Wezi lazima wataifishwe mali zao, acha kujitoa fahamu.View attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Tatizo sio kudaiwa bali hizo walizoporwa ziliingizwa wapi? Hazionekani hazina..Hata yakiandika magazeti yote na television zote zikatangaza kumchafua Magu!
Haiondoi ukweli ukweli kuwa wafanya biashara wengi walidaiwa pesa za ukwepaji kodi walizokuwa wakiibia serikali pamoja na kina Mbowe!
Ukitaka uwe mbaya, dai chako, JPM aliwadai wafanya biashara kodi nanihalali kabisa kwa nchi, lakini eti huo umekuwa ni ubaya? Nchi ya kipumbavu sana hii
nyingi sana ziliishia mikononi kwa vijana wa jiwe, kufanya hili zoezi litawakumba wengi si Sabaya pekee.View attachment 2503193
My Take
Nawaambieni ukweli mchungu.
Katika serikali zilizojaa uozo serikali ya Magufuli ni nambari wani.
Mambo mengi sana ya hovyo yalifanyika chini ya uchochoro wa uzalendo.
Mzalendo na waliokuwa chini yake wamechakaza sana mali za umma na watu binafsi
Kwenye zoezi hili sioni mtoto wa dada akipona.
Nawaona wapiga kelele ila mkamataji na wakufunga Simuoni!
Kialali = kihalali. Tatizo ni umaskini wako. Hutakaa uelewe haya yanayozungumzwa. Siku ukitoka kwenye hilo dimbwi la umaskini ndo utaelewa.Unawezaje nyamaza wakati mtu umenyanganywa haki yako kama unaoushaidi kuwa mali uliyonyanganywa umeipata kialali? mbona!walinyanganywa mali na Nyerere walienda mahakamani wakashitaki wakinda kesi wakatudishiwa mali zao? kwanini hawa mnaosema Magufuli aliwanyanganya fedha hatukuwahi kuona hata tajiri mmoja akijitokeza kisema kwamba mimi niliwahi kuchukuliwa fedha zangu benki katika utawala wa Magufuli?Sans sana maneno hayo tunayasikia kwa wanasiasa akina Mbowe Cop, waliokuwa wakishirikiana na walanguzi kuliujumu taifa.
hata huyo mama yao watakuja kumgeuka ni swala la muda tu.Huo ndio ukweli hivi uwe na pesa halali halafu unyang'anywe kweli hakika hakuna watu wajinga nchi hii kama vijana wa chadema mtandaoni
Achana na mambo ya umasikini, umasikini wangu hausiani mada hii,nimekuliza unaweza nitajia tajiri hata mmoja aliwahi kujitokeza kwa nyaraka halali za benki kabla au baada ya kifo cha Magufuli kuwa alichukuliwa fedha yake benki?au nyinyi ndio chawa wa Samia aliowasema kuwa amewamwaga mtaani kumtetea,kila siku mnasema Magufuli aliwanyanganya fedha wafanyabiara,tukiuliza ushaidi mnasema Sisi masikini.Upuuzi mtupu.Kialali = kihalali. Tatizo ni umaskini wako. Hutakaa uelewe haya yanayozungumzwa. Siku ukitoka kwenye hilo dimbwi la umaskini ndo utaelewa.
Kama wewe unakiri kwamba ni maskini basi hautakaa uelewe kilio cha matajiri. Hizi ni zama za kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake.Achana na mambo ya umasikini, umasikini wangu hausiani mada hii,nimekuliza unaweza nitajia tajiri hata mmoja aliwahi kujitokeza kwa nyaraka halali za benki kabla au baada ya kifo cha Magufuli kuwa alichukuliwa fedha yake benki?au nyinyi ndio chawa wa Samia aliowasema kuwa amewamwaga mtaani kumtetea,kila siku mnasema Magufuli aliwanyanganya fedha wafanyabiara,tukiuliza ushaidi mnasema Sisi masikini.Upuuzi mtupu.
Kwa kuwapa kura zoteNaona CCM walitengeneza Tatizo, na sasa wanalitatua.
Halafu tunawashukuru kwa kututatulia hilo tatizo.
Lakini majizi yaliyoibia nchi sio "devil"?He was a devil
Majizi mnatapatapa.Shetwaini la chato lilikua zuluma
Ulitaka acheke na wezi?Dah.. ila Magu jamani...!!!?? Hivi alikuwa ni mtu kweli!??
Mavi ni mavi tu hat uyarembe vipi yatanuka tu, na sasa ndiyo wakati wake..........................Huo ni wizi,dhulma na ujinga mwingi.Labda kama una namna tofauti ya kuuleza kwa kuuremba.
Hazionekani hazina..
Majizi yarudishiwe pesa walizoiba?Warudishiwe Pesa zao na Mali zao.
Watetezi wa jizi mwendazake mna shida sana.Wewe ni mweka-hazina?