MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Huyu mwamba anaonekana anatisha sn enzi zakeHahaha shikamoo mkuu, man to man alimaliza pale pale Ifunda miaka ya 90 then akarudi pale kama mwalimu, pengine wew ni mkubwa sana kwake.
Miaka ya 2000 wakati sisi tupo pale alikuwa bado kijana sana, kila kukicha kukimbazana na wanafunzi, damu changa.
mbona simjui huyoKwege mzee wa nditoz bado yupo?
Ifunda daima
Vipanga wamagazijuto, vipeo na vipeuo, pembe butu, sehemu guni[emoji1787][emoji1787]Unakutana na mtu katoka tech anakuletea swali mpka unajiuliza mara mbili mbili huyu jamaa yupo serious na shule ila unaambiwa darasa la saba alipiga marks kibao kwenda pale.
Mnakumbwaga na nini vipanga wetu wa darasa la saba
namba Tasa, singular and plural na vitenziVipanga wamagazijuto, vipeo na vipeuo, pembe butu, sehemu guni[emoji1787][emoji1787]
umepiga mwaka ganiIjunga tech mbeya hapo . Hatari sana . Vita ya pale ni noma
Kumbe humu ndani wengine tumekuwa wazeeeendio haswa waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba
Duh kama wewe mzee kwa miaka hiyo sijui wengine tujiitaje🙄Kumbe humu ndani wengine tumekuwa wazeeee
Nimesoma O'level 2004 - 2007 jijini Dar es salaam.
2015 tayari nishaanza Kazi zamaniiiiii
Dah..!!! Nimezeeka sasa.
#YNWA
ndio haswa waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba
We jamaa bila shaka umesoma Iyunga o level 2012-15
Nina miaka 33 (1990)Duh kama wewe mzee kwa miaka hiyo sijui wengine tujiitaje🙄
Wazee wastaafu labda😂😂
Form 4 nimemaliza 97, pata picha uzee nilionao, hapa nasubiri wajukuuNina miaka 33 (1990)
B. Miaka 12 kazini chini ya serikali ya CCM
A. Miaka 2 kazini @ private sector
Inafanya kuwa miaka 14 nikiwa mwajiriwa.
Nasubiri miaka 15 ya kuwa penshenabo...!!
Umri unaenda sanaaa, juzi tu nilikuwa mtoto..!!
#YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23]Najua engineer utakuwa unawajua akina Kameme, Mwamfupe, Tembo, Kibona n.k.
Binafsi, shule za sekondari za ufundi hapa Tanzania ni zile tano tu na zilikuwa zina workshop kamilifu haswa. Hizi za baadaye sina imani nazo. Shule hizo tano ni hizi;Habari za kazi wana Jf, Tunajua kuna level nne za shule (secondary/Ordinal level) hapa kwetu Tanzania
1. Special (Vipaji maalumu)
2. Technical (Ufundi)
3. Boarding (Bweni kawaida)
4. Teule (shule za halmashauri )
5. Day (kata)
wale waliosoma shule za ufundi tujadili ubora na madhaifu yaliyokukuta/ulioyaona kwenye shule hizi (Iyunga, Ifunda, Mtwara Tech, Moshi Tech, Tanga Tech, Musoma Tech na Bwiru Tech zimeongezeka mwadui na chato Tech)
changamoto
• ufundi mnasomea darasani tu hakuna vitendo
Faida
•Engineering science ili somo tamu bana ila sijawahi jua kati ya Physics na ES lipi gumu zaidi madude ya Projectile, angular motion unayapiga ukiwa three tu
• wananolewa vijana ambao wanaenda kuwa wasumbufu sana huko special Advance mfano Cloud Kitumbika pale Tabora school no 3 TO 2020, Edward Lowassa aliwasumbua sana Ilboru na kuwa top ten kitaifa miaka ya 2020
•wanazalishwa maEngineer waliopure sana wakipita Tech
tupia unalolijua kuhusu Technical schools
[emoji38][emoji38][emoji38] hatari sana, vyuma bado vipo fit[emoji23][emoji23][emoji23]
Nawafahamu sana. Mwezi April nilikutana na Mwamfupe Dom na nikapiga nae picha jamaa hazeeki kabisa.
Bila kuisahau Musoma techBinafsi, shule za sekondari za ufundi hapa Tanzania ni zile tano tu na zilikuwa zina workshop kamilifu haswa. Hizi za baadaye sina imani nazo. Shule hizo tano ni hizi;
1. Ifunda Tech
2. Tanga Tech
3. Mtwara Tech
4. Mazengo
5. Moshi Tech
Nje ya hizo, ni mfano wa shule za ufundi
Kumbe humu ndani wengine tumekuwa wazeeee
Nimesoma O'level 2004 - 2007 jijini Dar es salaam.
2015 tayari nishaanza Kazi zamaniiiiii
Dah..!!! Nimezeeka sasa.
#YNWA
Nilimuuliza mbona huzeeki akanijibu sina mshahara so anakula tu mboga za majani [emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38] hatari sana, vyuma bado vipo fit
Ongeza na Tete, Ishengoma, Malima (wa Electronics), Mdushi, Muta (Wa Useremala) na wengi kibao.Najua engineer utakuwa unawajua akina Kameme, Mwamfupe, Tembo, Kibona n.k.
Hahaha wote hao nawapata vizuri sana. Enzi za Msasa na Mgohamwende mixa Makunja.Ongeza na Tete, Ishengoma, Malima (wa Electronics), Mdushi, Muta (Wa Useremala) na wengi kibao.