Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

DALALI MKUU ni mshaka wa kaa kabisa. Aledisha kaa toka 2017, usikute ni yeye huyo kama yako.

Namuonea huruma mama, mtoto gani hajali mama yake anapitia sonona. Mzazi anaona amefeli kweli
Alipatikana, simu tu ilizingua. Ndo maana nakwambia Hawa washeku wakikosa watoto wao wanachangangikiwa aisee.
 
Kwa mtu aliyewah kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu aje atoe experience. Nikiona mtu anatangaza kupotelewa na ndugu ua nashikwa na uchungu sana mpaka najiuliza nduguze hali ikoje.


Jambo gumu sana, ni maombi yangu Mungu anipe Neema nisipitie hiyo experience.
 
Kaeni vizuri na kaka yenu aseme ukweli
Ahaha umewaza siko kabisa chief. Ni mtu wa kawaida kabisaa hana maisha haaayo ni humble person kaz yake ni driver wa halmashauri..hana biashara kusema kafanya kafara. Ni mtu wa average kabisa. Na hii kitu mpaka leo huwa inam stress sana kuna muda unaona kabisa hayuko sawa
 
Ila kusema ukweli kuna mambo fulani mtu unapitia hasa kutoka kwa ndugu mpaka unatamani kujipoteza ukimbilie zako huko mbali ukaanze maisha upya na ukutane na watu wapya, Ni kwavile tu kuna watu wawili watatu ukifikiri utakavyo watesa kwa mawazo ya kupotea unaona bora kukomaa tu
 
Alikuona, akakupeleleza na ndugu wakafika siku hiyohiyo.

Unafaidika na nini?
 
Yupo sahihi Lakin. Mwanaume hatafutwi. Na pia hapaswi kujua kazaliwa lin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…