Waliosambaza taarifa potofu dhidi ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kukiona cha mtema kuni. Waziri Nape atoa maelekezo

Waliosambaza taarifa potofu dhidi ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kukiona cha mtema kuni. Waziri Nape atoa maelekezo

Mwamba ebu kesho ibukia Kituo cha Polisi kilicho jirani na wewe ukawaulize hilo swali. Bila shaka wataufyata! Nakuaminia Mwamba!!!!
Kwa hiyo police ndio waliozusha hizo unazoita habari potofu dhidi ya Mpango?

Sawa,zilikuwa zinasemaje hizo taarifa sasa km ulipata kuwaona ama kusikia wakizisema ili nami nifahamu japo kidogo?
 
Makamu wa rais ni mtumishi wa serikali,wananchi kuhoji hawamuoni ni mahaba yao tu sio kosa.
Yuko tumemuona salama wala haina tabu.
Mnaanza kupeleka watu .
mahabusu Badala ya kutoa shukri.
 
Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais

Nanukuu

"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa

Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"
Here we go again.
Walikuwa wanamuulizia Mpango ndio rafiki zake.
Wanauliza,kwa nini mnaficha habari za Mpango au mna njama za kumdhuru?
 
Hii sii sawa bwana nape, kwanini useme leo baada ya mzee wetu kujitokeza?! Huoni kwamba hata wewe ulikuwa na mashaka sawa na hao wengine waliothubutu kutapatapa kwa kuandika hisia zao mitandaoni??
Mbona sasa!!!....
 
Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais

Nanukuu

"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa

Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"
Nchi hiyi hakuna haki kabisa ..wewe Nape ulisema ukweli Bashite aliteka Clauz ukawekwa basitola shingoni lero unasema watu wakione chamoto kisa Makamu hakuonekana? Sawa tesa kwazamu
 
Nape wajibika kwanza wewe na wenzio kwa kukaa kimya taifa likipitia taharuki kwa kutokuonekana Makamu wa Rais. Mnatafuta wa kumuwajibisha kabla ya nyie wenyewe kuwajibika. Wajibu wenu ni nini kama mtaona kuna taharuki na kukaa kimya hasa wewe Waziri wa Habari? Kutunza heshima yako iliyobaki,tulia tu na ungana na wananchi kujifunza kwa haya yaliyotokea.
WIZARA YA HABARI.....
WIZARA YA HABARI...
 
Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais

Nanukuu

"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa

Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"
Hili ni tamko toka kwa waziri au Katibu mkuu wa wizara?

Hivi vitisho ndio wanadhani ni njia sahihi badala ya kutazama makosa wanayofanya wao?
 
Nape wajibika kwanza wewe na wenzio kwa kukaa kimya taifa likipitia taharuki kwa kutokuonekana Makamu wa Rais. Mnatafuta wa kumuwajibisha kabla ya nyie wenyewe kuwajibika. Wajibu wenu ni nini kama mtaona kuna taharuki na kukaa kimya hasa wewe Waziri wa Habari? Kutunza heshima yako iliyobaki,tulia tu na ungana na wananchi kujifunza kwa haya yaliyotokea.
Badala yake anadhani vitisho ndilo suluhisho.
 
Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais

Nanukuu

"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa

Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"
Wazalendo wenye mapenzi mema waliohoji baada ya kiongozi wao kutoonekana ndio mnataka kuwachukulia hatua?
 
Wanatafuta sababu tu kwa kwa kuwa hawana vitu vya maana vya kufanya mtu upo ofisi ya Umma harafu hutaki kutoa taarifa pindi unapokua hauonekani baadae mnawatafutia watu kesi kwani ungekaa zako kijijini unalima nani angekuuliza unaulizwa kwa kuwa ni Mwajiriwa na waliokuajiri wape taarifa tu...
 
Nilishasema CCM ni kama manyani tu....kiongozi mkubwa wa umma si kama mtu binafsi eti anaingia mitini tu.....aisee hii ngozi nadhani haitakuja kuendelea....watu wana PhDs wana behavi hivi, watu wasio na elimu wata behave vipi? ....yaani unatakiwa uwe mjinga wa kutupwa usioweza kutafakari jambo lolote ndiyo unaweza kuishi kwa amani nchii hii....mbona tunarudi nyuma sana dah
"Ukiwa na akili timamu sawasawa kabisa, kuishi Afrika ni mzigo mkubwa na tena ni mateso makali sana."
 
Kuna mjadala ameanzisha Waziri Nape kuhusu kuchukuliwa hatua kwa wanaohusika na uzushi wa kifo. Wakati vyombo vya dola vikisubiri maelekezo ya maandishi kutoka kwa Mhe. Waziri kama mlalamikaji naomba wanaofahamu sheria za nchi watuambie kama kuna kosa kisheria au nikunyume na tamaduni zetu?

Kama ni kosa kisheria itatusaidia sana kuwachukulia hatua wale wote wanaokurupuka kutoa taarifa za misiba kwenye mitaa yetu. Tuelimishane hapa tuanze kuchukua hatua.....ni vyema unapochangia ukatuwekea na sheria husika japo kwa kufanya citation itusaidie kama Taifa kudhibiti kadhia hizi.

1702233632779.png

 
Back
Top Bottom