Hao watu wana vipimo vya korona mkuu?nimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wao kuliko sisi akili zeroWewe unaamini USA vifo ni 2,000 tu kwa siku?
Kumbe najadiliana na taahira?Bora wao kuliko sisi akili zero
Kiongozi, unadhani kwamba wewe sio zero brain?Bora wao kuliko sisi akili zero
Na kuna Corona beach party jumapiliMchawi ni mchawi tu,wakati mwingine huitaji hata maombi,ila kuselfie nae tu.
Nimejikuta natakakucheka ila ikabidi nihairishe tu kicheko hicho hah ha ha ha ha ha ha ha haNa kuna Corona beach party jumapili
Nasikia kutakua na beach party kubwa jumapili ya kusherehekea ushindi dhidi ya Corona - JamiiForums
Jamaa hajasema kwamba watu hawafi. Ila tunauliza vipi kuhusu hiyo mizoga iliyokuwa inasemwa itaokotwa barabarani lukuki? Wewe huko umeiona?Sio ukoo, Kuna rafiki zangu 4 wameguswa na Corona, vitu vingine hata havihitaji u genious kujua..kwa hizi siasa za Corona zinavyo pigwa hapa nchini bado unaamini takwimu unazopewa na Serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jimena yukowapi?Kikwetu kwetu hao ndo tunawaitaga wachawi
"corona ipo tuchukue tahadhari"
INawezekana Afrika waliigawa mara mbili,Afrika tunayoiona na Afrika ya ulimwengu wa roho.Jamaa hajasema kwamba watu hawafi. Ila tunauliza vipi kuhusu hiyo mizoga iliyokuwa inasemwa itaokotwa barabarani lukuki? Wewe huko umeiona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli ni changer kwenye kila eneo.INawezekana Afrika waliigawa mara mbili,Afrika tunayoiona na Afrika ya ulimwengu wa roho.
Sema unafeli sana jiraniKikwetu kwetu hao ndo tunawaitaga wachawi
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Mwenyewe me nilikuwa nasikia tuu kwa watuHata mtu aliyeugua Corona mi sijawahi kumuona, nasema ule ukweli wa Mungu kabisa