Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
mlimkosea nini mpaka akawakimbia?View attachment 2955878
Mimi hadi leo namtafuta huyo Bwana mdogo anaitwa Joseph Nsabi Jeremiah Gasaya ila naamini yupo ni vile hataki tujue alipo mawasiliano ni 0784908813
Sasa tiss ndiyo atelekeze vitu vyote kuanzia cheti Cha shule ya msingi mpaka vyuo hakuondoka na chochoteDuh mnabaki na maswali mengi sana.
Au ni TISS
Kima ndio ndugu zako? Au ni kina nani hao 🤣🤣🤣🤣Mi nimejipoteza hapa enyewe ingawa wanajua nilipo ila sitaki mazoea na ndugu wala mzee wangu!
Mwaka wa nane huu napambana na life yangu na sina mastress ningeendelea kukaa na wale makima wangeniua taratibu
MAMBATulipotelewa na mwanafunzi mwenzetu ziwa Victoria tulipokuwa kidato cha Pili, hakupatikana hadi leo.
Tulikuwa na kawaida ya kwenda kuogelea mida ya jioni pindi maji yakikatika shuleni.
Walienda kuogelea na wenzio(siku hiyo mimi sikwenda) hakurudi shuleni.
Tulikuja kugundua kesho yake kuwa fulani hayupo.
Wenzake waliokuwa nao wakatafutwa na kuhojiwa, ila hakuna majibu ya wazi yaliyopatikana.
Tulianza msako kumtafuta kwenye eneo lile kwa kushirikiana na wavuvi pamoja na wanakijiji, tulitoka kapa.
Wazazi wakataarifiwa wakaja, wakapinga kambi pale kwa wiki 2 huku msako ukiwa unaendelea. Wakafanya na mishw za kimila ila hakuna lolote lililozaa matunda.
Baada ya hizo wiki 2 tukaamua kuendelea na shule, huku wazazi wakiondoka kurudi nyumbani. Ishu ndio ikaisha hivyo, jamaa hatukumuona tena hadi leo hii zaidi ya miaka 12 imekatika.
Bila shaka we ni Nsumba boy. Kama ni hivyo basi ulikuwa form 3 maana kipindi hicho hapakuwa na form 2. Tukio la Nsumba lilikuwa 2010 siku ya uchaguzi mkuuTulipotelewa na mwanafunzi mwenzetu ziwa Victoria tulipokuwa kidato cha Pili, hakupatikana hadi leo.
Tulikuwa na kawaida ya kwenda kuogelea mida ya jioni pindi maji yakikatika shuleni.
Walienda kuogelea na wenzio(siku hiyo mimi sikwenda) hakurudi shuleni.
Tulikuja kugundua kesho yake kuwa fulani hayupo.
Wenzake waliokuwa nao wakatafutwa na kuhojiwa, ila hakuna majibu ya wazi yaliyopatikana.
Tulianza msako kumtafuta kwenye eneo lile kwa kushirikiana na wavuvi pamoja na wanakijiji, tulitoka kapa.
Wazazi wakataarifiwa wakaja, wakapinga kambi pale kwa wiki 2 huku msako ukiwa unaendelea. Wakafanya na mishw za kimila ila hakuna lolote lililozaa matunda.
Baada ya hizo wiki 2 tukaamua kuendelea na shule, huku wazazi wakiondoka kurudi nyumbani. Ishu ndio ikaisha hivyo, jamaa hatukumuona tena hadi leo hii zaidi ya miaka 12 imekatika.
Asante zimefikaPole sana
Mungu ni mwema
Mpe Hi! Uncle wetu
NAKAZIA HAPA.Mm sikumbuki ni mwaka wa ngapi toka nimeondoka home, wanajua mji nilipo ila exact location hawajui, mawasiliano nilikata, kuna koo na ndugu ni konyo kabisa..U better live your own life angalau utapata amani ya moyo.
Pole sana, niliwah kupitia changamoto hii kama masaa 4 hivi.... Huwa sipendi kukumbuka, ukichaa niliuona live ni mbaya sana ndugu au mtoto kupotea ghafla. Poleni sana mliwahi au mnaopitia changamoto hii.Mwanangu aliwahi potea kwa kuwafata watoto wenzie shule yale masaa 2 nilijiona kabisa kufariki alipatikana akikaribia shule,, ndipo niliona heri afe kwa chochote umzike ila sio kupotea unaweza kuwehuka kabisa
Unakuwa unawaza sijui wanamla nyama sijui wanamtesa sijui wanamfanyaje ,,, nyie nyieee
Ndugu huwa na maneno sana hasa unapokuwa jobless huwa wanaongea maneno mengi sana ya kukudharau na sometimes wazazi nao wanasapoti huo ujinga. Ndyo maana raia kama DALALI MKUU wanaamua kujilipua na kuwapotezea mazima.Kuna wakati ndg ni nuksi sana unatamani uanze na watu wapya ndg ni km mate ya kutemwa hayarudishiki mdomoni mnaojitenga nao siwalaumu hata kidogo mi mwenyewe ningeweza ningepotea tu .....famba
Ndio yule wa Dodoma?Sasa tiss ndiyo atelekeze vitu vyote kuanzia cheti Cha shule ya msingi mpaka vyuo hakuondoka na chochote
Just imagine kuna situation unapitia kimaisha huna kazi maneno yanakuwa mengi kutoka kwa ndugu zako na kukudharau unakereka unatishia kuondoka wanakwambia ondoka na maneno kibao ya dharau km vile wa kuondoka utakuwa wewe!Kupotelewa kunauma kuliko msiba.....poleni wote nliopotelewa na ndugu, jamaa, na marafiki zenu
Hii thread inatia huzuni, ukiisoma huku umekunywa kidogo waweza bubujika machozi kama maji
Ndosi anapoteaje? Walimfanya nini?Daa broo wangu kapoteaga asee,, alikuaga tanga saiz inasemekana alienda mgodini manyara, anaitwa INOCENT FATAEL NDOSI