Sawa, sisi wengine historia ya Tanzania tunaiona inayumba maana kila mtu anatoa yake na sisi hatukuwepo
Kama wapi?Wewe wa wapi?
= dhahir(i)
Sio kwamba hamjui, mzee huaga ana aleji na Wakristo so kamuacha kwasababu maalumu
Mwalimu wako alikuhusia mambo matatu ya hekima na busara sana; endelea kumuenzi kwa kuyazingatia katika maisha yako!!
[
Endelea na darasa, kwani ndio kujifunza kwenyewe!! Wengine lafudhi ya kiswahili inatuponza!
Nafahamu, kwani si kila mmoja wetu mwenye kuweza kumudu vizuri lafdhi za Kiswahili hususan wenye lugha mama isiyo Kiswahili na hawajapitia madrasa kupata kufundishwa matamshi ya irabu.
Siku za nyuma niliwahi kuleta mada hapa JF kuhusu hilo, pakawaka moto. Jionee...
Hapa ni darsa ("roughly" kinachofundishwa). "Darasa" ni kile chumba cha kufundishia.
Hakuna tatizo. Madrasa isikutishe ni hiyo hiyo madarasa tu ki sekyula.Haya mambo ya madrasa yanakuhusu wewe, mimi la muhimu ni kufikisha ujumbe unaoeleweka!
Wewe ambae huna "aleji" mbona humtaji?Sio kwamba hamjui, mzee huaga ana aleji na Wakristo so kamuacha kwasababu maalumu
Kwani juu hapo uliandika wa wapi? Kama umesahau rudi ukaone ulichoandika kikapelekea nilichokuuliza.Kama wapi?
Hakuna tatizo. Madrasa isikutishe ni hiyo hiyo madarasa tu ki sekyula.
Tunausubiri huo ujumbe wako unaoeleweka. Bado sijauona wala sijaona history kutoka upande wako au hujanisoma vizuri juu hapo?
Umetaja jina ukaandika bila ushahidi wowote. Una uhakika mohamed Saidi hajaandikia kuhusu John Rupia?Katika Watu waliomsaidia sana hayati Mwalimu kwenye harakati zake za kupigania uhuru wa Tanganyika hakuna mtu aliyemzidi marehemu Mzee John Rupia; huyu ndiye aliyekuwa financier mkubwa wa Mwalimu na alikuwa na uwezo kifedha kuliko hao wengine waliokuwa wameajiriwa!! Lakini hapewi prominence na sheikh anayostahili kama wanavyopewa wakina Abdulwahid na Ally!!
Kimya hujakaa nakubaliana na wewe 100% kwa hilo. Lakini hujaleta historia yoyote ile iwe ya wazee wako au ya wazee wa wenzako.Nimekusoma vizuri na nimekujibu kuwa hatutakaa kimya pale mnapotaka kutulisha matango pori kuwa nyie peke yenu ndio mlikuwa vinara wa kuleta uhuru wa nchi yetu kwa kupitia imani yenu!! Darasani hawavai vipedo hilo ni vazi la madrasa!!