Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Na declare kuwa SIKUCHANJA na mpaka sasa nipo bila tatizo lolote.
 
Mwingine huyu hapa
Hivi mmeelewa mleta mada anaongelea kuhusu nini
Au mnashoboka na komenti za muendelezo wa vilaza na kujibu
Halafu wewe sikushangai, uzee ukianza kutinga akili inarudi nyuma
Usipaniki kijana! Nipe tofauti hapa kati ya nyinyi mlioingia mkenge wa kuchanjwa hiyo chanjo yenu, na sisi ambao hatukuchanjwa!
 
UNA ROHO MBAYA KABISA
unasikitika kwamba tusiochoma bado tupo.
 
COVID-19 USA biotech military cartel
Hapo waswahili wanasema utajiju, watu wengi wamekufa kutokana na hizo sindano za kinga, ni strategies za USA kupunguza watu kwa njia yeyote. Sasa hivi watu wanakufa sana akishastaafu kazi, wale wazee wa kutembea kwa mkongojo hakuna Tena wa miaka 100+ . Siku hizi 60+ chali ukiwa na afya na hali nzuri kwa nje. Vyakula, vyakula, vyakula, vyakula, vyakula narudia vyakula vyakula vinatumaliza GMO food.

View: https://youtu.be/morj-3rdWwM?si=X_KTSiEt7Ej09wfz
COVID-19 - USA weapon of Mass destruction of human kind.


View: https://youtu.be/D1t4KYNjHPY?si=Y3yH8AuguqFwvBRB
 
Sasa wewe umechanja unadunda unajisifia
Si tujisifie sisi ambao hatukuchanja tunadunda.
Nyie subirini usikute hiyo chanjo itaanza kazi baada ya miaka 7
 
Cha ajabu unayecomment hapa umempeleka mwanao kuchanjwa polio!! Kama chanjo ni sumu basi usimchanje mwanao tuone kama atatoboa!!

Mzungu akitaka kukumaliza atakumaliza hata kwa panadol tu!! Acheni ujuaji
 
Usichokijua nyamaza! Kwenye familia yangu madhara ya chanjo nimeyaona! Acha kabisa
Madhara gani? Mlisema chanjo haitasaidia kitu mbona huko ulaya cases zimepungua tokea chanjo iletwe? Kejeli zenu zilisaida nni
 
Nyie ndio mlisema watakufa sijui watakua mazombie mara chanjo ndio inaongeza covid na sio kupunguza. Ndio tunauliza hayo matokeo yenu mliyotabiri yamefia wapi?
 
Na nyie mliochoma hizo chanjo za Covid 19 mlikua mnatuombea mabaya sisi tusiochoma ili tufe ,uzuri Mungu sio Athumani bado tunadunda.
Ila ninyi.hamtoboi miaka 90
 
Mwingine huyu hapa
Hivi mmeelewa mleta mada anaongelea kuhusu nini
Au mnashoboka na komenti za muendelezo wa vilaza na kujibu
Halafu wewe sikushangai, uzee ukianza kutinga akili inarudi nyuma
Mkuu pole jiandae na side effect za hizo chanjo!
 
Risk rate: according to government guidance from June 2021, around 10 people develop this condition for every million of AZ vaccine doses given. That’s 0.001%.

Kwaniyo 0.001% ndio useme kuna madhara? Mnachekesha kweli. Ukisoma hiyo tafiti hapo chini wameandika kwamba kukaa kwenye ndege muda mrefu kunachangia damu kuganda kwa 0.05 yaani wanaopanda ndege wana risk zaidi ya kuganda damu kuliko watu million 60 waliochanjwa uingereza.

So acheni upotoshaji
 
Niko pale naisubiria hiyo panado yake animalize lakini CHANJO NEHI.

Hayo MACHANJO dunganeni wenyewe MNENEPE MIKIA.

Mimi na familia yangu tutakunywa maji tu. NA CHAI.

Cc: Lamomy Kapeace
Huna akili ndio maana, sasa chanjo ya polio mbona ulipigwa ukiwa mdogo na mtoto wako ulimpiga chanjo ya polio alipokua mdogo!! Ila kutopiga ya Covid 19 ndio unajiona mjanja? Sasa mbona hamna ulichokwepa if at all nia ya wazungu ni kutupa chanjo mbaya!!
 
Kuna watu wengine haihitaji hata kwakwoti, ni waste of space
Usipoteze muda wako na hawa vilaza....
 
Na nyie mliochoma hizo chanjo za Covid 19 mlikua mnatuombea mabaya sisi tusiochoma ili tufe ,uzuri Mungu sio Athumani bado tunadunda.
Ila ninyi.hamtoboi miaka 90
Huu mjadala sio kijiwe cha fundi baisikeli
 
Mwanzoni watu waliamini ukimwi ni pigo la Mungu, sasa watu wengi wamefunguka na kujua ni pigo la binadamu. Virusi vilitengenezwa maabara. Covid19 nayo ni biashara, ni kama mtu unapoamua kuuwa ili ufanikiwe.
Ukimwi na Corona vyote ni mapigo ya Mungu 100%.
 
Kuvuka barabara huku umefunga macho na ukafika salama si jambo la ajabu, ila ni ajabu endapo utajisifu na kujitolea mfano kwa hilo
Wewe wakati unapeleka watoto wako chanjo huwa umefunga macho

Badu tuna mawazo ya kizamani, kuwa chanjo sahihi ile iliyopoteza miaka mingi kufanya utafiti kwa mtindo wa kizamani

Kwanza sisi huku hatutatikiwi hata kuongea, maana kila kitu tunakinga mikono tu, si chanjo chanjo zozote pamoja na madawa yenyewe


Wakati wenyewe wanajua madhumuni hasa ya matumizi ya AI, ambapo kwetu tuna upeo wa kuishia kufurahia chatgpt


 
Hawa ni vilaza wa mitandaoni walishakata pumzi na hizi mbaambaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…