Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

Hahaha shikamoo mkuu, man to man alimaliza pale pale Ifunda miaka ya 90 then akarudi pale kama mwalimu, pengine wew ni mkubwa sana kwake.

Miaka ya 2000 wakati sisi tupo pale alikuwa bado kijana sana, kila kukicha kukimbazana na wanafunzi, damu changa.
Huyu mwamba anaonekana anatisha sn enzi zake
 
Unakutana na mtu katoka tech anakuletea swali mpka unajiuliza mara mbili mbili huyu jamaa yupo serious na shule ila unaambiwa darasa la saba alipiga marks kibao kwenda pale.


Mnakumbwaga na nini vipanga wetu wa darasa la saba
Vipanga wamagazijuto, vipeo na vipeuo, pembe butu, sehemu guni[emoji1787][emoji1787]
 
Duh kama wewe mzee kwa miaka hiyo sijui wengine tujiitaje🙄
Wazee wastaafu labda😂😂
Nina miaka 33 (1990)
B. Miaka 12 kazini chini ya serikali ya CCM
A. Miaka 2 kazini @ private sector
Inafanya kuwa miaka 14 nikiwa mwajiriwa.

Nasubiri miaka 15 ya kuwa penshenabo...!!

Umri unaenda sanaaa, juzi tu nilikuwa mtoto..!!

#YNWA
 
Nina miaka 33 (1990)
B. Miaka 12 kazini chini ya serikali ya CCM
A. Miaka 2 kazini @ private sector
Inafanya kuwa miaka 14 nikiwa mwajiriwa.

Nasubiri miaka 15 ya kuwa penshenabo...!!

Umri unaenda sanaaa, juzi tu nilikuwa mtoto..!!

#YNWA
Form 4 nimemaliza 97, pata picha uzee nilionao, hapa nasubiri wajukuu
 
Habari za kazi wana Jf, Tunajua kuna level nne za shule (secondary/Ordinal level) hapa kwetu Tanzania
1. Special (Vipaji maalumu)
2. Technical (Ufundi)
3. Boarding (Bweni kawaida)
4. Teule (shule za halmashauri )
5. Day (kata)

wale waliosoma shule za ufundi tujadili ubora na madhaifu yaliyokukuta/ulioyaona kwenye shule hizi (Iyunga, Ifunda, Mtwara Tech, Moshi Tech, Tanga Tech, Musoma Tech na Bwiru Tech zimeongezeka mwadui na chato Tech)
changamoto
• ufundi mnasomea darasani tu hakuna vitendo

Faida
•Engineering science ili somo tamu bana ila sijawahi jua kati ya Physics na ES lipi gumu zaidi madude ya Projectile, angular motion unayapiga ukiwa three tu
• wananolewa vijana ambao wanaenda kuwa wasumbufu sana huko special Advance mfano Cloud Kitumbika pale Tabora school no 3 TO 2020, Edward Lowassa aliwasumbua sana Ilboru na kuwa top ten kitaifa miaka ya 2020
•wanazalishwa maEngineer waliopure sana wakipita Tech

tupia unalolijua kuhusu Technical schools
Binafsi, shule za sekondari za ufundi hapa Tanzania ni zile tano tu na zilikuwa zina workshop kamilifu haswa. Hizi za baadaye sina imani nazo. Shule hizo tano ni hizi;
1. Ifunda Tech
2. Tanga Tech
3. Mtwara Tech
4. Mazengo
5. Moshi Tech

Nje ya hizo, ni mfano wa shule za ufundi
 
Binafsi, shule za sekondari za ufundi hapa Tanzania ni zile tano tu na zilikuwa zina workshop kamilifu haswa. Hizi za baadaye sina imani nazo. Shule hizo tano ni hizi;
1. Ifunda Tech
2. Tanga Tech
3. Mtwara Tech
4. Mazengo
5. Moshi Tech

Nje ya hizo, ni mfano wa shule za ufundi
Bila kuisahau Musoma tech
 
Back
Top Bottom