Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Pole mkuu, mama atakua anapata tabu huko.....akikuona atafurahi, nenda tu home samehe maisha yaendelee, ndugu wengine wanakuaga na mapicha picha wasamehe tu.masuala tu ya kifamilia ila nafikiria upya kurudi kumsalimia mama alafu nipoee tena
mambo tu ya kifamilia mkuuTatizo ni nn chief?
Mcheki huyo DALALI MKUU anaweza kuwa ndyo yeyeHii mambo simuliwa tu kuna uzi nshawahi kuandika humu kumtafuta blood brother nliyemfata kuzaliwa mwaka wa tano huu unaenda hatujui yuko hai ama la tunamwombea uzima popote alipo maana tushangaika sana
Kama hautajali tena, we ni last born kwenu????hapana, niliwaambia siku nikiondoka sitokaa nirudi tena hawakuamini. sasa wanateseka sana kunitafuta ila ndio hivyo
Poleni sanaBraza alipotelewa na mtoto, wa kiume akiwa na 5 years. Mpaka leo ni zaid ya 17 years hajawah patikana wala kujulikana alipo
baada ya kusoma huu uzi ndio nimepata hilo wazo, ashukuriwe aliyeandika maana sijawahi kulisema hili jambo popote wala kumwambia mtuPole mkuu, mama atakua anapata tabu huko.....akikuona atafurahi, nenda tu home samehe maisha yaendelee, ndugu wengine wanakuaga na mapicha picha wasamehe tu.
no nina wadogo zangu watatu kaka na dada kadhaaKama hautajali tena, we ni last born kwenu????
wewe sio mimiMcheki huyo DALALI MKUU anaweza kuwa ndyo yeye
DALALI MKUU "hikina ware" akiitambua hyo code ataijibuMcheki huyo DALALI MKUU anaweza kuwa ndyo yeye
Pole sanaMwanangu aliwahi potea kwa kuwafata watoto wenzie shule yale masaa 2 nilijiona kabisa kufariki alipatikana akikaribia shule,, ndipo niliona heri afe kwa chochote umzike ila sio kupotea unaweza kuwehuka kabisa
Unakuwa unawaza sijui wanamla nyama sijui wanamtesa sijui wanamfanyaje ,,, nyie nyieee
Okay, sie last born wetu ana tabia ya kutoroka toroka home anakaaa hata mwaka huko siku anaibuka anarudi hadi tushazoea nadhani siku akifanya maamuzi ya kusepa hatutashtuka make katuzoesha kuondoka.....ila ni tabia mbaya anamtesa mamano nina wadogo zangu watatu kaka na dada kadhaa
NImewahi kuwaza kupotea mara nyingi sana...nikimkumbuka mwanangu nakosa nguvu za kufanya hivyo.Kwanini sasa? Hauoni kama unawatesa? Si ukae mbali lakini wajue tu upo....
🤣🤣🤣masuala tu ya kifamilia ila nafikiria upya kurudi kumsalimia mama alafu nipotee tena
Watu watateseka tu kama lengo ni kukaa mbali na ndugu kero, waage tu unaenda kutafuta maisha sehemu nyingine.....basi unakaa zako mbali, kuondoka bila taarifa sio vizuriNImewahi kuwaza kupotea mara nyingi sana...nikimkumbuka mwanangu nakosa nguvu za kufanya hivyo.
Kwa nini unataka upotee?NImewahi kuwaza kupotea mara nyingi sana...nikimkumbuka mwanangu nakosa nguvu za kufanya hivyo.
Okay, sie last born wetu ana tabia ya kutoroka toroka home anakaaa hata mwaka huko siku anaibuka anarudi hadi tushazoea nadhani siku akifanya maamuzi ya kusepa hatutashtuka make katuzoesha kuondoka.....ila ni tabia mbaya anamtesa ma
Watanisumbua kutaka kunijulia hali na kuniuliza mambo ambayo sitataka wafahamu.Watu watateseka tu kama lengo ni kukaa mbali na ndugu kero, waage tu unaenda kutafuta maisha sehemu nyingine.....basi unakaa zako mbali, kuondoka bila taarifa sio vizuri
Maisha ndugu yangu. Kuna watu wanakera sana bora kuwa nao mbali wasipate taarifa zako na wewe usipate za kwao.Kwa nini unataka upotee?
Kwanin umewachuniaMimi mwenyewe nimepotea nyumban tangu 2017 hakuna ndugu yangu anayejua nilipo. Kuna siku kwenye mishe zangu nilipata mteja anataka frem ya biashara nikapanga nae aje aangalie sasa nikasave ile namba kuja kuchek whatsap wakat nataka kumtumia picha kumbe ni brother niliifuta na kublock ile namba yake. nilishawahi kuona wamenipost hadi facebookk wananitafuta. Nipo dar lakini hakuna anayejua mkoa nilipo sio ndugu tu hata marafiki