Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Na sisi wa Tongereni pia tunae yesu wetu! alipogundua tunamvizia ili tumtoe uhai na afufuke siku ya tatu akakimbilia polisi! daaadeki hatutaki maskhara sie[emoji3][emoji3]
 
Wasabato mnaupinga utatu mtakatifu, mnapinga fumbo la imani. Kristo alikufa, Akafufuka na atarudi tena. Nyie ndio wapinga kristo
Umeongea mengi ila hapa umekosea pakubwa sana kuhusu usabato,
1-Sisi tuna amini katika utatu mtakatifu, na katika mafundisho yanayo define kanisa letu, utatu ni fundisho la pili. na linasapotiwa na mafundisho mengine matatu.
2-Tuna amini katika kifo cha kristo na marejeo yake ya mara ya pili, refer maana ya neno 'ADVENT'. ambalo ndio limejenga Adventist.
3-Kuhusu fumbo la imani sijui una maanisha nini labda ufafanue.
NB: wewe unachanganya Judaism na Usabato.
 
Ameweka kitabu hapo juu. Mathayo 26:48

Kwamba askari walikua hawamjui Yesu, ilibidi Yuda ambusu ndio wamtambue!


Leta hoja zako tuone Chief!
Nina maswali mawili
1.Yuda alilipwa Pesa ya kumsaliti Yesu na askari au makuhani??

2.Askari walimkamata Yesu kwa amri Yao au au ya Warumi au kwa amri ya makuhani??

Baada ya hayo maswali nitakuletea maneno ya yule askari aliemshuhudia Yesu akikata roho na mazingira yaliofuatia kifo Cha BWANA YESU KRISTO pale msalabani e.g Giza,, earthquake nk ili ujiridhishe kwamba askari walikuwa wanamjua au walikuwa hawamjui!!
 
Kwenye hoja ya umaarufu wa Yesu, niko neutral. Sina upande wowote, nasoma hoja zenu.

Hebu jibu hiyo hoja ili nijifunze badala ya kuniuliza maswali.
 
Simfahamu Faizafoxy, ila fahamu fika kwamba ukweli hauna dini, kabila na haujali hisia zako.
You can put this in a pipe and smoke it.
Wadini wadini wengi ji wale wa elimu ahera, eti wako duniani ila elimu ya dunia hawaitaki wanataka ya ahera😂😂😂😂😂😂😂😂
Wameahidiwa makira sijui 72, aisee
 
Kwenye hoja ya umaarufu wa Yesu, niko neutral. Sina upande wowote, nasoma hoja zenu.

Hebu jibu hiyo hoja ili nijifunze badala ya kuniuliza maswali.
Nikianza na kitabu Cha matayo nitaanzia Matayo 26:3-5 wazee wa watu na wakuu wa makuhani wakipanga mpango,,ktk mstari wa 5 wakajiridhisha ''Isiwe wakati wa sikukuu, isije ikatokea ghasia ktk watu.'''

Kwamba jambo lao walitaka Liwe la low profile kwa sababu walijua implication ya huo mpango.Kama wangekuwa wanataka kumwua mtu asie maarufu wasingepanga wakati sahihi wa kumwua Yesu KRISTO.

Jambo la pili walioenda kumkamata Yesu sio askari walikuwa wahuni waliotumwa na wazee wa makuhani.

Nitaendelea........
 
Ukimsoma Matayo 26:47 waliokuwa na mapanga na marungu wakiwa wametumwa na wakuu wa makuhani walikuwa sio askari yaani wakati Yuda akimsaliti Yesu hakufanya hivyo kwa askari ila watu wahuni waliokuwa wanamfuata Yuda sio kwa kuwa hawakumjua Yesu ila kwa kuwa lilikuwa tukio lililofanyika usiku porini ilibidi mtu wa kuwaongoza Hadi sehemu ya tukio na kuwaongoza mpaka mlengwa alipokuwa.

Kuhusu askari tunamwona
Matayo 27:54 kitu Cha ajabu kuhusu huyu askari ni maneno yake,,,""Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu"""
Kwamba huyu akida sio TU kwamba alikuwa anamjua YESU Bali pia alikuwa anamfahamu.
Ukiona mtu anasema YESU ni Mwana wa Mungu basi jua anamjua kiundani.
 
Ethiopia
Misri

Hizi nchi zina historia kubwa sana juu ya imani zilivyopindishwa hapa Duniani.

Waafrika turudi kwenye asili yetu.
 
Ushabiki ukizidi unakuwa uzuzu.

Mimi ni Mkristo lakini napenda Facts
Wewe sio mkristo nenda uislam unakufanania sana,,huna zaidi ya chuki iliyojificha dhidi ya Yesu KRISTO na sijui shida ni nini.Kazi Yako ni kutwist Ukweli ili uendane na chuki Yako lakini katika Hilo mapema ulishafeli kama kina dada Vinci na vitabu vyake vya kipumbaf ambavyo mauzo yake yalishadorora hasa kutokana na tabia yake chafu ya kuwa mshumaa.
 
Je mnamuamini mtume Paul?
 
Kuna kitu kinaitwa Sanda la torino imebeba vitu VINGI sana ni kama negative ya picha ya MTU lakini ina umri mkubwa sana ili fanyika mbinu nyingi za kuteketeza ikashindikana
Hii kitu ipo kiimani ni ngumu zaidi kuaminika kwa wanaopenda kutumia facts
 
Hua sikubaliani kwamba D alikua shoga. Sema alikua hajihusishi sana na mapenzi kama ilivyo kwa watu wenye maakili mingi
 
Na sisi wa Tongereni pia tunae yesu wetu! alipogundua tunamvizia ili tumtoe uhai na afufuke siku ya tatu akakimbilia polisi! daaadeki hatutaki maskhara sie[emoji3][emoji3]
Yehova wanyonyi kutoka kisii 😂
 
picha hiyo ya Yesu
Sawaa kuhusu umbo la kichwa , kuna uwalakini kwenye nywele na macho ya huyo mtu.
Wayahudi wana nywele nyeusi tii kama waarabu sasa mbona yeye na nywele za blonde.
Wayahudi macho yao yana uris nyeusi tii, mbona yeye ana blue eye, watu wenye blue eye huwa ni wazungu.

Mwanadamu always yupo biased can't help it,

Na Wakatoliki ndio imani inayojua vyema sana juu ya mapungufu ya mwanadamu, kila siku kila sala lazima waombe kusamehewa, wanakiri ni wadhambi, tuka wapo tumboni, HII DUNIA wanadamu tumefichwa mambo mengi sana.
 
Splendid narration, you said it all Sir.
Gratitude ✌️✌️
 
Wasabato mnaupinga utatu mtakatifu, mnapinga fumbo la imani. Kristo alikufa, Akafufuka na atarudi tena. Nyie ndio wapinga kristo
Umehamia mada nyingine kabisa ambayo huwezi kuitetea. Nakushauri hili la picha ya kikatoliki lishikilie, na naona umeenda nalo vzr.
Lakini kuhusu mada za mpinga kristo hapo umeingia sio.
Maana mpinga Kristo ana sifa zake na ni Rc tu anafit hakuna mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…