Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Ndio, nafunga macho. Ila siwezi kuja kujitolea mfano na kujisifu kwa hilo.
 
Mtoto wangu wa kumzaa ameanguka katika hiyo 0.001%! Nahangaika naye.
 

View: https://youtu.be/Y1mCsSAipwM?si=8Unf3sdEDrb1s0j9Hapo vipi kwa waliochanja utajijuu chanjo nyingi zilikuwa fake especially zilizokuja uku Africa na Asia hapo ni muda utaanza kulia na kusaga meno.
 
Naona umejikita kwenye chanjo tu.
Kwani hizo dawa zingine za hospitalini una uhakika gani kwamba ni salama?
Dawa nyingi za hospitalini zinanunuliwa toka nje ya nchi kama ilivyo chanjo.
Wanaofanya hujuma kwenye chanjo kwani watashindwa nini kufanya hujuma kwenye dawa zingine?
 
Kitu ulichopaswa kujiuliza ni kwanini wengine hawajachanja na COVID haikuwadhuru!
Hata ambao hawalali na neti pia wamo ambao huwa hawapati maralia. Covid ilitugawa kwa uelewa wetu. Unafikiri beberu akitaka kukudhuru njia iliyopo ni chanjo pekee?! Sisi ulimwengu wa tatu bado ndio dumping market ya bidhaa za mabeberu hivyo si rahisi mabeberu kuuwa soko lao yaani sisi, ni sawa na mfugaji anavyowapa kuku wake chanjo ili wasidhurike na magonjwa, kama kuku ataitafsiri hiyo chanjo kuwa ni sumu hizo ni fikra zake sasa.
 
Hiyo chanjo ilikua na sifa zote za kutoaminika...

Watu wanapaswa wajue kuchanganua mambo sio kila unachotengenezewa na mzungu ni kizuri na bora.
 
Unataka kusema chanjo zilikuwa na chembechembe za mafuta ya yule msomali
 
Ushindwe na ulegee.

Hizo chanjo JIDUNGE mwenyewe na wanao.

Mimi na familia yangu tutakunywa maji tu NA CHAI.
 
Jamani acha huu ugonjwa ubaki ulivo. Kwa anaeropoka hapa hayajamkuta ndo maan uwe na akili ya kusema ujiskiavyo wengine hapa tulichanjwa tena kwa ulazima flani kwa mda ule na bado tupo hai na tunaendelea vizur kwa mambo ya 6by6 na wanawake wanapata wanachokihitaji pamoja na mapfizer na cjui nin mwilini. Yani hapa jambo kuu ni kumshukuru Mungu kwa kutuepusha na janga hilo ndugu zangu.
 
Sura sijui utaiweka wapi baada ya kusoma haya
====
Karibu
-----
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 
COVID-19 is a scam...

Mathanzua Yoda
 
Cha ajabu mungu alivyomkubwa Mimi sikuchoma na mpaka Leo nadunda Cha ajabu mama yangu alifariki na huo ugonjwa na Mimi nilikuwa nae benet na baada ya kumpumzisha ndio nikaambia ugonjwa huo ndio ulimuua na madakitar walishangaa kwa nini Mimi sikupata
 
Mnakula vitu vingapi?.?mnakunywa vitu vingapi? Madawa yanatoka kwao..n.k.acheni kuwaogopesha watu bana...mimi sijachanja ila nina ndugu kibao wamechanja...mwisho wa siku kila mtu atakufa...unaweza kuanza ww usiechanjwa...
Hapo vipi.....?
 
Huyo mgeni kama ni wa kiume subiri Sikh atakayokutambulisha mwanaume anayetaka kuolewa nae.
Wenzenu walitahadharisha kwa kutazama kesho, ninyi mnajifariji kwa Leo tu.

Wewe umechoma na bado uko salama, wengine gatujachoma na TUNADUNDA BADO. Sasa kazi ni yako kutafakari, ni yupi amepoteza hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…